jay-millions
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 3,983
- 10,034
Ngumi ndo ajira mpya mo kitia mkwanja panya rodi hamieni huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mo anawaachia timu lenu kahamia kwenye ngumiHilo pambano limeoneshwa kwenye Azam?
Hilo pambano limeoneshwa kwenye Azam?
Aisee anaonekana mzembe ila sugu huenda akasogea hata ya 8 hukommexico wa mchongo uyu sijui walimuokota wapi hamilizi round10
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
japo ngumi ni uzito ila angalia mkongwe alobondana naeNimefurahishwa sana na mwakyembe ni bondia bora sana.huenda hawa wakina kiduku ni promo tu ila kuna mabondia hapa tanzania wanajua sana ila hawana promo.
Hata huyu Choki anapigana freshNimefurahishwa sana na mwakyembe ni bondia bora sana.huenda hawa wakina kiduku ni promo tu ila kuna mabondia hapa tanzania wanajua sana ila hawana promo.
Cha muhimu bondia ajitengeneze mwenyeweNimefurahishwa sana na mwakyembe ni bondia bora sana.huenda hawa wakina kiduku ni promo tu ila kuna mabondia hapa tanzania wanajua sana ila hawana promo.
Wanaforce K.O watauana Hawa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]uyu mgana na mnamibia wanadaiana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
afu mbona ndo kama kakomaa au yale makofi alokula mwanzo?Huyu Meghana kashavimba masikini..
Kazikazi Aina uduwanziMwakiyembe pambano tamu sana