Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,265
- 4,735
Nimecheka sana, yani ghrama ya kumtunza ni ipi?, chakula, fuel or...........Kumshafirisha sio tatizo....Ila kumtunza ndio gharama na serikali hii hawezi mudu hizo gharama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sana, yani ghrama ya kumtunza ni ipi?, chakula, fuel or...........Kumshafirisha sio tatizo....Ila kumtunza ndio gharama na serikali hii hawezi mudu hizo gharama
Hii mada yako haiwezi kupata comment sababu watanzania walio kweny social media maada zenye tija hawazitaki , wewe lita udaku wowote utaona page zinavyo kwenda (poor tanzanian )kisha tuna taka maendeleo mmmm hatar
hahahahahaha, umesema ukweli jameee, hapa hutaona watu kuchangia
Watachangia kwa sababu ya msumari wa jameee, otherwise ni ukweli.
Kuli maintain lile li skeleton sio jambo dogoNimecheka sana, yani ghrama ya kumtunza ni ipi?, chakula, fuel or...........
Najivunia kuwa Mtanzania ukifuatilia science kwa ukaribu utajua Tanzania ni chimbuko la viumbe vingi ikiwemo binadamu wa kwanza.
Tumebahatika sana kuzaliwa Tanzania we should be proud of this.
Mkuu ni kweli Tz tuna nyangumi wenye uzito wa 140 tons?
Shule sio baharini sema niende baharini mkuu
Nyangumi ni samaki huko katajwa mnyama
Nyangumi ni samaki huko katajwa mnyama
Tanzania sijui nani alitulogaHabari za Jumapili Wakuu,
Kuna makala moja ya kisayansi nilikua naipitia leo na nikashangazwa kugundua kwamba mnyama mkubwa zaidi aliyewahi kuishi duniani anaitwa Giraffatitan.
Huyu mnyama aliishi jurrasic era takribani miaka milioni 150 iliyopita na inasemekana uzito wake ulikua unafika tonne 80 na urefu wake zaidi ya metre 20.
Kinachonisikitisha zaidi ni kwamba huyu mnyama mabaki yake ikijumuisha fuvu lake yaligundulika Lindi, Tanzania kipindi cha utawala wa kikoloni wa wajerumani hapo mwaka 1909 na 1912.
Mabaki yake sasa yametundikwa Berlin, Ujerumani na yamekua ni kivutio kikubwa cha utalii nchini kule.
Kwanini sasa serikali na wizara inayohusika na utalii wasianzishe kampeni na mijadala ya mabaki ya mnyama huyu kurudishwa Tanzania kwasababu alichukuliwa kwa njia ambayo siyo halali.
India na nchi nyingine wameweza kupigania mali nyingi zilizoibwa kipindi cha ukoloni zirudishwe na zimerudishwa kwanini sasa Tanzania tusiige mfano.
Tanzania ikumbukwe ndo craddle of all civilization, binadamu wa kwanza wameishi hapa miaka milioni iliyopita na wanyama wenye super genes kama. huyu wameishi hapa pia. Ombi langu serikali ifanye jitihadi kurudisha mabaki ya huyu mnyama na wengine wengi. Itakuza utalii wa ndani na kurudisha sense of National Pride ya kujivunia kuwa Mtanzania.
Picha zake hizi hapaView attachment 349837
Mchwa na kunguni ni wanyama? Sio wadudu?Halafu inapaswa mtambue kuwa Nyangumi,Samaki,Kenge,Mchwa,Binadamu,Kunguni n.k. hao wote ni wanyama
Mbona unashangaa? Wadudu, samaki, binadamu hao wote ni wanyama mkuu.Mchwa na kunguni ni wanyama? Sio wadudu?