johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Bwashee kama Mwenyekiti wa NEC anateuliwa na mwenyekiti wa CCM, dhuluma iko wapi hapo.CCM ni chama cha mashetani, na wewe ni kapepo kachafu ndio maana unafurahia vitendo hivi vya dhuluma
Mnatakiwa kupigania tume huru siyo kulialia tu!