Mnawezaje kuishi/kukaa na mwanamke anaeongea na simu muda wote tena vitu visivyo na msingi?

Mnawezaje kuishi/kukaa na mwanamke anaeongea na simu muda wote tena vitu visivyo na msingi?

Azoge Ze Blind Baga

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2019
Posts
442
Reaction score
1,655
Kama mada inavyojieleza
Nina mke wangu ambaye nina watoto nae.

Ila kutokana na mambo mbalimbali tumetengana kama miaka miwili sasa

Watoto wangu wamekuja kunitembelea likizo. Tunaishi kwa furaha na upendo.

Baada ya siku kadhaa mama yao nae kaja kutoka huko anakofanyia kazi. Sasa kitu nlichogundua ni kwamba huyu mwanamke anaongea sana na simu tena siskii cha maana anachoongea zaidi ya story za hapa pale.

Yani akiamka asubuhi (analala na watoto na house girl) yeye ni kuongea na simu tu mpaka kero hadi natamani kumfukuza arudi anakoishi.

Nauliza wenzangu mnawezaje kuishi nyumba moja na mwanamke anaependa kuongea kwenye simu muda mwingi.?
 
Kama mada inavyojieleza
Nina mke wangu ambaye nina watoto nae.

Ila kutokana na mambo mbalimbali tumetengana kama miaka miwili sasa

Watoto wangu wamekuja kunitembelea likizo. Tunaishi kwa furaha na upendo.
Baada ya siku kadhaa mama yao nae kaja kutoka huko anakofanyia kazi.
Sasa kitu nlichogundua ni kwamba huyu mwanamke anaongea sana na simu tena siskii cha maana anachoongea zaidi ya story za hapa pale.

Yani akiamka asubuhi (analala na watoto na house girl) yeye ni kuongea na simu tu mpaka kero hadi natamani kumfukuza arudi anakoishi.

Nauliza wenzangu mnawezaje kuishi nyumba moja na mwanamke anaependa kuongea kwenye simu muda mwingi.??
Anafanya makusudi kukuumiza hana lolote, hiyo inaitwa "mind game" kuna kipindi nilikua na House girl simu yake ilikua bzy kuliko ya kwangu kila wakati, tatizo ni lack of confidence au kutojiamini.
 
Mara nyingi mtu aneongea na simu huwa ni dalili ya upweke. Anakuwa anajaribu kuziba ombwe la upweke kwa kujiliwaza kwa njia ya kuongea na watu. Ukimchunguza kwa umakin utagundua kuna kitu kimemiss katika maisha yake. Hana kampani au ana stress so anajaribu kuziondoa kwa kuongea na kucheka na watu kwenye simu.
Jaribu kumpa kampan umuonyeshe unamjali piga nae story ataacha kuongea na simu atakuwa anaongea na wewe. USIMFUKUZE NI MAMA WA WATOTO WAKO.

Wanao watajisikia vibaya ukimfukuza mama yao.
 
Kama mada inavyojieleza
Nina mke wangu ambaye nina watoto nae.

Ila kutokana na mambo mbalimbali tumetengana kama miaka miwili sasa

Watoto wangu wamekuja kunitembelea likizo. Tunaishi kwa furaha na upendo.

Baada ya siku kadhaa mama yao nae kaja kutoka huko anakofanyia kazi. Sasa kitu nlichogundua ni kwamba huyu mwanamke anaongea sana na simu tena siskii cha maana anachoongea zaidi ya story za hapa pale.

Yani akiamka asubuhi (analala na watoto na house girl) yeye ni kuongea na simu tu mpaka kero hadi natamani kumfukuza arudi anakoishi.

Nauliza wenzangu mnawezaje kuishi nyumba moja na mwanamke anaependa kuongea kwenye simu muda mwingi.?
Wewe una shida gani nae mtu anakaa na kulala na watoto? Wewe ongea na watoto inatosha.
 
Kama mada inavyojieleza
Nina mke wangu ambaye nina watoto nae.

Ila kutokana na mambo mbalimbali tumetengana kama miaka miwili sasa

Watoto wangu wamekuja kunitembelea likizo. Tunaishi kwa furaha na upendo.

Baada ya siku kadhaa mama yao nae kaja kutoka huko anakofanyia kazi. Sasa kitu nlichogundua ni kwamba huyu mwanamke anaongea sana na simu tena siskii cha maana anachoongea zaidi ya story za hapa pale.

Yani akiamka asubuhi (analala na watoto na house girl) yeye ni kuongea na simu tu mpaka kero hadi natamani kumfukuza arudi anakoishi.

Nauliza wenzangu mnawezaje kuishi nyumba moja na mwanamke anaependa kuongea kwenye simu muda mwingi.?
Sasa umeachana nae yeye kuongea na simu unaumia nn
 
Kama mada inavyojieleza
Nina mke wangu ambaye nina watoto nae.

Ila kutokana na mambo mbalimbali tumetengana kama miaka miwili sasa

Watoto wangu wamekuja kunitembelea likizo. Tunaishi kwa furaha na upendo.

Baada ya siku kadhaa mama yao nae kaja kutoka huko anakofanyia kazi. Sasa kitu nlichogundua ni kwamba huyu mwanamke anaongea sana na simu tena siskii cha maana anachoongea zaidi ya story za hapa pale.

Yani akiamka asubuhi (analala na watoto na house girl) yeye ni kuongea na simu tu mpaka kero hadi natamani kumfukuza arudi anakoishi.

Nauliza wenzangu mnawezaje kuishi nyumba moja na mwanamke anaependa kuongea kwenye simu muda mwingi.?

Kama anaongea kwa lugha unayoielewa shukuru Mungu na upunguze ujuaji, sisi wenzako wake zetu wanaongea kilugha ila ukiuliza alikua anaongea nini akutafsirie anaanza kucheka cheka na kukuacha njia panda
 
Piga show kaka,kelele zigeuke miguno,km wengine walivyosema hio inatokana na upweke or kuonyesha km ww humpendi ila kuna wengine wanamjali,mtoe out hata mkale sehemu then mrudishe apumzike na watoto.
 
Sifa moja ya Mwanaume ni uvumilivu yan unashindwa kua mvumilivu kwa muda wa mwezi mmoja tu zen kawaondoka ukaendelea na mambo zako

Sasa ukimfukuza kisa anaongea sana na simu nani ataonekana anamatatizo, hii itawasibitishia ata watoto wako kua ww ndo ulikua ttzo ad familia kuvunjika so acha utoto
Lakin pia next week shule nying zinafunguliwa hesabu pesa wape waondoke
 
Kama anaongea kwa lugha unayoielewa shukuru Mungu na upunguze ujuaji, sisi wenzako wake zetu wanaongea kilugha ila ukiuliza alikua anaongea nini akutafsirie anaanza kucheka cheka na kukuacha njia panda
Apunguze ujuaji tena! 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom