Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Karim Mandonga ndio "Mike Tyson" wa ngumi za Tanzania kwa sasa

Big up namfuatilia mwanzo mwisho mandonga kateka soko si watoto si wadada hope mikwara yake inaleta mvuto nilizoea kumuangalia mwakinyo ila leo na kuendelea mandonga mtu kazi

Naweza kusema hy na mambo yake kama diamond kweny mziki alianza ivi ivi kiutani utani pale mbgala live mpaka kafika mbalj

Kwa mara ya kwanza nawaona wadada wengi hawana mambo ya ngumi wanampost
 
Kaoneka kadandia mtumbwi kibwengu.... Ndo mtumbwi gani wakuu??
 
Watanzania ni watu wa kudandia vitu Wala hakuna anayempenda huyo mandonga hata wanaopenda boxing yenyewe wanahesabika.....MTz akishaona kitu kinatrend mtandaoni na yy anaunga tela anafuata mkumbo

Kamata mfuata mkumbo mmoja muulize round moja ya boxing ina dk ngap Kama hujashangazwa na majibu yao
 
Kamuokote huko, kashachapika..atafute kazi ingine ya kufanya, atakufa.
 
Huu wimbo wa Taifa wanaotumia hawa waandaaji wa haya mapambano wameutoa wapi? Mapambano yote wanautumia huuu huu , unakuwa na fade out katikati kama umeisha kwa pozi ndeefu , watu wanashangilia unaanza tena
 
Nilipita sehemu,nikasikia watu wanasema,Mandonga mtu kazi... sikuekewa,kumbe....
 
Mandonga anapiga miti na inakubali leo hii anapigwa kirahisi hivi[emoji23]hapana lipo jambo.mzee wa kazi ajipange tena upya asahau yaliyopita,naamini next time Mandonga atauwa mtu kwenye ulingo[emoji23][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…