Agogwe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2013
- 2,742
- 3,000
hali ya ofisi za makao makuu ya chama "kikuu" cha upinzani ni ishara ya ufisadi.Hii ndiyo ofisi ya waleta mabadilikoView attachment 1589789
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hali ya ofisi za makao makuu ya chama "kikuu" cha upinzani ni ishara ya ufisadi.Hii ndiyo ofisi ya waleta mabadilikoView attachment 1589789
Hajasema Lissu, kasema CHADEMA akimaanisha Salum Mwalimu. Aliyekatazwa kufanya kampeni ni Lissu sio CHADEMA kama taasisi naomba hili lielewekeHapana. Mimi nina hofu, tukiendelea na kampeni tume itatuongezea adhabu. Mpaka sasa tumeshawashika vibaya serekali (sio ccm maana sisi tunashindana na serekali sio ccm) . Kwa maoni yangu tukubaliane na msimamo wa tume. Tarehe 9 tuamshe tena popo. Mbona hawatoki! Hawa jamaa washakataliwa, wanaishi kwa huruma ya NEC na Polisi.
Tutawapiga. Sina shaka na hilo.
Bwashe Salum ndiye Kubwa laoLisu yuko kifungoni.
Kampeni zinaongozwa na mgombea mwenza Salum Mwalimu!
Hii ndiyo ofisi ya waleta mabadilikoView attachment 1589789
Na wanafaulu vizuri tu.We umetoka Kijiji gani? Ofisi inaweza kua hata chini ya mti. Mbona wanafunzi wetu chini ya ccm wanasomea chini ya miti hushangai.
Afanye kampeni akione cha moto.Hajasema Tl ataendelea na kampeni.
Mali zote za WANANCHI mlizipola na kuzigeuza kuwa za CCMHii ndiyo ofisi ya waleta mabadilikoView attachment 1589789
CCM ni chama pekee kinawaheshimu waajiri wao yaan rais anawaheshimu waajiri wake kwamaana ya wananchi ndio maana anawapigia magoti, na kuhusu yale mnayoita matusi ni utani tu ambao sisi watanzania na wabantu tumezoea kutaniana kila siku..Mataga mna ofisi nzuri saana lakini mgombea wenu wa urais amekataliwa kila mahali hadi imefika hatua anaomba kura kwa kupiga magoti [emoji1787]
hali ya ofisi za makao makuu ya chama "kikuu" cha upinzani ni ishara ya ufisadi.
Suala sio kuendelea na kampeni,tunachohitaji ni hoja za ku justify wao kuendelea na kampeni,(nothing more nothing less in TL voice/tone)!!Katibu mkuu wa Chadema J J Mnyika amesema chama chake kitaendelea na kampeni za uchaguzi leo huko Unguja katika visiwa vya Zanzibar.
Wote mnakaribishwa.
Maendeleo hayana vyama!
Hajasema Lissu, kasema CHADEMA akimaanisha Salum Mwalimu. Aliyekatazwa kufanya kampeni ni Lissu sio CHADEMA kama taasisi naomba hili lieleweke
Nimeweka tu rekodi sawa ila hakuna mtu anayejitambua atakubaliana na adhabu ya tume.Hata wewe umeanza kushtukia kwamba Tundu ni bogus na anaua chadema eeh, ...
Hivi unajua kitendo cha tume kunyamazia uvunjifu wa maadili ya uchaguzi unofanywa na CCM tayari ni kuiadhibu kambi ya upande mwingine? Hapo hatujaongelea engua engua ya wagombea. Sasa kuathibiwa kumezoeleka. Ni kusonga mbele kwa mbele. Mambo yatakapoharibikia tutajua lakufanya. Haki ndivyo inavyotafutwa. No retreat, no surrender!Hapana. Mimi nina hofu, tukiendelea na kampeni tume itatuongezea adhabu. Mpaka sasa tumeshawashika vibaya serekali (sio ccm maana sisi tunashindana na serekali sio ccm) . Kwa maoni yangu tukubaliane na msimamo wa tume. Tarehe 9 tuamshe tena popo. Mbona hawatoki! Hawa jamaa washakataliwa, wanaishi kwa huruma ya NEC na Polisi.
Tutawapiga. Sina shaka na hilo.
Litakuwa kosa kubwa sana kuwaacha, watakuja kupindua matokeo wakijua hatuna la kuwafanya hapa ni bampa tu bampa bora uchaguzi uharibike ili tupate tume huru ya uchaguziHapana. Mimi nina hofu, tukiendelea na kampeni tume itatuongezea adhabu. Mpaka sasa tumeshawashika vibaya serekali (sio ccm maana sisi tunashindana na serekali sio ccm) . Kwa maoni yangu tukubaliane na msimamo wa tume. Tarehe 9 tuamshe tena popo. Mbona hawatoki! Hawa jamaa washakataliwa, wanaishi kwa huruma ya NEC na Polisi.
Tutawapiga. Sina shaka na hilo.
Wewe ni zezeta.Katibu mkuu wa CHADEMA J J Mnyika amesema chama chake kitaendelea na kampeni za uchaguzi leo huko Unguja katika visiwa vya Zanzibar.
Wote mnakaribishwa.
Maendeleo hayana vyama!
Chama chake kina wagombea wengi... Tunataka kusikia lissu
Hatulitaki Jiwe