gonamwitu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 2,187
- 2,794
Sasa hiyo faida akianza kuipata baada ya miaka10 huoni atakuwa kapata hasara ya bilion 100 sasa? Kwa uwekezaji aliofanya so far hatukustahili kufungwa na timu kaliba ya mtibwa tena tukicheza mpira mbovu usioleweka, hata kupata goli moja tu ni ishu halafu una wachezaji km kahata,shiboub,chama,kagere, ukiiangalia simba there's no progress ni km tumestuck au tumenasa kwenye topeKaka wewe ni mtu wa mpira, mpira haupo hivi kaka. Najua kaweka pesa ya kutosha lakini hii league hachezi peke yake / huko CL hachezi peke yake pia hata wenzake wameweka malengo vile vile kwahyo amekurupuka kwasabbu anataka pay back period within a short time that's contrary to his investment...... Kiwango alichowekeza hakiwezi rudi ndani ya miaka miwili.
Na haya matamko yataathiri zaidi uwekezaji wake kitu ambacho kitamfanya achomoe pesa yake aliyowekeza Simba SC.