emmanuel mruma
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,778
- 1,718
Hivi mbunge anacheleweshaje maendeleo ilihali ilani inayotumika ni ya ccm, bado inayopeleka maendeleo au pesa ni serikali sasa labda kama serikali inahujumu majimbo baadhi kwa kuchelewesha kupeleka hizo fedha za maendeleo za walipa kodiTunawapiga chini wanachelewesha maendeleo