Mnyika: Rasmu ya uchaguzi iliyotolewa na vyama kulazimishwa kusaini haifai

Mnyika: Rasmu ya uchaguzi iliyotolewa na vyama kulazimishwa kusaini haifai

Kwa hiyo nyie wapinzani mmeona njia pekee ya kufanya siasa ni kupotosha tu? Mnyika ameonekana kupitia vyombo mbalimbali vya habari akichangia maoni yake kwenye rasimu hiyo kwenye kikao kilichoitishwa na Tume kwa ajili ya vyama vya siasa kujadili na kupitisha rasimu. Sasa leo hii mnasema vyama vimeshurutishwa? Wanafiki wakubwa nyie.
 
Naona umeipenda hii Avatra yangu, Nikuachie wewe?
Ushauri tu kwa vyote vya siasa nendeni kwenye uchaguzi Mkuu mkiwa tiyari mmekaa meza moja na kujadili njia sahii ya kufanikisha uchaguzi ,huku kila chama kikiwa na mkakati wake wa ndani jinsi ya kufanikisha ushindi kwa chama kingine .Rafu za waziwazi zinaweza tupeleka pabaya kama taifa .
Makatibu wote wa vyama inatakiwa kukutana na kufanya maridhiano kabla ya uchaguzi .Tupo tusio na vyama na hatutaki siku moja kuharibu nchi yetu kwa machafuko ya kisiasa kimzaa zaa .kwa sasa tusibeze hakuna chama kidogo tz
Mungu bariki vyama vyote vya siasa tz
 
Kama aliyoyasema Mnyika ni ya kweli, na sina sababu ya kudhani kuwa si kweli; basi tukubali kwamba CCM wamedhamiria kuvuruga uchaguzi mkuu kungali mapema kabisa.

Lakini maajabu ni haya. Hata kwa kusoma tu yanayoandikwa hapa, inaonekana mipango hiyo haiwastuwi watu.

Badala ya kujadili uovu huo na namna ya kuuzuia, watu wanajadili mambo tofauti kabisa!

CCM wanatafuta kila njia vyama vya upinzani vijitoe, kama ilivyofanyika kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.
 
Kwa hiyo nyie wapinzani mmeona njia pekee ya kufanya siasa ni kupotosha tu? Mnyika ameonekana kupitia vyombo mbalimbali vya habari akichangia maoni yake kwenye rasimu hiyo kwenye kikao kilichoitishwa na Tume kwa ajili ya vyama vya siasa kujadili na kupitisha rasimu. Sasa leo hii mnasema vyama vimeshurutishwa? Wanafiki wakubwa nyie.
Tuwekee hayo yaliyojadiliwa na Mnyika akishiriki.

Kushiriki kwa Mnyika ndio tuchukulie kwamba yaliyojadiliwa yamekubaliwa ni ya maslahi kwa nchi yetu?

Yawekeni wazi watu wayachambue, kama yapo yasiyostahiri kuwepo yaondolewe.
 
Tunawapiga chini wanachelewesha maendeleo
Kuanzia mwaka 1965-1995 hakukuwa na vyama vya upinzani sasa tueleze katika kipindi hicho ni maendeleo gani makubwa yaliyofanyika ktk nchi hii make wengine tumekuwepo kwa kipindi chote hicho.
 
Tulikuwa mstari wa mbele kuzikomboa Nchi za kiafrica kutoka kwenye mikono ya Mabeberu
Kuanzia mwaka 1965-1995 hakukuwa na vyama vya upinzani sasa tueleze katika kipindi hicho ni maendeleo gani makubwa yaliyofanyika ktk nchi hii make wengine tumekuwepo kwa kipindi chote hicho.
 
Tuwekee hayo yaliyojadiliwa na Mnyika akishiriki.

Kushiriki kwa Mnyika ndio tuchukulie kwamba yaliyojadiliwa yamekubaliwa ni ya maslahi kwa nchi yetu?

Yawekeni wazi watu wayachambue, kama yapo yasiyostahiri kuwepo yaondolewe.
Undumi la kuwili wa kiwango cha PhD yani ni kama kuchukua posho Bungeni na kujifanya mnagomea vikao. Uzandiki mtupu.
IMG-20200528-WA0004~2.jpeg
 

Attachments

  • IMG-20200528-WA0004.jpeg
    IMG-20200528-WA0004.jpeg
    30.1 KB · Views: 2
Amekosa la kuongea, badala ya kufikilia maendeleo jimboni kwake, Hawa chadema hawa Upinzani Uchwala, bungeni wamegoma, kuweni na shukrani chama chenu kimechoka , chama Cha mtu mmoja hicho, kubalini hayo kwanza ,
 
Undumi la kuwili wa kiwango cha PhD yani ni kama kuchukua posho Bungeni na kujifanya mnagomea vikao. Uzandiki mtupu. View attachment 1462798
Mkuu, ulielewa nilichoandika?
Hii picha ndiyo inayoonyesha yaliyojadiliwa na ambayo Mnyika anayalalamikia?

Hapa utanilalamikia nikisema unashiriki kuimalisha upotoshaji?

Tuwekee yaliyojadiliwa katika kikao hicho kama unayo nasi tujiridhishe kwamba "Mnyika ni ndumilakuwili wa kiwango cha PhD" kama unavyosema.
 
Back
Top Bottom