Mo Dewji akamatwe mara moja kwa udanganyifu na arudishe hisa zote bila kupewa chochote

Mo Dewji akamatwe mara moja kwa udanganyifu na arudishe hisa zote bila kupewa chochote

Makolo bana. Tulipokua tunawauliza bilioni 20 ziko wapi, mlikua wakali kama pilipili kichaa. Mkawa mnapiga tu "praise and worship" kwa Mwamedi.

Nyie si mlisema hamna shida na hela za team? eti kama timu inapata matokeo basi mambo mengine hayawahusu?

Sasa kelele zinatoka wapi?
Ilimshinda African Lyon, ikamshinda Singida, ilikuwa ni suala la muda tu kutalikiana na makolo
 
Ati anataka kuuza hisa zake zipi? Kama ni kweli akamatwe na ahojiwe Kwa kutupotezea muda wetu, hizo hisa alinunua lini na pesa alimpa nani? Na kama pesa ipo inafanya kazi Gani?

Ifike muda tuwakatae wahuni wanaokuja kuharibu Mpira wetu na vilabu vyetu!
simba next level au siyoooooo
 
Back
Top Bottom