Mo Dewji akamatwe mara moja kwa udanganyifu na arudishe hisa zote bila kupewa chochote

Mo Dewji akamatwe mara moja kwa udanganyifu na arudishe hisa zote bila kupewa chochote

Kelele nyingi. Mnajua cash flow ya Simba na balance sheet yake? Wage bill plus allowance na bonus ni kiasi gani? Kununua players na wage bill ya coach na trainers ni hela kiasi gani? 51% za remaining shares zilishalipwa?. Ni wakati muafaka kuchia ngazi na wengine wafanye kazi. Kazi ya kwanza ni dirisha ndogo. Hela ipo???
umeandika nini hiki? unaelewa maana ya hisa?
 
Akili za wanavinyesi fc utazijua tu.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Akuna ata siku moja mateja wakawa na akili sawasawa, ndio maana Mhindi wa bombay aliwashika pabaya kwenye b.20 na mkaingia mkenge, Sasa anataka kuuza hisa hewa ambazo ajalipia ata moja na atawaburuza ipasavyo maana mlimpa kwa uaminifu kimaandishi ivyo atauza na nyie mtatoka mikono mitupu wajinga ndio waliwao
 
teh teh teeh...wahindi wajanja wajanja sana yani kachukukua hisa bure leo anaziuza na mijihela ya maana,shikamoo MO hakika umedhihirisha ya kwamba sisi ni mambumbu first classic,wanathimba wenzangy tukung'ute matako tukatafute mchezo wa kushabikia kwa yanga hii mpira hatutauweza tena.
 
Ni Ujinga Kuamini Kuwa Mo Hajaweka Billion 20.

Kuendesha Club Ya Simba Iliyo Fika Robo Fainali Mara 2 ya CAF unahitaji zaidi ya Bilioni 20.

Ukiitegemea Bilioni 20 hata miaka 3 haitoboi inakuwa Imeisha. Kila Mafanikio Yanapo Kuja Matumizi Yanaongeza Mara dufuu, Wachezaji wata demand kikubwaa, Mchezaji wa Bei ndogo utauziwa Bei kuwa Ili mradi kwasababu umekuwa Bora.

So hata Yanga wanao ona Bilion 20 ni kubwa Itafika Muda wataona ni Upuuzi. Wanasimba inatakiwa tumuombe Mo aweke 40 Billioni na Sio Kuuliza Billioni 20 ziko wapi.

Ndege za kwenda rudi kukodi na nini mnafikiri mchezo?
 
Ni Ujinga Kuamini Kuwa Mo Hajaweka Billion 20.

Kuendesha Club Ya Simba Iliyo Fika Robo Fainali Mara 2 ya CAF unahitaji zaidi ya Bilioni 20.

Ukiitegemea Bilioni 20 hata miaka 3 haitoboi inakuwa Imeisha. Kila Mafanikio Yanapo Kuja Matumizi Yanaongeza Mara dufuu, Wachezaji wata demand kikubwaa, Mchezaji wa Bei ndogo utauziwa Bei kuwa Ili mradi kwasababu umekuwa Bora.

So hata Yanga wanao ona Bilion 20 ni kubwa Itafika Muda wataona ni Upuuzi. Wanasimba inatakiwa tumuombe Mo aweke 40 Billioni na Sio Kuuliza Billioni 20 ziko wapi.

Ndege za kwenda rudi kukodi na nini mnafikiri mchezo?
20bn zipo wapi? Hayo mengine hayatuhusu
 
Mashabiki wa simba ni wapuuzi sana Mo yule utamkamata kwa Lipi maana sawa hata kama hajatoa bilioni 20 hizo ambazo ameshatoa pengine ni kubwa kuliko hata hio 20b ya Mchongo mkimkamata mkapelekana mahakamani nyie ndio mtadaiwa na sijui mtamlipa nn cha kukubali ni kuwa mmeshaingizwa kingi kitambo kubalini tu matokeo
 
Ni Ujinga Kuamini Kuwa Mo Hajaweka Billion 20.

Kuendesha Club Ya Simba Iliyo Fika Robo Fainali Mara 3 ya CAF unahitaji zaidi ya Bilioni 20.

Ukiitegemea Bilioni 20 hata miaka 3 haitoboi inakuwa Imeisha. Kila Mafanikio Yanapo Kuja Matumizi Yanaongeza Mara dufuu, Wachezaji wata demand kikubwaa, Mchezaji wa Bei ndogo utauziwa Bei kuwa Ili mradi kwasababu umekuwa Bora.

So hata Yanga wanao ona Bilion 20 ni kubwa Itafika Muda wataona ni Upuuzi. Wanasimba inatakiwa tumuombe Mo aweke 40 Billioni na Sio Kuuliza Billioni 20 ziko wapi.

Ndege za kwenda rudi kukodi na nini mnafikiri mchezo?
Je Simba ilitengeneza kiasi gani kupita kuingia robo Mara 3 na matangazo yake alilipia kiasi gan.?

Pesa za jezi je? Pesa za udhamini je?

