Mo Dewj weka bilioni 20 zetu, acha janja janja

Mo Dewj weka bilioni 20 zetu, acha janja janja

Wana Simba wenzangu, muda umefika sasa wa kumshinikiza huyu anayejiita muwekezaji ndani ya timu yetu kuweka ile pesa yote aliyohaidi.

Najua kuwa tatizo la mashabiki na wanachama ni kupumbazwa na matokeo na tunaacha mijadala ya msingi kabisa kwa masilahi ya timu yetu, haishangazi tunaitwa "Mbumbumbu".

Mo Dewj (Kanjibah) kama huna pesa ondoka kwenye timu yetu, waje matajiri wa ukweli kuwekeza.
Kwahivo leo dakika ya 43 mtampigia Nabi makofi ya kumshukuru kwa kipindi chote mlichokuwa naye sio... Nawashaurimumpe maslahi yake yote kabla hajaondoka hapo Utopoloni
 
Tumia akili yako ndio urudi tujadili
Mimi nipo kwenye masilahi ya club, sio vituko na propaganda zako hapa JF, kwa wiki unapandisha nyuzi 60... mie nimekuja na challenge kwa vijana, wasomi, wanachama na mashabiki wa simba

Ile mikataba ya chief Magungo wa msovero haikubaliki kipindi hiki.
 
Mwambie jcm tunakumbuka ishu ya gheto shopping center,,,,,,,,alpe kwanza Kodi Kwa miaka yote Ile ....zwazwazwa wewe
 
Back
Top Bottom