Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Karim Mandonga ndio "Mike Tyson" wa ngumi za Tanzania kwa sasa

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Karim Mandonga ndio "Mike Tyson" wa ngumi za Tanzania kwa sasa

Manzi wangu sio mshabiki wa vitasa kabisa lakini ilibidi anilazimishe twende baa tukamuangalie Mandongo [emoji23][emoji23]

Sidhani kama upo sahihi kusema wanafuata mkumbo kwa trend za mitandaoni....... ndio dunia ya sasa ilivyo all over the World na sii Bongo tu

Mandonga anakipaji cha kujibrand kwa tambo zake za ki comedian, ukimuona anavyotamba kwenye social media na historia yake lazima utatamani kuona atafanya nini ulingoni

Sikuamini nilichokiona, pambano la mandongo ndio lilikua linasubiriwa kwa hamu kubwa na washabiki “wapya” wa ngumu ambao kimsingi walikua wengi kuliko washabiki kindaki ndaki wa boxing ambao walikua wana shauku na pambano mama

Usibeze kupaji cha mandonga katika kuvutia watu kumuangali kwa majigambo kwa mgongo wa wabingo tunafuata mkumbo wa trend
Mandonga anapendwa
 
Mimi ni shabiki kindaki ndaki wa huyo jamaa ila leo kaniangusha sana.bora ata lile pambano la morogoro alilopigwa ngumi jiwe moja akakaa.Ila huyu jamaa nahisi kuna kilevi anatumia sio bure.Au ngumi sio mchezo wake anafanya kama fan tu ndo maana hayuko serious.Anatukwaza mashabiki wake.
Alipanda jukwaani akiwa amewaka tayari mixer udamba na dupu
 
Back
Top Bottom