MO afuatiliwe kwa utakatishaji wa pesa

MO afuatiliwe kwa utakatishaji wa pesa

Ichunguzwe na makato ya Mishahara ya wabunge wa cha Domo kwa miaka mitano zilipokwenda
 
Nendeni CAS kwanza. Mkishapewa jibu, ndio tutaanza kuangalia hilo hitaji lako. Ila kumbuka wivu ni kidonda.....
Lekaga gete, nahene milimo.

Mlimpola bhagosha bhane!

Shalom!
Mpaka sasa hakuna anaeweza kuthibitisha kuwa MO amesha weka ile bilioni 20 kwenye account ya simba au Ile ya kampuni,sidhani hata BMT sidhani wamewahi kuthibitisha. Mzee Rage hapa karibuni amesisikika akiomba BMT audition ya kifedha ,kwenye vilabu hivi.

Maana hakuna ajuaye mapato ya klabu kwa mwaka,mikataba kama mo extra na halisi, bajeti ya usajili na gharama za uendeshaji kwa msimu uliopita. Kubwa logo ya klabu ni mkutano gani ulioidhinisha.

Kwanini tunahofu na money laundry usajili unaofanyika tunahisi unatoka nje ya mapato ya klabu, zipo hisia kuwa kuna genge linaitumia klabu kutakatisha fedha. Maana kama ni udhamini lazima uwe kwenye mkataba. N.a. flow yake ieleweke!

NB:ni ushauri tu sijasema anatakatisha!Ila wanazengo tuna mashaka tu.

Wapinga rushwa tunawasilisha.
 
Ligi ianzemaanautopolo wameanza kunenepa.. Kwa kutetemeka kwenu huku tutawapiga Barca kabisa yaani 8 .
 
Sasa wewe umeona hili jukwaa ni la wasukuma pekee??

Nenda kaongelee mambo ya kilugha Nyumbani kwenu kwenye vikao vya kifamilia.

Haalafu wewe ukiwa mwana hisa na chama,kampuni au kikundi hurusiwi kuiboresha bidhaa yenu?

Wewe CHURA kimvua kimenyesha sasa rudi matopeni upooze hayo maumivu na makovu ya jua uliyonayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mo ana akili ya biashara. Anapambana kujenga brand ya Simba. Mpaka mkataba wa Sportspesa unaisha Simba itakuwa juu sana,inaweza kupata udhamini wa pesa ndefu sana
 
Lekaga gete, nahene milimo.

Mlimpola bhagosha bhane!

Shalom!
Mpaka sasa hakuna anaeweza kuthibitisha kuwa MO amesha weka ile bilioni 20 kwenye account ya simba au Ile ya kampuni,sidhani hata BMT sidhani wamewahi kuthibitisha. Mzee Rage hapa karibuni amesisikika akiomba BMT audition ya kifedha ,kwenye vilabu hivi.

Maana hakuna ajuaye mapato ya klabu kwa mwaka,mikataba kama mo extra na halisi, bajeti ya usajili na gharama za uendeshaji kwa msimu uliopita. Kubwa logo ya klabu ni mkutano gani ulioidhinisha.

Kwanini tunahofu na money laundry usajili unaofanyika tunahisi unatoka nje ya mapato ya klabu, zipo hisia kuwa kuna genge linaitumia klabu kutakatisha fedha. Maana kama ni udhamini lazima uwe kwenye mkataba. N.a. flow yake ieleweke!

NB:ni ushauri tu sijasema anatakatisha!Ila wanazengo tuna mashaka tu.

Wapinga rushwa tunawasilisha.
kwanza umeanza na salamu za kikabila ukaja na ya kidini, yani huna hoja, hupati sapoti, na tunaona unatuletea ukabila, udini na urangi (racism) , tunaomba yafe mawazo yako
 
Lekaga gete, nahene milimo.

Mlimpola bhagosha bhane!

Shalom!
Mpaka sasa hakuna anaeweza kuthibitisha kuwa MO amesha weka ile bilioni 20 kwenye account ya simba au Ile ya kampuni,sidhani hata BMT sidhani wamewahi kuthibitisha. Mzee Rage hapa karibuni amesisikika akiomba BMT audition ya kifedha ,kwenye vilabu hivi.

Maana hakuna ajuaye mapato ya klabu kwa mwaka,mikataba kama mo extra na halisi, bajeti ya usajili na gharama za uendeshaji kwa msimu uliopita. Kubwa logo ya klabu ni mkutano gani ulioidhinisha.

Kwanini tunahofu na money laundry usajili unaofanyika tunahisi unatoka nje ya mapato ya klabu, zipo hisia kuwa kuna genge linaitumia klabu kutakatisha fedha. Maana kama ni udhamini lazima uwe kwenye mkataba. N.a. flow yake ieleweke!

NB:ni ushauri tu sijasema anatakatisha!Ila wanazengo tuna mashaka tu.

Wapinga rushwa tunawasilisha.
Tunashukuru Utopolo fc kumleta Luc, maana ametufumbua fumbo kua mashabiki wa Utopolo fc wanaropoka tu ka manyani
 
Sasa wewe umeona hili jukwaa ni la wasukuma pekee??

Nenda kaongelee mambo ya kilugha Nyumbani kwenu kwenye vikao vya kifamilia.

Haalafu wewe ukiwa mwana hisa na chama,kampuni au kikundi hurusiwi kuiboresha bidhaa yenu?

Wewe CHURA kimvua kimenyesha sasa rudi matopeni upooze hayo maumivu na makovu ya jua uliyonayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuboresha kwa muhtasari upi
 
Manyani FC bhana! 😂😂😂
Kwani Flow ya Fedha ya GSM inajuilikana? Coz anasajili na kuchangia mishahara bila ya Mkataba!
Kwanza ungeanza na Mababa zenu GSM
Bro ubaguzi kwa wenzetu all sera ya simba
 
Back
Top Bottom