Manzi wangu sio mshabiki wa vitasa kabisa lakini ilibidi anilazimishe twende baa tukamuangalie Mandongo [emoji23][emoji23]
Sidhani kama upo sahihi kusema wanafuata mkumbo kwa trend za mitandaoni....... ndio dunia ya sasa ilivyo all over the World na sii Bongo tu
Mandonga anakipaji cha kujibrand kwa tambo zake za ki comedian, ukimuona anavyotamba kwenye social media na historia yake lazima utatamani kuona atafanya nini ulingoni
Sikuamini nilichokiona, pambano la mandongo ndio lilikua linasubiriwa kwa hamu kubwa na washabiki “wapya” wa ngumu ambao kimsingi walikua wengi kuliko washabiki kindaki ndaki wa boxing ambao walikua wana shauku na pambano mama
Usibeze kupaji cha mandonga katika kuvutia watu kumuangali kwa majigambo kwa mgongo wa wabingo tunafuata mkumbo wa trend