Mo Boxing: Ibrahim Class ashinda kwa KO dhidi ya Bondia wa Mexico

Hawa jamaa Kila wakikumbatiana, huyu Mnamibia anampiga mwenzie makonzi [emoji28][emoji28]
 
Nimefurahishwa sana na mwakyembe ni bondia bora sana.huenda hawa wakina kiduku ni promo tu ila kuna mabondia hapa tanzania wanajua sana ila hawana promo.
Kocha Hana,anapanua miguu ka anazaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…