Abbasfarudume
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,625
- 1,326
- Thread starter
-
- #21
Hawawezi kuelewana kwenye manunuzi na club ikikaa nao pamoja, na kuwanganisha mkuu.Haiwezekani. Hao jamaa ni wafanya biashara wakubwa. Kila mtu anataka awe majority share holder. Kila mtu kati yao anataka awe mmiliki.
Kwenye suala la tenda zikishawakilishwa anachukuliwa aliyetoa ya juu kwenye kuuza na kununua anachukuliwa aliyetoa ya chini, hakuna vya kuongeza dau labda mchakato wa awali ufutwe.
wapiga kelele hawana hata kumi[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] fata upepo tuKwani Dau la MO ni shs ngapi? kwani hawawezi wakachukua MO asilimia 40 na Barhesa 40 na wapiga kelele wakapewa asilimia 20 kwani mpira siku hizi ni pesa.
😀 😀 😀 😀 😀 😀 bakhresa nae siku zote alikuwa wapi?
Manji hana sifa Mkuu.Manji kaweka 30b mezani dk 5 zilizopita
Ila kwenye hii waliangalia sana kigezo cha pesa, na kinachofurahisha hapa hawa wawili wote ni tycoons na wana 'asili' zinazofanana kwa kiasi kikubwa.Kwenye tenda kigezo sio pesa peke yake hiyo ni kimojawapo bado aliteoa kidogo anaweza kushinda kwa kungalia hivyo vigezo vingine
Tuko pamoja sana mkuu.Manji hana sifa Mkuu.
Back to the point. Bakhressa (SSB) hana jipya, amekuwa na Azam kwa kipindi kirefu, hatujaona mabadiliko ya kweli ya soka hasa uwanjani tukiachana nahayo majim na maswimingi puu.
Simba watumie principle hii:
Ni heri ya Shetani unayemjua (MO) kuliko Malaika (SSB) usiyemjua.
Timu apewe MO.
Soka LA bongo lina usimba na yanga ndio maana bakhressa akaona aingie huko kwenye ushabiki Nazi ili awatibue wanazi woteManji hana sifa Mkuu.
Back to the point. Bakhressa (SSB) hana jipya, amekuwa na Azam kwa kipindi kirefu, hatujaona mabadiliko ya kweli ya soka hasa uwanjani tukiachana nahayo majim na maswimingi puu.
Simba watumie principle hii:
Ni heri ya Shetani unayemjua (MO) kuliko Malaika (SSB) usiyemjua.
Timu apewe MO.
Hakuna ubaya kurejeshewa. Mwenye Kisu Kikali Ndiye..... NyamaMo arudishiwe iyo Billion 1 yake then mchakato uendelee.
Simba pumbavu kwelikweliTajiri kijana barani africa Bw, Mo dewji amepata changamoto kwa mfanyabiashara, mwenzake. Katika ununuzi wa hisa za club ya Simba Bw, Said Salim Bakhresa, ameweka dau la shillings za kitanzania Billion 25 huku Bw, Mo akidhani yupo peke yake.
Kwenye huo mchakato wa kuinunua Simba, vigezo vya kuinunua timu ya simba uwe mwanachama hai wa Club, sasa Bw, Bakhresa vigezo vyote anavyo Simba inauza asilimia 50 ya hisa kwa wadau wake, wakati huo huo wanachama wanaona bora timu akabidhiwe Bw, Mo kwa kigezo alishatoa pesa zake, karibu billion moja.
Kwa ajili ya kuisaidia timu. Wakati huo Bakhresa alikuwa wapi wanachama Wakihoji, na wengine wakimtaka Bw, Mo aongeze mpunga kumzidi Bakhresa. Msimamizi wa mchakato huo Jaji mihaya anasema mchakato bado unaendelea.
Siku hizi unajua kuteka watu kwenye nyuzi zako.Tajiri kijana barani africa Bw, Mo dewji amepata changamoto kwa mfanyabiashara, mwenzake. Katika ununuzi wa hisa za club ya Simba Bw, Said Salim Bakhresa, ameweka dau la shillings za kitanzania Billion 25 huku Bw, Mo akidhani yupo peke yake.
Kwenye huo mchakato wa kuinunua Simba, vigezo vya kuinunua timu ya simba uwe mwanachama hai wa Club, sasa Bw, Bakhresa vigezo vyote anavyo Simba inauza asilimia 50 ya hisa kwa wadau wake, wakati huo huo wanachama wanaona bora timu akabidhiwe Bw, Mo kwa kigezo alishatoa pesa zake, karibu billion moja.
Kwa ajili ya kuisaidia timu. Wakati huo Bakhresa alikuwa wapi wanachama Wakihoji, na wengine wakimtaka Bw, Mo aongeze mpunga kumzidi Bakhresa. Msimamizi wa mchakato huo Jaji mihaya anasema mchakato bado unaendelea.
Kuna sheria inayo kataza timu mbili kumilikiwa na MTU mmoja kwenye leage moja.Sheria za FIFA?!!! Sijakupata mkuu
True kabisa mkuuIla kwenye hii waliangalia sana kigezo cha pesa, na kinachofurahisha hapa hawa wawili wote ni tycoons na wana 'asili' zinazofanana kwa kiasi kikubwa.
Unajua nini mkuu Mayonene, hizi timu mbili hata ukiingiza mfumo wa hisa 'uswahili' hautaisha ni yaleyale.
Kanuni walizojiwekea Simba haiwezekani kutoka kumilikiwa na watu 2Kwani Dau la MO ni shs ngapi? kwani hawawezi wakachukua MO asilimia 40 na Barhesa 40 na wapiga kelele wakapewa asilimia 20 kwani mpira siku hizi ni pesa.
Mtu mmoja hawezi miliki timu mbili ligi moja.... ila hapa kule azam atasema ni timu ya kampuni alafu simba anaingia kama mtu binafsiSheria za FIFA kwani, zinasemaje kwenye mchakato kama huo mkuu?