Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 666
- 1,277
Tatizobnyie waongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizobnyie waongo
Chief... MALONJA...Kweli siasa raha sana, nilimis sana hivi vichekesho, nakuona nyuma ya kibodi unavyoandika huku ukivunja mbavu, haya bhana..hahaha
Mbona unateseka sana? Juu ya chief MALONJA?Labda mama yake ndiye msukuma lakini Surname inakataa mkuu
Wasukuma hawawezi kutumika kama madaraja tena ya kisiasa
Hahaha..sio wote, Mashinji kwao Misungwi tunafahamu na ni Msukuma, huyo chief wenu wa matambiko na uchawi mtafutieni kabila kama mmemnyang'anya la asili.
Wasukuma hawawezi kutumika kama madaraja tena ya kisiasa
Kukubalika wakati habar yenyewe ndo nimeiona humu... Huku hatujasikia totally...Naona wasukuma walio jitambua wamekushika sehemu mbaya kwa kuamua kuegemea upande ulio salama na unao kubalika kama hiviView attachment 1306499
Sent using Jamii Forums mobile app
Kongole mnyikaaaaaaaaaaaaaaEti Mnyika anaitwa mchaga leo hivi ukiwa karibu na Mbowe ndio unakuwa mchaga?
Kupandikiza ukabila ni kufirisika kihoja.
Siasa za Tanzania bhana kuna mchaga anaitwa Mnyika?
Kukubalika wakati habar yenyewe ndo nimeiona humu... Huku hatujasikia totally...
Nipo jijini ww...Tena katikati ya jiji kwa taarifa yako.
Kuna Mtu yeyote kabila ingine asiye mchaga ambaye amewahi kupewa u mangi na wazee wa kichaga na kumsimika Kama mangi wa wachaga wakati sio mchaga?
Nipo jijini ww...Tena katikati ya jiji kwa taarifa yako.