Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni: Rais Magufuli yupo well-informed na fiti sana kichwani kwa kumbukumbu. Ana data hadi za majungu hatarishi ya ndoa!

Pascal Mayalla,
hahahaaaa! kweli Pompeo ni baba lao.

yaani hadi wapiga zumari wa mfalme washaanza kuji distance naye na kuanza ku criticise ofisi yake?!

mazuri yanakuja 2020!!
 
Mkuu katika hilo la kuwafahamu wateule kuna katabia ka jiwe kuchimba makabila ya wateule, kuanzia wazazi wao.

Hii ilianza kama utani wa kawaida ila sasa inaonekana kama ni kigezo cha kupima uwezo wa kiutendaji wa mteule.

Hii tabia kama itaitwa "ukabila" au haitaitwa hivyo ni mbaya kwa mustakabali wa taifa! Siku baada ya siku qualifications za wateule zinaunganishwa na tabia za makabila yao, wahehe, wachaga, wazaramo, wahaya, wasukuma nk..Mtazamo wa haya makabila kama kigezo cha uteuzi unategemea na uelewa wake yeye kuhusu tabia za hayo makabila!!!
 
Taifa limefikia hatua ya hatari kabisa! Mbunge anataka mbunge mwenzie auawe kabla hajarudi nchini, wanasiasa wa CCM wanahamasisha kuua wapinzani wa Ccm kwenye mikutano ya wazi kabisa .....!

Rais anatakiwa apewe sifa kwa kukariri udaku wa wanandoa!! Mbona ni kama tumerogwa,!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
@pascalmayala anahoji ikiwa Rais anataarifa za wateule wake, hizi panga pangua zinatokeaje?

Ndugu pascal salamu.
1. Watu hubadilika, mtu aliyeaminiwa kisha akaamua kubadilika na kufanya hiyana, huitwa mnafiki. Kama Mungu amewaahidi wanafiki adhabu kali, basi wanadamu hatuna budi kuwapiga vita. Rais anapoteua, hakutumi ukasaini mikataba ya ajabu itakayoliingizia taifa hasara, ni wapuuzi wanaoamini kuwa Rais amewateua kwa kuwa anawapenda, hapana, amewateua kwasababu anawaamini, mkimuangusha, hana namna bali kuwatumbua. Hakuna kulindana.

2. Kuna nafasi ambazo zinahitaji uwe na kifua hasa, sasa mtu katumbuliwa uwaziri anataka aitishe press kubwabwaja, tulia, unapostpost utumbo kwenye social networks ili iweje, mbona simbachawene hakupost chochote. Mliopo kwenye teuzi jifunzeni kitu kwa simbachawene na cag wa tra. Ukitaka kuyapata ya moyoni ya mtu, muondolee mkate wake kwa muda.

3. Suala la TBC kukatisha matangazo si ishu ya mhimili uliojichimbia chini zaidi, tbc wanayo tbc2 na tbc safari. Ikiwa tbc one inarusha bunge live, matangazo ya ikulu yanaweza kuhamishiwa tbc2 au tbc safari halafu huku tbc one tukapitishiwa maandishi kwa chini kuwa tbc safari kuna matangazo ya mojakwamoja kutokea ikulu. Mtazamaji atachagua aende ikulu au abaki bungeni.

Ni hayo anko pascal kwa leo.
Iamokay
Negotiator out.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hapo kwenye kukatisha matangazo, hujui rais anaweza tangaza vita, sasa rais huku katangaza hali ya hatari,gizani, wakati tbc inamrusha vijembe kwa wabunge, kipi unahisi ni cha muhimu?!
 
Nadhani unatakiwa umkumbushe vizuri interview aliyoifanya kwa mkurugenzi wa Dodoma jinsi alivyokalishea kwa hekima na busara ila mimi nimeshangaa mtu ana degree ya kilimo anafanyaje kazi takukuru hahahaah kwenye research na investigation au alikua anafanya investigation ya mbegu za rushwa?
 
Kama anapenda information ivyo angetaka kujua askari 10 wanapotezaje maisha na 5 kujeruhiwa katika mazoezi.

Someone has to bear that responsibility lazima kuna uzembe huko.
 
Ule utaratibu wa Bunge liwe na channel yake uliishia wapi? Ungesaidia kuepusha muingiliano huu
 
Ni aibu kuwa na rais anayefuatilia na kujua mambo ya vyumbani kwa wateule wake lakini hajui mtu anayenyima haki raia wenzake kuishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…