Mnawezaje kuishi/kukaa na mwanamke anaeongea na simu muda wote tena vitu visivyo na msingi?

Mnawezaje kuishi/kukaa na mwanamke anaeongea na simu muda wote tena vitu visivyo na msingi?

Sasa mtu mmeachana unamuonea wivu wa nini?
 
Sifa moja ya Mwanaume ni uvumilivu yan unashindwa kua mvumilivu kwa muda wa mwezi mmoja tu zen kawaondoka ukaendelea na mambo zako

Sasa ukimfukuza kisa anaongea sana na simu nani ataonekana anamatatizo, hii itawasibitishia ata watoto wako kua ww ndo ulikua ttzo ad familia kuvunjika so acha utoto
Lakin pia next week shule nying zinafunguliwa hesabu pesa wape waondoke
Na amefuata ada,daftari,viatu na sare mpatie uone km ataendelea kuwepo
 
Sasa si umwambie mkeo...
Kaa nae chini tafuta lugha tamu...
Tena ikiwezekana pale ukishakula chakula cha usiku tu, zingatia neno chakula, palepale unamwambia kuwa hupendi....
 
Aahh embu subiri.

Yaan mliachana , ila watoto wamekuja likizo, nayeye kaja pia .

Miaka miwili ulikua unakaa pekeako na mdada wa kazi au??.

Duuhh .
 
Aahh embu subiri.

Yaan mliachana , ila watoto wamekuja likizo, nayeye kaja pia .

Miaka miwili ulikua unakaa pekeako na mdada wa kazi au??.

Duuhh .
Jikite wenye mada ni huyo mwanamke kuongea na simu muda mrefu halafu mambo anayobonga ni yakidwanzi.
 
Kama mada inavyojieleza
Nina mke wangu ambaye nina watoto nae.

Ila kutokana na mambo mbalimbali tumetengana kama miaka miwili sasa

Watoto wangu wamekuja kunitembelea likizo. Tunaishi kwa furaha na upendo.

Baada ya siku kadhaa mama yao nae kaja kutoka huko anakofanyia kazi. Sasa kitu nlichogundua ni kwamba huyu mwanamke anaongea sana na simu tena siskii cha maana anachoongea zaidi ya story za hapa pale.

Yani akiamka asubuhi (analala na watoto na house girl) yeye ni kuongea na simu tu mpaka kero hadi natamani kumfukuza arudi anakoishi.

Nauliza wenzangu mnawezaje kuishi nyumba moja na mwanamke anaependa kuongea kwenye simu muda mwingi.?
Huyo ndiyo chaguo lako pambana nae.Au mfungulie kampuni.
 
Mpe live hapo siyo customer care ya ule mtandao uliobadirishwa jina juzi tu hapa.(Wateja bado hawajamini jina jipya).


Kwanza Kwa nini unaruhusu mtu si ndugu yako kuja kwako na kulala? Anakwake una kwako. Hapo unakaribisha shetani uliyemshdwa kuzibiti mara ya kwanza, utashikwa maskio mpka ukome.
 
Kama mada inavyojieleza
Nina mke wangu ambaye nina watoto nae.

Ila kutokana na mambo mbalimbali tumetengana kama miaka miwili sasa

Watoto wangu wamekuja kunitembelea likizo. Tunaishi kwa furaha na upendo.

Baada ya siku kadhaa mama yao nae kaja kutoka huko anakofanyia kazi. Sasa kitu nlichogundua ni kwamba huyu mwanamke anaongea sana na simu tena siskii cha maana anachoongea zaidi ya story za hapa pale.

Yani akiamka asubuhi (analala na watoto na house girl) yeye ni kuongea na simu tu mpaka kero hadi natamani kumfukuza arudi anakoishi.

Nauliza wenzangu mnawezaje kuishi nyumba moja na mwanamke anaependa kuongea kwenye simu muda mwingi.?
Huyu ananifaa sana mkuu niconnect naye
 
Kama mada inavyojieleza
Nina mke wangu ambaye nina watoto nae.

Ila kutokana na mambo mbalimbali tumetengana kama miaka miwili sasa

Watoto wangu wamekuja kunitembelea likizo. Tunaishi kwa furaha na upendo.

Baada ya siku kadhaa mama yao nae kaja kutoka huko anakofanyia kazi. Sasa kitu nlichogundua ni kwamba huyu mwanamke anaongea sana na simu tena siskii cha maana anachoongea zaidi ya story za hapa pale.

Yani akiamka asubuhi (analala na watoto na house girl) yeye ni kuongea na simu tu mpaka kero hadi natamani kumfukuza arudi anakoishi.

Nauliza wenzangu mnawezaje kuishi nyumba moja na mwanamke anaependa kuongea kwenye simu muda mwingi.?
Mkuu ngoja nikupe siri. Ukiona mwanamke anaongea na simu muda wote ujue wewe ndiye tatizo. Hum keep busy. Ungekuwa unamdinya, kila dakika upo kifuani mwake asingepata wasaa wa kuongea na simu kwa mida mrefu. Hayo anayofanya ni makasiriko tu ya kutodinywa. Jaribu leo utakuja kunishukuru.
 
Nichukue nafasi hii kuwapongeza wachambuzi wa Midinyo, hakika wamechambua vyema
 
Kama mada inavyojieleza
Nina mke wangu ambaye nina watoto nae.

Ila kutokana na mambo mbalimbali tumetengana kama miaka miwili sasa

Watoto wangu wamekuja kunitembelea likizo. Tunaishi kwa furaha na upendo.

Baada ya siku kadhaa mama yao nae kaja kutoka huko anakofanyia kazi. Sasa kitu nlichogundua ni kwamba huyu mwanamke anaongea sana na simu tena siskii cha maana anachoongea zaidi ya story za hapa pale.

Yani akiamka asubuhi (analala na watoto na house girl) yeye ni kuongea na simu tu mpaka kero hadi natamani kumfukuza arudi anakoishi.

Nauliza wenzangu mnawezaje kuishi nyumba moja na mwanamke anaependa kuongea kwenye simu muda mwingi.?
Unataka mrudiane kwani?Achana nae huyo alienae ndio shida zake
 
Back
Top Bottom