Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
WOTE WATU WA MBOWE LISSU KALIWA KICHWA MAPEMAAAAATANGAZO LA JOHN MNYIKA
Katibu Mkuu CHADEMA napenda kuwatangazia kuwa Kamati ya Wazee Wastaafu itakayosimamia mikutano ya kitaifa ya uchaguzi itahusisha Wazee Wastaafu wafuatao:
1. Ahmed Rashid
2. Alfred Kinyondo
3. Prof. Azaveli Lwaitama
4. Wakili Edson Mbogoro
5. Francis Mushi
6. Lumuli Kasyupa
7. Prof. Raymond Mosha
8. Ruth Mollel.
Uteuzi wa Wazee Wastaafu hawa umefanywa na Kamati Kuu katika kikao chake cha tarehe 11 Januari 2025 kwa kuzingatia Kanuni za Chama kifungu cha 7.3 juu ya Taratibu za Kusimamia Chaguzi na kupiga kura Kipengele cha 7.3.1
Jitahidi kujikita kwenye madaMfahamu sultan ibn mbowe king'ang'anizi
View attachment 3200659
Hii ndiyo barua au Tangazo la Katibu Mkuu wa Chademaπ³π³π³π³TANGAZO LA JOHN MNYIKA
Katibu Mkuu CHADEMA napenda kuwatangazia kuwa Kamati ya Wazee Wastaafu itakayosimamia mikutano ya kitaifa ya uchaguzi itahusisha Wazee Wastaafu wafuatao:
1. Ahmed Rashid
2. Alfred Kinyondo
3. Prof. Azaveli Lwaitama
4. Wakili Edson Mbogoro
5. Francis Mushi
6. Lumuli Kasyupa
7. Prof. Raymond Mosha
8. Ruth Mollel.
Uteuzi wa Wazee Wastaafu hawa umefanywa na Kamati Kuu katika kikao chake cha tarehe 11 Januari 2025 kwa kuzingatia Kanuni za Chama kifungu cha 7.3 juu ya Taratibu za Kusimamia Chaguzi na kupiga kura Kipengele cha 7.3.1
Hao ni Wasimamizi siyo Wapiga kura, Kingine ni hiki, Haiwezekani kumteua Mchungaji Msigwa kwa vile alishahamia ccmMbona kama MBOWEISM wametawala sana. Lissu hachomoki kwa wajumbe hawa
CCM wanamtema kesho kutwaHao ni Wasimamizi siyo Wapiga kura, Kingine ni hiki, Haiwezekani kumteua Mchungaji Msigwa kwa vile alishahamia ccm
Namshauri Mnyika aingozeMbona kama MBOWEISM wametawala sana. Lissu hachomoki kwa wajumbe hawa
Mlianza uislam sasa mumehamia ukabila baada 98% wasiowaislam. Mnatabu nyinyiKati ya watu 8 wa5 wachaga,wawili wamasai mmoja muhaya. Risu Hana chake. Huu ndio upuuzi wa chadema.chama cha Kilimanjaro hiki. Hata kubalansi mambo inashindwa kabisa.
Umetishwa na majina ya kina mushi?Mbona kama MBOWEISM wametawala sana. Lissu hachomoki kwa wajumbe hawa
Ulijuaje? Ulimsikia? Msomi mzima unaakili za kitotoRuth molel ni team mbowe & team lowasa. Lisu hapo unapgwa mapema
Kweli apumzikeMfahamu sultan ibn mbowe king'ang'anizi
View attachment 3200659
Lwaitama siyo mtu wa Mbowe hata dak moja wengine siwajuiWOTE WATU WA MBOWE LISSU KALIWA KICHWA MAPEMAAAAA
Bila shaka wagombea watakuwa na mawakala wao, vinginevyo itachezwa faulo ya kutisha.Ruth molel ni team mbowe & team lowasa. Lisu hapo unapgwa mapema