Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Usiwasemee wengine.... Ni wewe na makaki wenzio tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwasemee wengine.... Ni wewe na makaki wenzio tu.
Walisha elewa sema wagum wa kukubali
Huifahamu sukuma land wewe kaa kimya, kama Bulima (Misungwi ikiwemo) kuna wazilankende au wasubi basi sawa, pia hakuna Msukuma anaitwa Mnyika, kwao kuwa Mwanza hakumfanyi awe msukuma.
Mi sijatumia siasa, nimekueleza ukweli,uliza uambiwe.siasa za siasa hapana.Hakuna msukuma aitwaye Mnyika mnakana na makabila yenu kwa kujipendekeza kwa wasukuma kwa sababu ndio wanaoamua Rais wa nchi mmechelewa
Usiwasemee wengine.... Ni wewe na makaki wenzio tu.
Hahahahaa...haya bhana umenifanya nicheke kwa sauti aisee.Mtahangaika sana nyinyi wasukuma uchwara ila kwa wanao jielewa ndiyo hivyo tena washaamua kufanya yaoView attachment 1306497
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi sijatumia siasa, nimekueleza ukweli,uliza uambiwe.siasa za siasa hapana.
Hahahahaa...haya bhana umenifanya nicheke kwa sauti aisee.
Naona usukumani mnagombania nani msukuma halisi.duh yetu macho...kama mpaka mnakanusha kabila la MTU hatariHuifahamu sukuma land wewe kaa kimya, kama Bulima (Misungwi ikiwemo) kuna wazilankende au wasubi basi sawa, pia hakuna Msukuma anaitwa Mnyika, kwao kuwa Mwanza hakumfanyi awe msukuma.
Hahaha..sio wote, Mashinji kwao Misungwi tunafahamu na ni Msukuma, huyo chief wenu wa matambiko na uchawi mtafutieni kabila kama mmemnyang'anya la asili.Huyo hawezi kukubali ukweli maana alisha mezeshwa CD na chakubanga kuwa viongozi wa cdm woote ni wachaga
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Mnyika kabila gani?Hao ndo watu wenye upendo na kila mtu na siyo Umachame na Umarangu tu, hilo lingefanyika Marangu au Machame pangekuwa hapatoshi hapa, jifunzeni kama mkipenda.
Naona usukumani mnagombania nani msukuma halisi.duh yetu macho...kama mpaka mnakanusha kabila la MTU hatari
Labda mama yake ndiye msukuma lakini Surname inakataa mkuuNaona usukumani mnagombania nani msukuma halisi.duh yetu macho...kama mpaka mnakanusha kabila la MTU hatari
Kweli siasa raha sana, nilimis sana hivi vichekesho, nakuona nyuma ya kibodi unavyoandika huku ukivunja mbavu, haya bhana..hahahaNaona usukumani mnagombania nani msukuma halisi.duh yetu macho...kama mpaka mnakanusha kabila la MTU hatari
Habari mbayasana hii kwawatu wakijani ,mwenyekiti wa ccm pamoja na kuzuzurula kwao kule,sijawahi kusikia akipewa uchifu kule
Sent using Jamii Forums mobile app
Chifu Malonja John John Mnyika
mmawia