Uchaguzi 2020 Mnyika: Uchaguzi 2020 mawakala kutopewa fomu za matokeo

Uchaguzi 2020 Mnyika: Uchaguzi 2020 mawakala kutopewa fomu za matokeo

Ukitaka kuamini kuwa Mnyika ni mnafiki, mwoga na lengo lake ni kuwateka kiakili Watanzania wajinga, kwa nini hayo maneno hakusema kwenye mkutano na badala yake aliwaita waandishi pembeni akawalisha upuuzi huu ndio maana hakuna hata chombo kimoja kimeripoti zaidi ya mitandao ya CDM.Mi nawatahadharisha Watanzania kipindi hiki tunatakiwa kuwa makini ni siasa hizi za kutafuta huruma ya watanzania.
 
Huwez Muamini Mungu then ufurahie kutesa,kufunga na hata kuua
nyinyi ni tofauti na sisi.sisi tunaamini mungu ndo muweza wa yote,nyinyi chadema mnaamini kupinga kila jambo na kutukana viongozi ndo mafanikio yenu.
 
Mnyika leo amesema kuwa NEC katika kanuni za uchaguzi za 2020 ambazo wanataka kiziwasilisha kwa lazima zinakipengele kinachosema si lazima kwa mawakala kupewa nakala za matokeo yatakayotoka katika vituo.

Maana yake itakuwa wasimamizi wa uchaguzi wanaweza kubandika fomu hewa huku wakisindikizwa na mapolisi na huwezi lalamika popote kama walivyofanya katika uchaguzi wa jimbo la siha.

Goli la mkono limeshatengenezwa teyari na vyama makini mwaka huu hakuna hata mbunge mmoja atakayepita uchaguzi huu kama kanuni hii itakubaliwa.
Hee! Mnyika twambie sasa mnachukua hatua gani? Hii ni aibu kubwa kwa nchi yetu? Upinzani tunaoambiwa kila siku umekufa ndio unaogopwa to this extend ya kujitia aibu. Mbona hawajiamini kivile, uwanja wao, refa wako; wapinzani wako umewafunga kamba, bado unataka kuwafunga macho halafu mcheze mechi na udai ushindi. Aibu yenu, hata nyie!
 
Wanataka ccm ipate uwakilishi wa asilimia mia moja bungeni na kwenye halmashauri kwa hila.

Hili linawezekana kabisa lakini naamini lina madhara makubwa kwa nchi hii kuliko Magufuli anavyofikiria. Tusubiri na tuone.
 
Ni siasa za kipuuzi sana kwa sababu mtu amealikwa kwenye mkutano, amehudhuria, ametoa maoni na baadhi ya maoni yake kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari yamefanyiwa kazi, sasa anatoka nje sijui anataka kujikosha kwenye chama chake anaanza kuongea mambo hayapo. Kiukweli CDM mufilisi kabisa, yani hamna sera mnaleta mambo ya ubazazi tu.
Ukitaka kuamini kuwa Mnyika ni mnafiki, mwoga na lengo lake ni kuwateka kiakili Watanzania wajinga, kwa nini hayo maneno hakusema kwenye mkutano na badala yake aliwaita waandishi pembeni akawalisha upuuzi huu ndio maana hakuna hata chombo kimoja kimeripoti zaidi ya mitandao ya CDM.Mi nawatahadharisha Watanzania kipindi hiki tunatakiwa kuwa makini ni siasa hizi za kutafuta huruma ya watanzania.
 
Ndumi la kuwili
IMG-20200528-WA0004.jpeg
 
Mnyika leo amesema kuwa NEC katika kanuni za uchaguzi za 2020 ambazo wanataka kiziwasilisha kwa lazima zinakipengele kinachosema si lazima kwa mawakala kupewa nakala za matokeo yatakayotoka katika vituo.

Maana yake itakuwa wasimamizi wa uchaguzi wanaweza kubandika fomu hewa huku wakisindikizwa na mapolisi na huwezi lalamika popote kama walivyofanya katika uchaguzi wa jimbo la siha.

Goli la mkono limeshatengenezwa teyari na vyama makini mwaka huu hakuna hata mbunge mmoja atakayepita uchaguzi huu kama kanuni hii itakubaliwa.
Hapa ndipo ninapoona shida yetu,Watanzania,taarifa hii sio sawa,ni hisia na kutaka kuonewa huruma.kanuni yenyewe haijawakilishwa,tume haijasema wanakusudia kubadilisha kanuni,leo sisi tunaanza magoli ya mkono
 
Back
Top Bottom