binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Ambao wanatoa bure wanapata faida gani ndugu?Nlikuwa sijui kumbe ni barter trade sio, ili upewe punany unatakiwa ucompesate pesa, yan wanawake mbona mnafanya value yenu ishuke ivyo? Yan umefikiria ukaona pussy huwa inabadilishwa na fedha? Hilo limange lenyewe beki hazikabi kwanza chembamba kama bimkora ila mashauz utasema yeye beyonce, kudadeki... Ndio mana watu wanawadharau ndio mana watu hawatongozi sikuiz, utashangaa mtu anamtangazia mwanamke dau alafu anamwambia twende nikakukaze sasa si ndio logic nzima ya muktadha wa nipe nikupe, mapenz yako wapi?
Bro hawa watu ni wabunifu mno katika hiko kitengoHii imenitokea dakika chache zilizopita[emoji38][emoji38]
Ni wabunifu sana.Bro hawa watu ni wabunifu mno katika hiko kitengo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 you can not unsee…..Amesema ukweli ila Kwa vile ni huyu mange kimambi mropokaji ngoja tujifanye atujaona
Indeed🤣🤣🤣🤣🤣🤣 you can not unsee…..
Hapana, kuoa mapema ni utashi wa mtu tuuMkuu wanawake wakiacha kuomba hela ndiyo mtawaoa mapema siyo
Baada ya hiyo miezi 3 picha K utatuma?Ujumbe kwenye picha unahusika sana....
Wanaume mmekuwa mkilaani sana kuombwa mahitaji baada ya muda mfupi baada ya kumuelewa mwanamke wa kitanzania.
Sasa wewe tumekutana leo leo halafu unaniambia umenielewa ...nikiuliza umenielewaje unajibu unataka mzigo.... Huku na huku tunachat mara paaaap unataka uone punanii
Sasa mbona wewe umeenda resi kwenye kutaka mzigo....na mimi nikikuomba kwa roho safii unisaidie nilipokwama ni vibaya?
View attachment 2506855View attachment 2506856
Mkitaka msiombwe hela siku hiyo hiyo au kutwishwa matatizo ya wanawake jaman na nyie muwe na subra ya kuomba K au picha ya K baada ya miezi japo mitatu.
Hapo tutaenda sawa.
HiHi Unique Flower
Ukiona K anakuomba hela baada ya muda mfupi jua hakupendi na anatafta namna ya kukufukuza na mnakuwa mko wengi, hiyo msg moja nywele inatumwa kwa watu 10 na wote anawambia hela ndogo tu, atakwambia 30,000 utajikanyaga umpe 20,000 au yote na mwingine hivyohivyo, siku ukiona hiyo mizinga yake imezidi na ukajikata wala haumii, umjibu msg zake usimjibu anaona sawa tu.Nlikuwa sijui kumbe ni barter trade sio, ili upewe punany unatakiwa ucompesate pesa, yan wanawake mbona mnafanya value yenu ishuke ivyo? Yan umefikiria ukaona pussy huwa inabadilishwa na fedha? Hilo limange lenyewe beki hazikabi kwanza chembamba kama bimkora ila mashauz utasema yeye beyonce, kudadeki... Ndio mana watu wanawadharau ndio mana watu hawatongozi sikuiz, utashangaa mtu anamtangazia mwanamke dau alafu anamwambia twende nikakukaze sasa si ndio logic nzima ya muktadha wa nipe nikupe, mapenz yako wapi?
Sio kweli, mapenzi yana muda wake na mambo mengine yana muda wake na vyote hivyo 2 vina mazingira yake maalummapenzi ni udhaifu, ukiona mtu anayafuatilia sana mapenzi basi hata maamuzi yake kwenye mambo yanakuwa na mashaka
Tatizo wanawake waliowengi watokako walishaumizwa jwahiye mwanaume yoyote atakayetokea mbele yake lazima naye alipize kisasi kwa hiyo mizinga, na kuna mwanamke toka aingie kwenye mahusiano hajawahi kutendewa wema hata siku 1,Ila hamna watu nawakubali kama wanaume ambao hata mahusiano huna au mnahusiana
ila ana huruma, mtu.mwenye huruma hana haja ya kuombwa
kuna situation ukiwa tu anakusaidia anajiongeza, na sio kwamba ni kikubwa nachotoa.. kuna mda mtu anahitaji buku2 tu maish yaende.. Popote mlipo Mungu awabariki sana!!!
Kuna wanaume Mungu amewapa Moyo sana.. maana kuna watu hata ukionyesha risiti za muhimbili zenye tarehe ya leo leo hata ndizi ya 250 hafikirii atakupa pole tu na kujiweka mbali ajifanye yuko busy na maisha