Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
TANGAZO LA JOHN MNYIKA
Katibu Mkuu CHADEMA napenda kuwatangazia kuwa Kamati ya Wazee Wastaafu itakayosimamia mikutano ya kitaifa ya uchaguzi itahusisha Wazee Wastaafu wafuatao:
1. Ahmed Rashid
2. Alfred Kinyondo
3. Prof. Azaveli Lwaitama
4. Wakili Edson Mbogoro
5. Francis Mushi
6. Lumuli Kasyupa
7. Prof. Raymond Mosha
8. Ruth Mollel.
Uteuzi wa Wazee Wastaafu hawa umefanywa na Kamati Kuu katika kikao chake cha tarehe 11 Januari 2025 kwa kuzingatia Kanuni za Chama kifungu cha 7.3 juu ya Taratibu za Kusimamia Chaguzi na kupiga kura Kipengele cha 7.3.1
Katibu Mkuu CHADEMA napenda kuwatangazia kuwa Kamati ya Wazee Wastaafu itakayosimamia mikutano ya kitaifa ya uchaguzi itahusisha Wazee Wastaafu wafuatao:
1. Ahmed Rashid
2. Alfred Kinyondo
3. Prof. Azaveli Lwaitama
4. Wakili Edson Mbogoro
5. Francis Mushi
6. Lumuli Kasyupa
7. Prof. Raymond Mosha
8. Ruth Mollel.
Uteuzi wa Wazee Wastaafu hawa umefanywa na Kamati Kuu katika kikao chake cha tarehe 11 Januari 2025 kwa kuzingatia Kanuni za Chama kifungu cha 7.3 juu ya Taratibu za Kusimamia Chaguzi na kupiga kura Kipengele cha 7.3.1