Now ana mwaka ajaweka pesa je Simba inatumia pesa kutoka wapi?

Timu mpaka inapokwa bus seriously?

Mbumbumbu fc kweli😀😀
 
Ni Ujinga Kuamini Kuwa Mo Hajaweka Billion 20.

Kuendesha Club Ya Simba Iliyo Fika Robo Fainali Mara 2 ya CAF unahitaji zaidi ya Bilioni 20.

Ukiitegemea Bilioni 20 hata miaka 3 haitoboi inakuwa Imeisha. Kila Mafanikio Yanapo Kuja Matumizi Yanaongeza Mara dufuu, Wachezaji wata demand kikubwaa, Mchezaji wa Bei ndogo utauziwa Bei kuwa Ili mradi kwasababu umekuwa Bora.

So hata Yanga wanao ona Bilion 20 ni kubwa Itafika Muda wataona ni Upuuzi. Wanasimba inatakiwa tumuombe Mo aweke 40 Billioni na Sio Kuuliza Billioni 20 ziko wapi.

Ndege za kwenda rudi kukodi na nini mnafikiri mchezo?
Anachotakiwa ni kuweka 20b kwenye akaunti ya Simba,Kama akiweka aoneshe risiti,mambo ya usajili,mishahara sijui vitu gani,hayo siyo makubaliano
 
Ati anataka kuuza hisa zake zipi? Kama ni kweli akamatwe na ahojiwe Kwa kutupotezea muda wetu, hizo hisa alinunua lini na pesa alimpa nani? Na kama pesa ipo inafanya kazi Gani? Ifike muda tuwakatae wahuni wanaokuja kuharibu Mpira wetu na vilabu vyetu!
Acheni ushamba, kama hamjui biashara ya hisa mkae kimya. Sio kila mtu anawaza biashara ya chupa za kuokota
 
Anachotakiwa ni kuweka 20b kwenye akaunti ya Simba,Kama akiweka aoneshe risiti,mambo ya usajili,mishahara sijui vitu gani,hayo siyo makubaliano
Wewe mtoto wa maskini unatakiwa kuishia kugombania jezi tu za Yanga, mambo ya hisa waachie wenye hela zao. Eti akuonyeshe akaunti, wewe nani? Hela yako tu ndogo unaweka kwenye Tigo Pesa, namba za akaunti unazielewa wapi?
 
Ati anataka kuuza hisa zake zipi? Kama ni kweli akamatwe na ahojiwe Kwa kutupotezea muda wetu, hizo hisa alinunua lini na pesa alimpa nani? Na kama pesa ipo inafanya kazi Gani?

Ifike muda tuwakatae wahuni wanaokuja kuharibu Mpira wetu na vilabu vyetu!
akili za makalio
 
Wewe mtoto wa maskini unatakiwa kuishia kugombania jezi tu za Yanga, mambo ya hisa waachie wenye hela zao. Eti akuonyeshe akaunti, wewe nani? Hela yako tu ndogo unaweka kwenye Tigo Pesa, namba za akaunti unazielewa wapi?
Acha kuharisha,hizo timu za nchi,zimebeba mpira wa nchi,kuzifanyia utapeli ni kuitapeli nchi,ni aidha atoe 20b au aachie timu
 
Ni Ujinga Kuamini Kuwa Mo Hajaweka Billion 20.

Kuendesha Club Ya Simba Iliyo Fika Robo Fainali Mara 2 ya CAF unahitaji zaidi ya Bilioni 20.

Ukiitegemea Bilioni 20 hata miaka 3 haitoboi inakuwa Imeisha. Kila Mafanikio Yanapo Kuja Matumizi Yanaongeza Mara dufuu, Wachezaji wata demand kikubwaa, Mchezaji wa Bei ndogo utauziwa Bei kuwa Ili mradi kwasababu umekuwa Bora.

So hata Yanga wanao ona Bilion 20 ni kubwa Itafika Muda wataona ni Upuuzi. Wanasimba inatakiwa tumuombe Mo aweke 40 Billioni na Sio Kuuliza Billioni 20 ziko wapi.

Ndege za kwenda rudi kukodi na nini mnafikiri mchezo?
Aweke 40B kwa makubaliano gani?
 
Utapeli uliolikumbuka taifa hili wakati wa ubinafisishaji wa viwanda/rasilimali za Serikali tayari nauona ukijirudia kwa Simba na huenda kwa baadae kwa Yanga.

Nipo nimekaa kwenye mjusi hapa Lindi mtaniahtua.
 
Masikini huwa mna roho mbaya, na hamna uwezo hata kuwanunulia wachezaji Catton za maji. Mtaishia kupiga kelele na kubaki na umasikini wenu.
 
Wewe mtoto wa maskini unatakiwa kuishia kugombania jezi tu za Yanga, mambo ya hisa waachie wenye hela zao. Eti akuonyeshe akaunti, wewe nani? Hela yako tu ndogo unaweka kwenye Tigo Pesa, namba za akaunti unazielewa wapi?
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom