MO afuatiliwe kwa utakatishaji wa pesa

MO afuatiliwe kwa utakatishaji wa pesa

Mo hakusema kama atawapa Simba Bil 20. Alichokifanya alichukua Bil 20 akaziweka kwenye fixed Account Kisha Riba ya hizo pesa ndio itatumika kuendesha Club.

Rudia vizuri midahalo ya wati ule utaona. Pia ipo video Mo anaelezea yote haya.

Kama unakumbuka mwanzoni alipata upinzani mkubwa kutoka kwa wanasimba wasomi kwamba iweje tumpe 50% kwa pesa itakayowekwa kwenye fixed account?
Lekaga gete, nahene milimo.

Mlimpola bhagosha bhane!

Shalom!
Mpaka sasa hakuna anaeweza kuthibitisha kuwa MO amesha weka ile bilioni 20 kwenye account ya simba au Ile ya kampuni,sidhani hata BMT sidhani wamewahi kuthibitisha. Mzee Rage hapa karibuni amesisikika akiomba BMT audition ya kifedha ,kwenye vilabu hivi.

Maana hakuna ajuaye mapato ya klabu kwa mwaka,mikataba kama mo extra na halisi, bajeti ya usajili na gharama za uendeshaji kwa msimu uliopita. Kubwa logo ya klabu ni mkutano gani ulioidhinisha.

Kwanini tunahofu na money laundry usajili unaofanyika tunahisi unatoka nje ya mapato ya klabu, zipo hisia kuwa kuna genge linaitumia klabu kutakatisha fedha. Maana kama ni udhamini lazima uwe kwenye mkataba. N.a. flow yake ieleweke!

NB:ni ushauri tu sijasema anatakatisha!Ila wanazengo tuna mashaka tu.

Wapinga rushwa tunawasilisha.
 
Mo simba sport clubs, sisi tunataka kutwa taji la club bingwa maneno achia utopolo na GSM wenye mikataba feki
 
Mo hakusema kama atawapa Simba Bil 20. Alichokifanya alichukua Bil 20 akaziweka kwenye fixed Account Kisha Riba ya hizo pesa ndio itatumika kuendesha Club.

Rudia vizuri midahalo ya wati ule utaona. Pia ipo video Mo anaelezea yote haya.

Kama unakumbuka mwanzoni alipata upinzani mkubwa kutoka kwa wanasimba wasomi kwamba iweje tumpe 50% kwa pesa itakayowekwa kwenye fixed account?
Kwahiyo hataingiza pesa kwenye akaunti ya simba,pesa ya samata nayo imeingizwa kwenye account gani
 
Ya manji yatatukuta siku mo akizingua
Wakati wote ni bora kuficha ujahilia wako kwa usichokijua. Kulinganisha ufadhili wa Manji na Bodi ya Simba ni ujinga wa kiwango cha vikao vya kahawa.
Haya mambo yalifafanuliwa na wanasimba wakakubali mabadiliko.
Wewe ni Utopolo ungekuwa na wasiwasi na GSM kwa ni yale yale ya Manji.
 
Wakati wote ni bora kuficha ujahilia wako kwa usichokijua. Kulinganisha ufadhili wa Manji na Bodi ya Simba ni ujinga wa kiwango cha vikao vya kahawa.
Haya mambo yalifafanuliwa na wanasimba wakakubali mabadiliko.
Wewe ni Utopolo ungekuwa na wasiwasi na GSM kwa ni yale yale ya Manji.
Pumbavu
 
Bil 20 hazitaingizwa kwenye kwenye account ya Simba. Bil 20 inawekwa kwenye account maalum bank. Kisha riba yake ndio inaenda Simba. Mfano kama Bank inatoa riba ya 7% kwa hiyo kila mwaka Simba itapata Bil 1 na mil 400 kwa kuendeshea shughuli za kila siku.

Siku Mo akiamua kuondoka Simba atachukua Bil 20 zake kutoka kwenye ile account maalum.

Nadhani umenielewa.
Kwahiyo hataingiza pesa kwenye akaunti ya simba,pesa ya samata nayo imeingizwa kwenye account gani
 
Huyo mdosi wa kuangaliwa sana.
Chuki uliyonayo inaweza kukata reli.Mo sio kosa lake. Walaumu viongozi wako ambao wanavujisha siri kila siku.Mkataba wa Morrison kutokuwepo ni tips kutoka viongozi wenu ili GSM wafeli. Larry Bwalya alipewa kazi kiongozi wenu akachelewa makusudi. Ame hivyo hivyo. Mnajaza maji kwenye gunia.
 
Kwahiyo hataingiza pesa kwenye akaunti ya simba,pesa ya samata nayo imeingizwa kwenye account gani
Huyu fala alikuwa kwenye coma nini?Naamini hata jela kuna upatikanaji wa habari.
 
Unateseka na simba yetu [emoji1787] acha mo atupe raha tu baki na team yako [emoji113]
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Yanga walilalamika TFF kwamba Simba wanamrubuni Morisson. Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga akaliondoa shauri TFF na kuwaambia ilikuwa ni taarifa tu sio malalamiko. Mwenyekiti Msola kwenye Press Conference hivi karibuni alilalamika kwamba TFF hawataki kulisikiliza shauri lao.
Maskini hakujua kwamba shauri liliondolewa na Katibu wake.
Hivi hawa wapo kwenye ofisi na uongozi mmoja?
Ndio maana GSM wameamua kutowaamini hawa viongozi. Utafikiri mnada. Kila moja anasema anachotaka.GSM nao hawajui chochote kuhusu mpira.
 
Bil 20 hazitaingizwa kwenye kwenye account ya Simba. Bil 20 inawekwa kwenye account maalum bank. Kisha riba yake ndio inaenda Simba. Mfano kama Bank inatoa riba ya 7% kwa hiyo kila mwaka Simba itapata Bil 1 na mil 400 kwa kuendeshea shughuli za kila siku.

Siku Mo akiamua kuondoka Simba atachukua Bil 20 zake kutoka kwenye ile account maalum.

Nadhani umenielewa.
Usilazimishe mambo.
 
Back
Top Bottom