Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepewa ubongo walau fikiri kidogo.Mbona kama MBOWEISM wametawala sana. Lissu hachomoki kwa wajumbe hawa
Mbowe haikawahi kung'ang'ania madaraka, sema amekuwepo kwa miaka 20 hapo lakini kama akipatikana wa kumuondoa hakuna shida ataondoka tu, tusimchafue, hata kama hatutaki aendeleeMfahamu sultan ibn mbowe king'ang'anizi
View attachment 3200659
Kuna watu katika Jamii,ambao juu ya sentiments za kikanda, kikabila ,kidini, nk, mfano , chukulia Mzee Warioba, leo hii mkabidhi Kazi ya kusimamia uchaguzi Kati ya CCM (chama chake) dhidi ya CUF, ikitokea CUF wameshinda atasema bila shaka kwamba CUF wameshinda dhidi ya CCM. Hao wote walio tajwa kusimamia uchaguzi, wameshavuka level za kufikiria ukabila na ukanda ,wanajitambua bila kujali washindani ni nani na nani katika uchaguzi huo!Mushi
Mosha
Mollel
Kule kule
Vipi kuhusu kuteuliwa Fr. Dk. Kitima?Hao ni Wasimamizi siyo Wapiga kura, Kingine ni hiki, Haiwezekani kumteua Mchungaji Msigwa kwa vile alishahamia ccm
Mimi nimefurahishwa kwa uwepo wa "Mshauri wa Mama" kutoka nyumbani!Nimefurahishwa na uwepo wa Mzee wangu KASYUPA LUMULI ALIPIPI, Mungu Ibariki Kyela
Kuna clip yake humu itafute ndio utafahamu yeye alishajipambanua upande wake kama alivyo wenjeLwaitama siyo mtu wa Mbowe hata dak moja wengine siwajui
wakifanya upuuzi ili tu mbowe ashinde wakati inaonekana wazi hatakiwi watakiua chama mazimaKati ya watu 8 wa5 wachaga,wawili wamasai mmoja muhaya. Risu Hana chake. Huu ndio upuuzi wa chadema.chama cha Kilimanjaro hiki. Hata kubalansi mambo inashindwa kabisa.
Ha ha haaaMfahamu sultan ibn mbowe king'ang'anizi
View attachment 3200659
sasa hata hao mawakala wakifumbwa midomo kwa kitu kizito watasema nini?Bila shaka wagombea watakuwa na mawakala wao, vinginevyo itachezwa faulo ya kutisha.
kaskaziniMushi
Mosha
Mollel
Kule kule
uliambiwa ni mwanachama wa chadema?Vipi kuhusu kuteuliwa Fr. Dk. Kitima?
Risu ndo nini?Kati ya watu 8 wa5 wachaga,wawili wamasai mmoja muhaya. Risu Hana chake. Huu ndio upuuzi wa chadema.chama cha Kilimanjaro hiki. Hata kubalansi mambo inashindwa kabisa.
tabia za wasimamizi wa uchaguzi zinajulikanaMuislamu mmoja na Wachaga Watatu.
Mangi Mbowe taa ya kijani
ni mcha Mungu?Huyo Mama Ruth Mollel yupo vizuri sana na hanaga njaa
Binadamu 'wapuuzi', hata uwafanyie vipi, hawana zuri! Hapa, ni katika kutengeneza sababu. Uchaguzi ndio huu, kama wewe ni mpiga kura, kamchague unayemtaka!sasa hata hao mawakala wakifumbwa midomo kwa kitu kizito watasema nini?
Mzee Warioba hajAwahi kuwa CCM ila wakati akiwepo CCM ilikuwa inaongozaKuna watu katika Jamii,ambao juu ya sentiments za kikanda, kikabila ,kidini, nk, mfano , chukulia Mzee Warioba, leo hii mkabidhi Kazi ya kusimamia uchaguzi Kati ya CCM (chama chake) dhidi ya CUF, ikitokea CUF wameshinda atasema bila shaka kwamba CUF wameshinda dhidi ya CCM. Hao wote walio tajwa kusimamia uchaguzi, wameshavuka level za kufikiria ukabila na ukanda ,wanajitambua bila kujali washindani ni nani na nani katika uchaguzi huo!