Mo Dewji akana kujiuzulu Uenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba na Kubakia kuwa Mwekezaji

Status
Not open for further replies.
Ajitoe tu kwani sisi tunashida naye basi jaman yeye aende zake huko huyu mhindi koko

Muwekazij alikuwa ni Manji tu yeye alikuwaga haangalii hayo mambo sijui hasara sijui faida yeye hakuwaga na habari kama hizo

Alikuwa na uwezo wa kutoa milion mia kila mwanayanga aingie bure wala hakuwa na shida kabisa

Huyu mhindi koko asepe zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Tabutupu; 4B aliyoisema Dewji sio US Dollars. Ni shilingi za Kitanzania ambazo kuna kampuni binafsi (tena SME) zinalipa kwa mwaka. Serikali inalipa zaidi 500B kwa mwezi kwa watumishi wake. Unadhani ni kwa nini miradi ya Mzee Meko inasuasua?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…