Makolo bana. Tulipokua tunawauliza bilioni 20 ziko wapi, mlikua wakali kama pilipili kichaa. Mkawa mnapiga tu "praise and worship" kwa Mwamedi.
Nyie si mlisema hamna shida na hela za team? eti kama timu inapata matokeo basi mambo mengine hayawahusu?
Sasa kelele zinatoka wapi?