Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Usimfananishe Mandonga na vitu vya hovyoMandonga ndie "Haji Manara" wa ngumi. Inabidi awe na account ya instagram awe anapost mikwara yake. Lazima atapata followers wa kutosha na kupata madili mengi mno. Inabidi awe na mikwara halafu anapigwa 🤣. Lazima atakuwa maarufu sana Tanzania
Hutaamini ni yeye anapigwa ngumi moja na haamki tena.Daah jamaa ana maneno ya kutisha sana, ila ile clip yake anayopambana na mti inaogofya mno au ile aliyobeba gogo kama la 90kg huku anakimbia acha kabisa
Hahahaha....ila MANDONGA bwanaa[emoji1787][emoji1787]Kaoneka kaambiwa aende na Jeneza lake
Watanzania ni watu wa kudandia vitu Wala hakuna anayempenda huyo mandonga hata wanaopenda boxing yenyewe wanahesabika.....MTz akishaona kitu kinatrend mtandaoni na yy anaunga tela anafuata mkumboSasa na wewe usiwe kilaza hapa Jf ni the home of the Great Thinkers. Nimesema Karim Mandonga ndio " Mike Tyson" wa ngumi za Tz kwa sasa , sijasema ni Mike Tyson. Mike Tyson is not the same as " Mike Tyson"
Wakati wa utawala wake Mike Tyson alipendwa sana na mashabiki wa ngumi duniani. Haimaanishi Mike Tyson ndio alikuwa bondia bora hell no.
Wakati wake kulikuwa na mabondia wa ukweli kama " The Real Deal" ambae mimi nasema ndio bora kabisa kuwahi kutokea kwenye uso wa dunia ukiachana na " Utatu mtakatifu wa mabondia" i.e Mohamed Ali, George Foreman na Joe Frazier.
But wakati wa Tyson, Tyson aliimbwa yeye tu. It was as if he was the only boxer.
Kama asingekuwa exposed na Evander hiyo mwaka 96 basi up to this time bado runge amini Mike ndio bondia bora wa wakati wote.
Back to Mandonga. Mandonga ametokea kupendwa sana na watu.
Huwezi amini sasa hivi bar zote Tz zimejaa kila mtu anataka kumtazama Mandonga.
Taifa zima limesimama kila mtu anataka kumshuhudia Mandonga akifanya vitu vyake.
Mangonga ni " Mike Tyson" katika aspect ya kupendwa na watu.
50 cents aliwahi kusema mwaka 2003 na mnukuu " in hood they say there is no business like ho business but on hollywood they say there is no business like show business" na mimi naongeza yangu " In Tanzania Boxing there is no business like Karim Mandonga".
Karim Mandonga mbele kwa mbele
Kamuokote huko, kashachapika..atafute kazi ingine ya kufanya, atakufa.Sasa na wewe usiwe kilaza hapa Jf ni the home of the Great Thinkers. Nimesema Karim Mandonga ndio " Mike Tyson" wa ngumi za Tz kwa sasa , sijasema ni Mike Tyson. Mike Tyson is not the same as " Mike Tyson"
Wakati wa utawala wake Mike Tyson alipendwa sana na mashabiki wa ngumi duniani. Haimaanishi Mike Tyson ndio alikuwa bondia bora hell no.
Wakati wake kulikuwa na mabondia wa ukweli kama " The Real Deal" ambae mimi nasema ndio bora kabisa kuwahi kutokea kwenye uso wa dunia ukiachana na " Utatu mtakatifu wa mabondia" i.e Mohamed Ali, George Foreman na Joe Frazier.
But wakati wa Tyson, Tyson aliimbwa yeye tu. It was as if he was the only boxer.
Kama asingekuwa exposed na Evander hiyo mwaka 96 basi up to this time bado runge amini Mike ndio bondia bora wa wakati wote.
Back to Mandonga. Mandonga ametokea kupendwa sana na watu.
Huwezi amini sasa hivi bar zote Tz zimejaa kila mtu anataka kumtazama Mandonga.
Taifa zima limesimama kila mtu anataka kumshuhudia Mandonga akifanya vitu vyake.
Mangonga ni " Mike Tyson" katika aspect ya kupendwa na watu.
50 cents aliwahi kusema mwaka 2003 na mnukuu " in hood they say there is no business like ho business but on hollywood they say there is no business like show business" na mimi naongeza yangu " In Tanzania Boxing there is no business like Karim Mandonga".
Karim Mandonga mbele kwa mbele
Kachakazwa, atafute mishe zingine, ila Mtu kazi anazingua qmmke.Si wanasema kachapika huko?.