masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
- Thread starter
-
- #41
Hahaahah tena mwezi wa mfungo kwa baadi ya biashara huwa mgumu alafu mteja anakuja kujutemea nyongo.... yaani kama sio maokoto yanahusika yabidi uwe humble ....wateja wengine wanadharau sanaM sina uvumilivu huo huwa ukinichemsha nakuwa na hasira za karibu
Huo mstari wa mwisho unamwambia mteja??Mimi nawachekaga tu mpaka wanaondoka wenyewe bila huduma.
Maana hauwezekani ufosi huduma ambayo sina na bado ufosi nikupunguzie bei wakati siku hiyo sijisikii basi nitawacheka sana na ili akome kunisumbua naishiaga kuwaambia nyie hamna hela ni masikini tu mmekuja kunipunguzia stress zenu .
Basi kila la kheri nadhani kuna kitakachokusaidia kwenye jumbe hizi.Sure mimi msingi wangu ni jumla kuanzia pis moja
Mi sichekechi mteja na sipo k.koo recently nilikua najib coment hiyoNa wateja ndio maana nao wanakuwa vichomi maana wanajua wanachekechwa.
Dada yangu simu yako halafu unakubali kugombezwa? Batani ya kukata ilikua haufanyi kazi kwani?Mteja kaniambia nafanya biasharara kishamba jana kwa sababu hakuna free delivery
Yaani aliniwakia nahisi alikua ana stress,
Leo katuma mwingine kuchukua mzigo.
Kwa kifupi jana alinigombeza sana,ni kitambo sana kukutana na mteja mkorofi hivi,
Hayo maneno aliongea kwa simu wakati anaweka order
Je wenzangu mnadeal vipi na wateja waliovurugwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mteja alikua anapiga simu anaomba bidhaa, nampelekea nikifika anaanza maneno mara package ndogo, nenda hela utaijia ukifata hela manenooo....baada ya muda anapiga simu nipeleke tena nikichelewa kupokea anafoka.
Nilimchoka.....nikamwambia kuanzia leo sikuuzii alijua utani piga simu namwambia mzigo upo ila ila sikuuzii, kila siku akawa anapiga jibu lile lile sikuuzii, juzi kaja kwa kujificha anafata mzigo mwenyewe pambafff zake mteja mfalme my a s s
Sijawahi kugombana na mteja direct ila kimoyoni nakua nisha mcurse sanaKuna mzee mmoja tajiri mfanya biashara wa malori aliwahi niambia hivi baada ya kuona mteja ananirushia matusi baada ya kumhudumia (alikuwa ni mjeda kalewa) nanukuu
"kijana kama anakulipa acha atukane awezavyo ila hakikisha anakupa fedha za huduma aliyoihitaji, jali maslahi yako kwenye hizi biashara tunapitia maudhi mengi ila tunavumilia kwa sababu ya kujali maslahi."
🤣🤣🤣 😅Unawasikiliza tu usiwajibu chochote akimaliza unaendelea kumhudumia.
Hapo bado kuna ambao ukiwaambia walipie kabisa ndo umtumie mzigo wanakuambia tapeli yaani acha tu😥😥
Nakubaliaba na wewe ila trusm me kuna ile batani mteja siku ataigusa unaona kabisa this is no longer a boss_customer thingUkijua Customer's care kamwe hauwezi kugombana na mteja hata aje amefura kama Mbogo.
-Ukijua kwamba Customer ni Boss wako na sheria number Uno inasema Boss hakosei(Boss is always right) -Boss hanuniwi utaenda nae vizuri tu hadi mwenyewe atakaa sawa.....Mteja akija amewaka na wewe ukamjibu vizuri kwa upole huku ukimsikiliza unadhani ataendelea kufura?
Unafanya biashara gan dear?Yaani sometimes unaweza ushikwe na hasira ila ukiangalia una shida na hela, unakua huna namna isipokua kuendelea kumshawish
Inabidi uende nao sawa hivyo hivyo ,kuna wateja kweli vichomi sana inahitaji uvumilivu wa hali ya juu kuendelea na convo nae.Nakubaliaba na wewe ila trusm me kuna ile batani mteja siku ataigusa unaona kabisa this is no longer a boss_customer thing
Anyways am learning everyday
Mbona kitu rahisi tu? Unaongeza bei kujumlisha na delivery. Achague mwenyewe. FOB vs C&FMteja kaniambia nafanya biasharara kishamba jana kwa sababu hakuna free delivery
Yaani aliniwakia nahisi alikua ana stress,
Leo katuma mwingine kuchukua mzigo.
Kwa kifupi jana alinigombeza sana,ni kitambo sana kukutana na mteja mkorofi hivi,
Hayo maneno aliongea kwa simu wakati anaweka order
Je wenzangu mnadeal vipi na wateja waliovurugwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiNa je, ungekuwa customer care wa TANESCO..?
Niliwahi fanya miaka flani, mbaya zaidi hiyo wilaya ilikuwa ina changamoto kubwa mno ya umeme..
Kwa matusi na hekaheka nilizokula, sijui nini kitanishtua tena..!![emoji119]
Nakuelewa bossTafuta mtu wa kuaminika kama ni mizigo midogo tafuta boda wa karibu na unapofanyia kazi, gharama za delivery mwambie ni juu yake. Akitaka kujua gharama wewe mpe boda tu wakubaliane nae.
Kingine ni kuwa kama ni uber au bolt mteja anatuma location ya alipo alafu wewe ukifungua link itakuuliza unafungulia wapi? Chagua moja ya hizo app "kumbuka usiweke default ili iwe inakuuliza wakati wote" itakuletea gharama na umwambie mteja gharama yako ya usafiri ni hii.
Hapo unamwita bolt unampa hiyo location na namba ya mteja anampelekea mzigo wake.
Hii itasaidia maana kupitia kampuni hizi gharama inakuwa chini kuliko kukubaliana kwa simu
Hapana dearHujaweka tangazo lolote mahali popote kwamba unafanya free delivery?