Mnyika: Rasmu ya uchaguzi iliyotolewa na vyama kulazimishwa kusaini haifai

Mnyika: Rasmu ya uchaguzi iliyotolewa na vyama kulazimishwa kusaini haifai

Tunawapiga chini wanachelewesha maendeleo
Hivi mbunge anacheleweshaje maendeleo ilihali ilani inayotumika ni ya ccm, bado inayopeleka maendeleo au pesa ni serikali sasa labda kama serikali inahujumu majimbo baadhi kwa kuchelewesha kupeleka hizo fedha za maendeleo za walipa kodi
 
Wanapinga kila kitu
Hivi mbunge anacheleweshaje maendeleo ilihali ilani inayotumika ni ya ccm, bado inayopeleka maendeleo au pesa ni serikali sasa labda kama serikali inahujumu majimbo baadhi kwa kuchelewesha kupeleka hizo fedha za maendeleo za walipa kodi
 
CCM katika ubora wake wa kujikita kwenye utawala .
Ikiwa Magufuli na chama chake wanapendwa kwa kuleta maendeleo nchini wasingelifanya vitimbwi hivi.
Woga umewashika, lakini mimi naona Hawana salama, Mwaka huu Hata Hao CCM wenyewe wamewachoka Mno.
 
CCM katika ubora wake wa kujikita kwenye utawala .
Ikiwa Magufuli na chama chake wanapendwa kwa kuleta maendeleo nchini wasingelifanya vitimbwi hivi.
Woga umewashika, lakini mimi naona Hawana salama, Mwaka huu Hata Hao CCM wenyewe wamewachoka Mno.
Wanajua hawajafanya kitu kwa wananchi
 
Ila hawa jamaa hawaelewekagi aisee. Kitu kina mapungufu ila una sign! Basi susieni uchaguzi
 
Yaani tume iko mfukoni kwa ccm na bila viongozi makini kama mnyika wala tusingejua hayo madudu yaliyopo kwenye hiyo rasimu kwani mamluki wengine kama TLP,CUF na NCCR walikuwa wanakimbilia tu kusaini bila hata kujua wanasaini kitu gani


Huyo ni porojo tu hayo maadili ambayo ni batiri si ayaseme tuyaone?
Ili tujadili
 
Awamu ya tano imeshindwa kuongeza mishahara ndani ya miaka mitano ije kuwa kuajiri?
 
Myika ndg yangu! Usituzuge, taarifa zako za kuunga juhudi tunazo! Eti umelazimishwa kusaini!
Tunajua unaondoka.
 
Huyu Mnyika jimboni kwake ana hali mbaya sana

Badala ya kwenda kushughulikia vimeo jimboni kwake anapiga porojo

Subiri October tuwanyooshe
Wewe kama sio kahaba basi huna tofauti na kahaba, kwanini hupendi kujadili mada unarukia ishu zingine? Kwahiyo waitara huko ukonga ndio yupo vizuri?
 
Whore than your beautiful mam?
Wewe kama sio kahaba basi huna tofauti na kahaba, kwanini hupendi kujadili mada unarukia ishu zingine? Kwahiyo waitara huko ukonga ndio yupo vizuri?
 
Huyu Mnyika jimboni kwake ana hali mbaya sana

Badala ya kwenda kushughulikia vimeo jimboni kwake anapiga porojo

Subiri October tuwanyooshe
CCM bana halafu oooh CHADEMA imekufa mbona mnatapatapa sana yani mnahaha ulimi unawatoka bwana "Bia Yetu" vipi mbona mchecheto mara kubadilisha vipengele mara Mbowebadhirifu yaani hamtulii

Hebu twendeni sawa muone mtakavyokula za uso asubuhi kweupeeeee
 
Back
Top Bottom