mpita-njia
JF-Expert Member
- Dec 3, 2010
- 1,734
- 1,616
Ila sijui wabongo tunakwama wapi. Hizo B20 Wanachama walikuwa wanaweza kuzikusanya kama wangetaka.
Lakini je unaweza kuwaamini viongozi ukawapa funguo la kabati yenye pesa zote hizo?
Lakini je unaweza kuwaamini viongozi ukawapa funguo la kabati yenye pesa zote hizo?
Heshima kweli apewe.
Ila Bilioni 20 alitakiwa aziweke kwenye Simba Sports Club Company ltd. Kampuni ambayo atamiliki 49%.