ayubu ebenezer
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 350
- 208
Anaforce vipi akat kasema ametoa muda wa miezi mitatu? ulitaka atoe mwaka mzima?Kweli mkuu nakubaliana na mabadiliko kwa timu ya simba lakini kwa njia anazozitumia mo kutaka kujimilikisha simba sio nzuri na sikubaliani nazo kwasababu anaforce mambo yaende fasta wakati wapenzi na wanachama wa simba awajapata elimu ya kutosha kuhusiana uwekezaji mkuu
Iki kipindi cha miezi mitatu iliyopewa simba ifanye iyo tathmini ya thamani ya klabu af watamwambia kama wamekubali pendekezo lake la 20biln, ye mwenye kasema yale majengo ya simba uongozi umemwambia yanao thamani ya 3.5 biln. haya tuambie ww kipi kingne chakuongezea ambacho inacho simba kitazidi 40bln kama thamani ya klabu nzima? Manake 20biln ni 51%.Mwandishi kasahau swali moja la msingi. Nalo lingeulizwa hiviii.
" Mo unaonaje kama mwana simba na unaeipenda simba ungepeleka ombi kwa uongozi watathmini thamani ya klabu kisha waje na jibu klabu ina thamani gani na baadaye watangaze kuuza hisa katika soko huria ili wenye uwezo muingie kwenye mchakato wa kumpata mshindi ambaye ndo atakuwa mmiliki wa timu. Badala yake unataka wewe upewe direct timu pasipo kushindanishwa na wengine.?"
Mo ndo kawaamsha watu usingizini kaja na io proposal mwanachama gan mwingne alkua na ilo wazo? Kwaio ww unataka timu iachwe bila hela na matokeo mabovu kama saivMO ametumia chance kwakuwa wanachama wako desperate kutokana na matokeo mabovu miaka ya karibuni,Nafikiri MO alipaswa kusisitiza kubadili mfumo wa uendeshaji ambao ungempa kila mwanachama nafasi lakini kitendo cha yeye ku-propose apewe 51% ndio kinatia shaka na kitendo cha kuwatia pressure viongozi kuwa mchakato ufanyike ndani ya miezi 3
Umeongea ukwel mkuu wote wanaompinga MO wanajua atawazibia mianya yao ya kuiibia club hela.....wewe ndugu ndio ninakuelewa sasa!, kumbe wewe ni miongoni mwa kina Aveva mnaotaka simba iendelee kubaki hapa ilipo!, sijui mnafaidika na nini?!
Yaani yote "MO" aliyozungumza mnaona hana anachofanya!, hii ndio roho typical ya mswahili!, mfukoni masikini hana kitu, lakini full mdomo, maneno mengiiii, mipango mingiii...!!!
Hili zoezi Simba wanatakiwa wawe on top of the game for what?!, hawana pesa za usajili, mishahara ya wachezaji shida (mnaila na njaa zenu!), uwanja wa mazoezi, everything ni shida!, halafu eti mtu anapayuka tu, hili zoezi linatakiwa liende taratibu!
Hiyo brand ya Simba imekuwepo miaka na miaka hapo, mmeifanyia nini zaidi ya kujinufaisha binafsi?!, hivi nikiwauliza maendeleo ya uwanja wa Bunju unaweza kunijibu!, siku zote biashara ni faida, hakuna asiejua. Bora uwe na mfanyabiashara anaejulikana wazi, kuliko kuwa na nyie "wafanyabiashara uchwara" mnaoitegemea klabu kujinufaisha!
Hata km hilo zoezi likienda kwa mwendo wa konokono unaoutaka ndio itakuwaje?, kwamba ipo siku mtapata pesa za usajili?, au mnataka kutuchelewesha tu muendelee kupiga dili!, huku timu ikiendelea kufanya vibaya km kawaida?!
Lazima mbadilike kulingana na wakati, msilazimishe mambo yabaki km yalivyo siku zote wakati maendeleo ya klabu ni mabovu, nahisi KUNA KITU UTAKUWA ULIKUWA UNAKITAFUTA SIMBA, HUU UJIO WA MO UMEKUHARIBIA DILI, katege sehemu nyingine!
Ntamsaidia kujibu no. 3...Mimi nina maswali wadau mnisaidie:-
1. Simba ni ya nani? Nani anaiuza? Na atapata faida kiasi gani kwenye huo mchakato?
2. (Hili linaendana na nilo la 1), ikishatolewa hiyo 20bil, hela za kuiendesha timu zitatoka humo humo au hizo zinakuwa ni za manunuzi tu, hivyo mmiliki atakuja na hela nyingine ya kuendeshea timu?
3. Tumeambiwa 20bil ni kwa asilimia 51, je hiyo 49% inayobaki nani atamiliki? Atatoa hela equivalent au hizo share zitakazobaki zitakuwa na thamani tofauti?
4. (Hili linaendana na nilo la 3), ikitokea wanunuzi wakakosekana hisa zitakazobaki zitaenda wapi? Na mmiliki atabaki Mo peke yake?
Na kuna pahala kasema Manchester United ni mabingwa, naomba kujua mabingwa wa nini? Nimesahau.West Bromwich albion wamepanda daraja gani kutoka daraja gani!!!???.....
Asikutishe, eti "biashara za vilabu" biashara ni biashara, muuzaji anasepa na hela yake.Hapana mkuu, leta ufafanuzi ndugu.
Iki kipindi cha miezi mitatu iliyopewa simba ifanye iyo tathmini ya thamani ya klabu af watamwambia kama wamekubali pendekezo lake la 20biln, ye mwenye kasema yale majengo ya simba uongozi umemwambia yanao thamani ya 3.5 biln. haya tuambie ww kipi kingne chakuongezea ambacho inacho simba kitazidi 40bln kama thamani ya klabu nzima? Manake 20biln ni 51%.
