EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
His excellency sultan ibn aikaeli Mbowe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
3,5,7,8 timu Mwenye kigoda.TANGAZO LA JOHN MNYIKA
Katibu Mkuu CHADEMA napenda kuwatangazia kuwa Kamati ya Wazee Wastaafu itakayosimamia mikutano ya kitaifa ya uchaguzi itahusisha Wazee Wastaafu wafuatao:
1. Ahmed Rashid
2. Alfred Kinyondo
3. Prof. Azaveli Lwaitama
4. Wakili Edson Mbogoro
5. Francis Mushi
6. Lumuli Kasyupa
7. Prof. Raymond Mosha
8. Ruth Mollel.
Uteuzi wa Wazee Wastaafu hawa umefanywa na Kamati Kuu katika kikao chake cha tarehe 11 Januari 2025 kwa kuzingatia Kanuni za Chama kifungu cha 7.3 juu ya Taratibu za Kusimamia Chaguzi na kupiga kura Kipengele cha 7.3.1
povu la nini?Binadamu 'wapuuzi', hata uwafanyie vipi, hawana zuri! Hapa, ni katika kutengeneza sababu. Uchaguzi ndio huu, kama wewe ni mpiga kura, kamchague unayemtaka!
Nimeuliza Dogo. Halafu ujue Fr. Dk. Kitima aliishawahi kuiendesha "kikao cha siri" cha Chadema pale Msimbazi Center. Muulize Lissu aliyesema.uliambiwa ni mwanachama wa chadema?
Siyo kweli namfuatilia snKuna clip yake humu itafute ndio utafahamu yeye alishajipambanua upande wake kama alivyo wenje
Mbona orodha Ina wachaga wengi?? Mbowe asije akabebwa na mbeleko ya ukabila!Wazee Wastaafu wafuatao:
1. Ahmed Rashid
2. Alfred Kinyondo
3. Prof. Azaveli Lwaitama
4. Wakili Edson Mbogoro
5. Francis Mushi
6. Lumuli Kasyupa
7. Prof. Raymond Mosha
8. Ruth Mollel.
Umeona eeh!!?Mbona kama MBOWEISM wametawala sana. Lissu hachomoki kwa wajumbe hawa
Yallaaaaaa!Kati ya watu 8 wa5 wachaga
1. Maria Sarungi.Namshauri Mnyika aingoze
1. Mwambukuswa
2. Mdudwe
3. Mariya akiwa online
4. Madelekwa
Kama waangalizi wa nje ya chadema
Kwan Lisu mwenyewe anasemajeMbona kama MBOWEISM wametawala sana. Lissu hachomoki kwa wajumbe hawa
Aseee jamaa kumbe umri umekusogea sana asee.... daaaaahWakili Msomi Edson Mbogoro Kitambo sana pale Songea dadeki 😂😂
Mungu wa Mbinguni ambariki nilikuwa naye NCCR Mageuzi enzi za Mwalimu wangu Kibassa mbunge wa kwanza wa Upinzani Unyaluni 😂😂😂
Hah hah hawa wote ni team Mbowe, wengi wao nawafahamu kindakindaki, hii Chagga Development Manifesto itabaki mali ya Dj Kim Il Sung, mwenyekiti wa maisha.TANGAZO LA JOHN MNYIKA
Katibu Mkuu CHADEMA napenda kuwatangazia kuwa Kamati ya Wazee Wastaafu itakayosimamia mikutano ya kitaifa ya uchaguzi itahusisha Wazee Wastaafu wafuatao:
1. Ahmed Rashid
2. Alfred Kinyondo
3. Prof. Azaveli Lwaitama
4. Wakili Edson Mbogoro
5. Francis Mushi
6. Lumuli Kasyupa
7. Prof. Raymond Mosha
8. Ruth Mollel.
Uteuzi wa Wazee Wastaafu hawa umefanywa na Kamati Kuu katika kikao chake cha tarehe 11 Januari 2025 kwa kuzingatia Kanuni za Chama kifungu cha 7.3 juu ya Taratibu za Kusimamia Chaguzi na kupiga kura Kipengele cha 7.3.1
Nimekuelewa Daniel Naftari kijana wa Mbowe. HahahahaaUmepewa ubongo walau fikiri kidogo.
Uchaguzi una mchakato wa hatua mbalimbali kuanzia kuhakiki wapiga kura hadi upigaji kura na uhesabuji ambapo Lissu atakuwa na wakala wake yeye binafsi na pia mchakato mzima utafanyika hadharani.
Unaongea kama umekatwa kichwa, ulishasikia wapi uchaguzi unakosa wakala?Bila shaka wagombea watakuwa na mawakala wao, vinginevyo itachezwa faulo ya kutisha.
Mbowe hatakiwi na mazombie yasiyokuwa mapiga kura!wakifanya upuuzi ili tu mbowe ashinde wakati inaonekana wazi hatakiwi watakiua chama mazima
subiri matokeoMbowe hatakiwi na mazombie yasiyokuwa mapiga kura!
Aliyekatwa mama ako, pumbafu.Unaongea kama umekatwa kichwa,