KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Mawazo yapi ni ya 'kikoloni'? Mbona unabwatuka tu hovyo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mawazo yapi ni ya 'kikoloni'? Mbona unabwatuka tu hovyo!
Mawazo yapi ni ya 'kikoloni'? Mbona unabwatuka tu hovyo!
Si ndio sababu nakwambia akili kichwani mwako ni kiduchu? Umeona wapi nikiwa "mramba viatu"?
Kiufupi, unayo matatizo makubwa kuliko unavyojiona mwenyewe.
Wakati mwingine husaidia ukasikiliza wengine wanakwambia nini.
Umejuaje kuwa ninateseka kama sio ujuha wako tu ndio unaokusumbua.
Hilo sio tatizo kwangu, ni tatizo kwako.Kamwe siwezi na haitatokea kusikiliza mawazo yako wewe mkoloni mweusi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo sio tatizo kwangu, ni tatizo kwako.
Umejuaje kuwa ninateseka kama sio ujuha wako tu ndio unaokusumbua.
Umejuaje kuwa ninateseka kama sio ujuha wako tu ndio unaokusumbua.
Utahangaika sana.
Maana ya hayo ni kinyume chake. Yaani uko taaabani!
Eeenh, mara akili zinakuruka, mara unarudia hali ya kawaida ambayo nayo sio ya matumaini sana.
Eeenh, mara akili zinakuruka, mara unarudia hali ya kawaida ambayo nayo sio ya matumaini sana.
Utaendelea tu kujidhalilisha mwenyewe.
Sema amejua kuwa hilo ni kabila kubwa haitishiwi nyau!
Hayo Ni majina ya kwenye mbina za chagulagaMalonja in Sukumaland.
Wa wapi? We mshenzi Nini?
..unakosea unapomtolea maneno yasiyo mazuri.
..huwezi kujua amepitia mazingira na changamoto gani wakati anakua huku baba akiwa hamtambui.
..Dr.Hamisi Kigwangala naye alikuzwa na mzazi mmoja, mama yake.
Ukisikiliza Dr.Kigwangala akielezea machungu aliyokuwa akiyapata na jitihada alizofanya kumtafuta mzee wake utamuonea huruma.
..Again, tusimshambulie John Michael Dalali Mnyika kwa makosa ambayo siyo ya kwake.
..John did not ask to come to this world and be raised by a single mother.
Tumbafu, hakuna chifu wa wasukuma, Kuna chifu wa unyanyembe usumabu ngweli dakama Kiya ngwanza.
Alichofanyiwa mnyika Ni kukagwa, kudangiwa zindiko la kishirikina asijerogwa na watu anaodhani wabaya wake.
Mzee watunguli, huyu anaitwa liwelelo