Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Kwahivo leo dakika ya 43 mtampigia Nabi makofi ya kumshukuru kwa kipindi chote mlichokuwa naye sio... Nawashaurimumpe maslahi yake yote kabla hajaondoka hapo UtopoloniWana Simba wenzangu, muda umefika sasa wa kumshinikiza huyu anayejiita muwekezaji ndani ya timu yetu kuweka ile pesa yote aliyohaidi.
Najua kuwa tatizo la mashabiki na wanachama ni kupumbazwa na matokeo na tunaacha mijadala ya msingi kabisa kwa masilahi ya timu yetu, haishangazi tunaitwa "Mbumbumbu".
Mo Dewj (Kanjibah) kama huna pesa ondoka kwenye timu yetu, waje matajiri wa ukweli kuwekeza.
Nalipia kadi ya uanachama kila mwakaUmeweka shilingi ngapi kama mwanachama?
Tumia akili yako ndio urudi tujadiliHuu ndio umbumbumbu aliosema Rage, tunadhulumiwa kweupe.. tutaanzisha maandamano katika ngazi za matawi... aweke 20b au aondoke... mimi sio mbumbumbu
Ndio maana tunaitwa mbumbumbuSisi tunahangaika na maswala ya Yanga kwa sasa huyu kanjibah acha aibe ale atakavyo[emoji38]
Mimi kama mwanachama kazi yangu ni kulipia kadi ya uanachama kila mwakaHata hela ya kulipa mshahara mchezaji mmoja kwa mwezi huna unadai billion 20 amka ukatafute hela ya kula kwanza
Nalipia kadi ya uanachama ndio kazi yanguKama unaona rahisi kanunue hata maji ya timu tu .
Unapingana na mwenyekiti wetu mstaafu Aden Rage?SIMBA SC haina shabiki wa hovyo kama wewe
SIMBA SC ni timu ya wenye akili timamu.
Mh Rage alikua sahihi... mashabiki na wanachama wengi ni mbumbumbuEti "Wanasimba wenzangu" we jamaa sijui umetuonaje! Utopolo mkubwa wewe.
Mo aweke pesa, acha janja janja za kihindiKwahivo leo dakika ya 43 mtampigia Nabi makofi ya kumshukuru kwa kipindi chote mlichokuwa naye sio... Nawashaurimumpe maslahi yake yote kabla hajaondoka hapo Utopoloni
Mimi nipo kwenye masilahi ya club, sio vituko na propaganda zako hapa JF, kwa wiki unapandisha nyuzi 60... mie nimekuja na challenge kwa vijana, wasomi, wanachama na mashabiki wa simbaTumia akili yako ndio urudi tujadili
Finally umejidhihirisha wewe ni UtoMh Rage alikua sahihi... mashabiki na wanachama wengi ni mbumbumbu
Cha kushangaza hata jezi hujawahi kununua, badili neno wanachama Weka mwanachama, tuachie timu yetuMo aondoke wanachama tutailea timu yetu
Wewe mtopolo hata kununua jezi ya timu yako unashindwaMo aondoke wanachama tutailea timu yetu
Yaani Ghalib ameshainunua Utopolo? Poleni sana kima wa pori la UtopoloRudi kasome mchakato wa mabadiliko ya katiba, utaona mo ni nani na anapaswa kufanya nini? Tuache ujinga, tunauza timu bure
Msukule wa GSM weweHuu ndio umbumbumbu aliosema Rage, tunadhulumiwa kweupe.. tutaanzisha maandamano katika ngazi za matawi... aweke 20b au aondoke... mimi sio mbumbumbu
Hatukutaki utopolo mkubwa weweNalipia kadi ya uanachama kila mwaka