johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Bwashee kama Mwenyekiti wa NEC anateuliwa na mwenyekiti wa CCM, dhuluma iko wapi hapo.CCM ni chama cha mashetani, na wewe ni kapepo kachafu ndio maana unafurahia vitendo hivi vya dhuluma
Bwashee huyo Jaji wa NEC ni mteule wa nani?!Yohane Mbatizaji,Ni jambo jema Wakala kutopewa fomu ya Matokeo?
Viashiria vya vurugu vitabarikiwa kwenye madhabahu ya mchungaji wa river side ubungo.Mnyika leo amesema kuwa NEC katika kanuni za uchaguzi za 2020 ambazo wanataka kiziwasilisha kwa lazima zinakipengele kinachosema si lazima kwa mawakala kupewa nakala za matokeo yatakayotoka katika vituo. maana yake itakuwa wasimamizi wa uchaguzi wanaweza kubandika fomu hewa huku wakisindikizwa na mapolisi na huwezi lalamika popote kama walivyofanya katika uchaguzi wa jimbo la siha. goli la mkono limeshatengenezwa teyari na vyama makini mwaka huu hakuna hata mbunge mmoja atakayepita uchaguzi huu kama kanuni hii itakubaliwa.
Namchukia shetani na kazi zake zoteHakuna kukubaliana na hizo kanuni, na inatakiwa iwekwe wazi wananchi wote wajue. Huo ni ushahidi kuwa ccm imechoka kushindana.
Haya bwana nimekupataBwashee huyo Jaji wa NEC ni mteule wa nani?!
Kwani wana mpango wa kugombea?Mnyika leo amesema kuwa NEC katika kanuni za uchaguzi za 2020 ambazo wanataka kiziwasilisha kwa lazima zinakipengele kinachosema si lazima kwa mawakala kupewa nakala za matokeo yatakayotoka katika vituo. maana yake itakuwa wasimamizi wa uchaguzi wanaweza kubandika fomu hewa huku wakisindikizwa na mapolisi na huwezi lalamika popote kama walivyofanya katika uchaguzi wa jimbo la siha. goli la mkono limeshatengenezwa teyari na vyama makini mwaka huu hakuna hata mbunge mmoja atakayepita uchaguzi huu kama kanuni hii itakubaliwa.
Kanisa lako?mimi kanisa langu nilishaachana nalo baada ya kuruhusu viongozi wa ccm kuingia humo , huwezi kuruhusu shetani aingie mazabauni na siye waumini tukakaa kimya
Chadema acheni uwongo
Kanisa lako?
Niliuliza swali, sijui uliliona? Hivi Chadema itagombea uchaguzi wa Oktoba, 2020?Hapa nilipo ni kama nakuona vile. Zile mbwembwe zote kuwa ccm inakubalika na itashinda kwa 98%, kumbe mbinu zilikuwa hizi! Tumesema sana kuwa Magufuli yuko kwenye siasa, na madaraka aliyonayo kwa sababu katiba yetu inatoa mwanya kwa viongozi kuchezea chaguzi. Huu uhuni ndio uliopelekea mapenzi bandia kwa Mbatia hivi karibuni, ili atumike na vibaraka wengine kama kina Lipumba baada ya kupoteza mvuto, ili kufunika dhuluma.
CCM kwanini inalazimisha kutawala bila ridhaa ya wananchi?Mnyika leo amesema kuwa NEC katika kanuni za uchaguzi za 2020 ambazo wanataka kiziwasilisha kwa lazima zinakipengele kinachosema si lazima kwa mawakala kupewa nakala za matokeo yatakayotoka katika vituo. maana yake itakuwa wasimamizi wa uchaguzi wanaweza kubandika fomu hewa huku wakisindikizwa na mapolisi na huwezi lalamika popote kama walivyofanya katika uchaguzi wa jimbo la siha. goli la mkono limeshatengenezwa teyari na vyama makini mwaka huu hakuna hata mbunge mmoja atakayepita uchaguzi huu kama kanuni hii itakubaliwa.
Ujinga wetu ndiyo mtaji wa CCMYote haya wa kujilaumu ni sisi wananchi, hatujielewi kabisa, mambo yanafanyika ovyo ovyo tumetulia tu, eti tunategemea Chadema itusaidia, tutaumia sana