Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na amefuata ada,daftari,viatu na sare mpatie uone km ataendelea kuwepoSifa moja ya Mwanaume ni uvumilivu yan unashindwa kua mvumilivu kwa muda wa mwezi mmoja tu zen kawaondoka ukaendelea na mambo zako
Sasa ukimfukuza kisa anaongea sana na simu nani ataonekana anamatatizo, hii itawasibitishia ata watoto wako kua ww ndo ulikua ttzo ad familia kuvunjika so acha utoto
Lakin pia next week shule nying zinafunguliwa hesabu pesa wape waondoke
Duuh umemjibu vizuri na majibu anayapata kabisaSisi huku hatuishi na watu wa namna hiyo, labda utuletee huyo tumfanyie utafiti
Sijamwonea wivu ila nakereka na kelele zake za kuongea ongea na simu muda wote tena kilughaSasa mtu mmeachana unamuonea wivu wa nini?
Shule ipi hiyo j'tatu!?Haya kesho ni ijumaa wahesabie mpunga waondoke jumatatu shule...
Jumatatu sio siku ya kurudi shule kwa primary mpka Advance ama ? Tusiokuwa na watoto duhShule ipi hiyo j'tatu!?
😂😂😂 Nshamwaambia awape hela asepe huko ni kuumizana kichwa!Aahh embu subiri.
Yaan mliachana , ila watoto wamekuja likizo, nayeye kaja pia .
Miaka miwili ulikua unakaa pekeako na mdada wa kazi au??.
Duuhh .
Jikite wenye mada ni huyo mwanamke kuongea na simu muda mrefu halafu mambo anayobonga ni yakidwanzi.Aahh embu subiri.
Yaan mliachana , ila watoto wamekuja likizo, nayeye kaja pia .
Miaka miwili ulikua unakaa pekeako na mdada wa kazi au??.
Duuhh .
Huyo ndiyo chaguo lako pambana nae.Au mfungulie kampuni.Kama mada inavyojieleza
Nina mke wangu ambaye nina watoto nae.
Ila kutokana na mambo mbalimbali tumetengana kama miaka miwili sasa
Watoto wangu wamekuja kunitembelea likizo. Tunaishi kwa furaha na upendo.
Baada ya siku kadhaa mama yao nae kaja kutoka huko anakofanyia kazi. Sasa kitu nlichogundua ni kwamba huyu mwanamke anaongea sana na simu tena siskii cha maana anachoongea zaidi ya story za hapa pale.
Yani akiamka asubuhi (analala na watoto na house girl) yeye ni kuongea na simu tu mpaka kero hadi natamani kumfukuza arudi anakoishi.
Nauliza wenzangu mnawezaje kuishi nyumba moja na mwanamke anaependa kuongea kwenye simu muda mwingi.?
Mkuu Mwanamke wameachana nae inakuje anakuja kwake kukaa pamoja na watoto imekaaje sasa kwanini watoto wake wasije wenyewe.Sasa umeachana nae yeye kuongea na simu unaumia nn
Huyu ananifaa sana mkuu niconnect nayeKama mada inavyojieleza
Nina mke wangu ambaye nina watoto nae.
Ila kutokana na mambo mbalimbali tumetengana kama miaka miwili sasa
Watoto wangu wamekuja kunitembelea likizo. Tunaishi kwa furaha na upendo.
Baada ya siku kadhaa mama yao nae kaja kutoka huko anakofanyia kazi. Sasa kitu nlichogundua ni kwamba huyu mwanamke anaongea sana na simu tena siskii cha maana anachoongea zaidi ya story za hapa pale.
Yani akiamka asubuhi (analala na watoto na house girl) yeye ni kuongea na simu tu mpaka kero hadi natamani kumfukuza arudi anakoishi.
Nauliza wenzangu mnawezaje kuishi nyumba moja na mwanamke anaependa kuongea kwenye simu muda mwingi.?
Mkuu ngoja nikupe siri. Ukiona mwanamke anaongea na simu muda wote ujue wewe ndiye tatizo. Hum keep busy. Ungekuwa unamdinya, kila dakika upo kifuani mwake asingepata wasaa wa kuongea na simu kwa mida mrefu. Hayo anayofanya ni makasiriko tu ya kutodinywa. Jaribu leo utakuja kunishukuru.Kama mada inavyojieleza
Nina mke wangu ambaye nina watoto nae.
Ila kutokana na mambo mbalimbali tumetengana kama miaka miwili sasa
Watoto wangu wamekuja kunitembelea likizo. Tunaishi kwa furaha na upendo.
Baada ya siku kadhaa mama yao nae kaja kutoka huko anakofanyia kazi. Sasa kitu nlichogundua ni kwamba huyu mwanamke anaongea sana na simu tena siskii cha maana anachoongea zaidi ya story za hapa pale.
Yani akiamka asubuhi (analala na watoto na house girl) yeye ni kuongea na simu tu mpaka kero hadi natamani kumfukuza arudi anakoishi.
Nauliza wenzangu mnawezaje kuishi nyumba moja na mwanamke anaependa kuongea kwenye simu muda mwingi.?
Dah itakua utaratibu wao wamejiwekeaMkuu Mwanamke wameachana nae inakuje anakuja kwake kukaa pamoja na watoto imekaaje sasa kwanini watoto wake wasije wenyewe.
Unataka mrudiane kwani?Achana nae huyo alienae ndio shida zakeKama mada inavyojieleza
Nina mke wangu ambaye nina watoto nae.
Ila kutokana na mambo mbalimbali tumetengana kama miaka miwili sasa
Watoto wangu wamekuja kunitembelea likizo. Tunaishi kwa furaha na upendo.
Baada ya siku kadhaa mama yao nae kaja kutoka huko anakofanyia kazi. Sasa kitu nlichogundua ni kwamba huyu mwanamke anaongea sana na simu tena siskii cha maana anachoongea zaidi ya story za hapa pale.
Yani akiamka asubuhi (analala na watoto na house girl) yeye ni kuongea na simu tu mpaka kero hadi natamani kumfukuza arudi anakoishi.
Nauliza wenzangu mnawezaje kuishi nyumba moja na mwanamke anaependa kuongea kwenye simu muda mwingi.?