mtungu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2021
- 270
- 435
Vip Leo mnaona tafuti au sawa nimeangalia moja la muindi nimelizika mo naona kajiandaa mabondia wako vizuri ngumi zinapigwa
=================
Bondia Mtanzania Ibrahim Class amefanikiwa kushinda dhidi ya Alan Pina kutoka Mexico katika pambano lililofanyika Mlimani City, Dar es Salaam.
Baada ya kuonesha upinzani mkali kuanzia raundi ya kwanza, Pina alipigwa ngumi mbili kali raundi ya 9 zilizomuandusha chini na kulazimika kupewa huduma ya kwanza hapohapo ulingoni baada ya kuonekana kutojitambua kwa muda.
=================
Bondia Mtanzania Ibrahim Class amefanikiwa kushinda dhidi ya Alan Pina kutoka Mexico katika pambano lililofanyika Mlimani City, Dar es Salaam.
Baada ya kuonesha upinzani mkali kuanzia raundi ya kwanza, Pina alipigwa ngumi mbili kali raundi ya 9 zilizomuandusha chini na kulazimika kupewa huduma ya kwanza hapohapo ulingoni baada ya kuonekana kutojitambua kwa muda.