Mnawahudumiaje Wateja wakorofi?

Mnawahudumiaje Wateja wakorofi?

Kuna mteja alikua anapiga simu anaomba bidhaa, nampelekea nikifika anaanza maneno mara package ndogo, nenda hela utaijia ukifata hela manenooo....baada ya muda anapiga simu nipeleke tena nikichelewa kupokea anafoka.

Nilimchoka.....nikamwambia kuanzia leo sikuuzii alijua utani piga simu namwambia mzigo upo ila ila sikuuzii, kila siku akawa anapiga jibu lile lile sikuuzii, juzi kaja kwa kujificha anafata mzigo mwenyewe pambafff zake mteja mfalme my a s s
Mteja mfalme is over rated
 
Mteja kaniambia nafanya biasharara kishamba jana kwa sababu hakuna free delivery

Yaani aliniwakia nahisi alikua ana stress,

Leo katuma mwingine kuchukua mzigo.

Kwa kifupi jana alinigombeza sana,ni kitambo sana kukutana na mteja mkorofi hivi,

Hayo maneno aliongea kwa simu wakati anaweka order

Je wenzangu mnadeal vipi na wateja waliovurugwa
Fanya biashara acha kuwapiga majungu wateja zako waache na maisha yao
 
Sijawahi kugombana na mteja direct ila kimoyoni nakua nisha mcurse sana
wapotezee tu wateja wa hivyo usijali sana kuhusu makwazo yao, wape huduma stahiki iliyo ndani ya uwezo na utaratibu wako.

Kuna watu kutoa hela hata kwa jambo la msingi huwa inawauma sana ndio maana wengine hutokwa na maneno makali.
 
Mteja kaniambia nafanya biasharara kishamba jana kwa sababu hakuna free delivery

Yaani aliniwakia nahisi alikua ana stress,

Leo katuma mwingine kuchukua mzigo.

Kwa kifupi jana alinigombeza sana,ni kitambo sana kukutana na mteja mkorofi hivi,

Hayo maneno aliongea kwa simu wakati anaweka order

Je wenzangu mnadeal vipi na wateja waliovurugwa
mpe nafasi aongee na kutukana mpaka atosheke, na bilashaka yoyote utakua umempa relief na umemponya vitu fulani vilivyo kua vimemjaa moyoni, japo anaweza kua amekupotezea muda wako lakini pia kuna faida na Baraka za Mungu utazichuma pia...

Muhimu ni kuzingati kukeep na kumaintain standards, vigezo na masharti vya kazi yako na mteja anatimiza bila mbambamba 🐒
 
Mimi nawaelekeza kwa vijana wamalizane nao aiseee!!! 🤣🤣🤣🤣

Kuna mmoja alinichana siku hizi husikilizi wateja unajali pesa tyuu na kujipost mwenyewe status, hilo lilinitongoza nikalikataa likaona liseme hivo..!!

Sasa usiombe ukutane na wamama wa kikongo woiiiih utachora chini 🤣🤣🤣🤣
Wale watu ni wateja ila ni wasumbufu sijaona
 
wapotezee tu wateja wa hivyo usijali sana kuhusu makwazo yao, wape huduma stahiki iliyo ndani ya uwezo na utaratibu wako.

Kuna watu kutoa hela hata kwa jambo la msingi huwa inawauma sana ndio maana wengine hutokwa na maneno makali.
Unajua nini yule jamaa nimemuwazia mke wake
Mke wake atakua na taabu sana .
Yaani anaonekana kwa maneno ya sim tu ana dharau sana
 
Nakuelewa boss
Nina boda wa kazi ya delivery pia mteja aki opt bolt narequest analipia kwanza.
The thing is FREE DELIVERY
yaan mteja hakupenda huduma ya kulipia nauli
Yeye ameona wapi bidhaa zako? Huko alikoona uandike delivery ni juu ya gharama za mteja ili akitaka bidhaa ajue hivyo.

Huwezi kuweka gharama sahihi siku zote, ukiweka elfu kumi kumbe mteja anakaa bagamoyo au kibiti itakuwaje.
 
Mteja mfalme is over rated
Wallah tena, alikua ananiboa, muda wa kutoa oda mpole fata hela sasa maneno yanamtoka mpemba yule na bichwa lake flat screen😏😏😏....aendelee kuja tu kwa kujificha hivyo hivyo.
 
mpe nafasi aongee na kutukana mpaka atosheke, na bilashaka yoyote utakua umempa relief na umemponya vitu fulani vilivyo kua vimemjaa moyoni, japo anaweza kua amekupotezea muda wako lakini pia kuna faida na Baraka za Mungu utazichuma pia...

Muhimu ni kuzingati kukeep na kumaintain standards, vigezo na masharti vya kazi yako na mteja anatimiza bila mbambamba 🐒
Napenda sana pesa
Ila sipendi mtu anitukane/anidharau
 
Yeye ameona wapi bidhaa zako? Huko alikoona uandike delivery ni juu ya gharama za mteja ili akitaka bidhaa ajue hivyo.

Huwezi kuweka gharama sahihi siku zote, ukiweka elfu kumi kumbe mteja anakaa bagamoyo au kibiti itakuwaje.
Sahihi mkuu
Umenipa point
Kwenye kila tangazo nitaweka garama za nauli ni juu ya mteja
 
Wateja wa kibongo ukitaka wasikuletee mapozi wauzie bei za Kitonga, Hapo hata uwape huduma mbovu watajazana tuu
 
Mimi nawaelekeza kwa vijana wamalizane nao aiseee!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kuna mmoja alinichana siku hizi husikilizi wateja unajali pesa tyuu na kujipost mwenyewe status, hilo lilinitongoza nikalikataa likaona liseme hivo..!!

Sasa usiombe ukutane na wamama wa kikongo woiiiih utachora chini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wale watu ni wateja ila ni wasumbufu sijaona
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu em sema kweli? Sitaki fix mie hapa.
 
Back
Top Bottom