My take:
Mimi naona wanachama wengi wakawaida wanataka timu auziwe Mo! Coz wao wanachotaka ni team ifanye vizuri wawe na furaha ili wawatambie Yanga, hicho ndo mwanachama wa kawaida anataka, na wengi hawajui kuwa Mo atawanunulia hisa ili wawe Wamiliki
Unabadilisha mfumo halafu ndio unakaribisha watu wa kununua hisa au timu kamili.
Wenye pesa wananunua mfumo au "business model" na si timu pekee- mfumo ni pamoja na mapato ya uwanjani yaani viingilio, mauzo ya jezi na vifaa au "merchandise", mauzo na manunuzi ya wachezaji na mapato yanayotokana na majengo au jengo
Kwa kuwa yupo mtaalam bwana Hans Pope
Mo ndo kawaamsha watu usingizini kaja na io proposal mwanachama gan mwingne alkua na ilo wazo? Kwaio ww unataka timu iachwe bila hela na matokeo mabovu kama saiv
Lakini mkuu pamoja na ukweli huo....Mfumo wa sasa wa vilabu vyetu hivi umeshachoka.....Tunakoelekea ni sahihi...cha msingi utaratibu ufuatweMO kaja ni hii proposal baada ya kuona timu inafanya vibaya na mashabiki/wapenzi/wanachama wameuchoka uongozi wa wa kina Aveva.MO alishakuwa mfadhili wa Simba enzi hizo na timu ilifanya vizuri wakati huo hakuleta hiyo proposal na hata angeileta wanachama wangekataa kwa sasa hawana ujanja kutokana na kunyanyaswa kwa muda mrefu na watani zao
Lakini mkuu pamoja na ukweli huo....Mfumo wa sasa wa vilabu vyetu hivi umeshachoka.....Tunakoelekea ni sahihi...cha msingi utaratibu ufuatwe
Dah! Mwanangu ww mgumu kuelewa, hayo mambo yahisa nimambo yakitaalam hakuna kutapeliana huko
Sijakataa hilo but mimi sio muumini wa timu kumilikiwa na watu wachache,mabadiliko ya mfumo yalikuwa kuwashirikisha wanachama/wapenzi/mashabiki wengi zaidi kuliko ilivyo sasa.Hivi unajua hata wanachama waliohudhuria hicho kikao cha maamuzi hawakufika hata 3000 ?
Na sikubaliani kabisa na yeye kupewa hisa 51% nafikiri umeona hata maoni ya Zitto amesema limit ya mwanachama kumiliki hisa isizidi 40%
Hapa Dar tu Simba/Yanga zingeweza kuwa na wanachama zaidi ya 100,000 na idea ya MO haina dalili ya kuongeza ushiriki wa wanachama yeye anataka process iende haraka ili apewe timu
hivi vijana wa leo mkoje? MTU anapouliza sio kuwa hakumsikia mtu akisema ila hajaelewa! mimi nilichouliza hakiusian na Mo moja kwa moja nimeuliza ili kupata ufahamu in general, sasa sifahamu kwann umenijibu kifedhuri namna hiyo! sio kila MTU anajua haya mambo ya share holder ndugu yangu kama ungeoikua una akili timamu wala usingejisumbua kunijibu kama MTU uliyekurupushwa unajisaidia kichakani! TUHESHIMIANEAnza wewe kujibu Mo amesemaje .... Auziwe timu
Ntamsaidia kujibu no. 3...
Mo anasema yeye atamiliki 51% ya hisa, na Wanachama wa Simba watamiliki 49, alisema kila mwanachama wa Simba atamnunulia hisa ambapo jumla ya umiliki wao ni utakua 49%..
My take:
Mimi naona wanachama wengi wakawaida wanataka timu auziwe Mo! Coz wao wanachotaka ni team ifanye vizuri wawe na furaha ili wawatambie Yanga, hicho ndo mwanachama wa kawaida anataka, na wengi hawajui kuwa Mo atawanunulia hisa ili wawe Wamiliki, wao wanataka team ishinde.....tatizo lipo kwenye Viongozi, kama team ikiuzwa Hawatapata cha juu toka kwenye usajiri, Makomandoo hawatapata pesa za milangoni n.k, Hawa ndo wananufaika na Simba.....naona Simba iuzwe tu coz ikianza kujiendesha kwa faida, wanachama watapata pesa kadri ya umiliki wao wa Hisa, kwani sasa wanapata nini? Hawana umiliki wa Hisa means hawaingizi chochote na wengi sasa wana magonjwa ya moyo kwa kufungwa na Yanga!
Hebu tuwekane sawa tofauti ya kuuza na Ku share holding !! maana tusije kutoka mishipa ya shingo ilihali hatujui tofauti ya maneno haya mawili au msambamba wake
Mkuu una akili mno.
Jamaa hela kaizungusha inarudi mfukoni mwake kama 51%.
Kununua ni kama kawalipa waliokua wameshika hiyo 51% earlier akafanya buyout,hao watu wakashika mshiko wao 20Bil wakasepa,then akaanza kuwekeza kwenye timu afresh.
Jamaa hajanunua kitu,kapewa timu bure 51%,halafu hiyo 20B ni ya kuendeshea timu.
Infact naweza hisi Simba haikua na mmiliki,ilikua kama NGO/Association tu,nadhani Trustees walikua wanashika madaraka kwa niaba ya washika kadi.
Aisee jamaaa ana-close business of the century,kapewa timu bureeee!