Mo Dewji akana kujiuzulu Uenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba na Kubakia kuwa Mwekezaji

Mo Dewji akana kujiuzulu Uenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba na Kubakia kuwa Mwekezaji

Status
Not open for further replies.
Tp mazembe inamilikiwa na Moise katumbi na ndio timu yenye mafanikio Africa kuliko timu yoyote ile ya watu weusi ukiwatoa waarabu na wanamtegemea Moise katumbi kwa kila kitu? Azam ya juzi tu INA viwanja viwili wewe yanga una nini? Si ndo wewe ulipitisha bakuli uchangiwe?
We mbumbumbu una nini

Mwanamke mchawi kama nini unachamba kama nini

Kazi kujivunia pesa za mwanaume moo tu tafuta zako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bongo haiwez kuendelea kama atakuwa anadhani fedha ndo zinacheza...kuna team kama Man U ina hela lakini kushinda kombe ni ndoto...kuwekeza kwenye team bila mikakati ni sawa na bure...lakini hawa hawaarabu sijui wahindi wa Tz ni wababaishaji tu...
 
MO ni tapeli tu kama matapeli wa Ubungo aseme sababu ya msingi ya kujiuzulu asijifiche kwenye kichaka cha Mapinduzi cup.
Gharama za uendeshaji, timu inaingiza milion500 kwa mwaka wakati yeye kwa mwaka anatumia bilion5 hii si biashara kichaa? Kwanini asikimbie?
 
Moise katumbi hajawa congo kwa karibia miaka 4 akiishi ubelgiji lakin TP mazembe iliendelea kuwasha moto.Azam bila Bakhresa inaenda vizuri tu kwa sababu Mzee salim mali zake zipo kistaarabu.Ninyi bila Mo mtapitisha bakuli kama sisi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu hivi chanzo cha utajiri wa Moise katumbi ni kipi? Je TP Mazembe inarudisha pesa iliyowekezwa kwa faida?
 
Simba ipo kabla hata hajazaliwa na ilichukua makombe kabla hata hajazaliwa

Kama kachoka aiache timu yetu
Screenshot_20200113-231119.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe tumia akili

Timu inamilikiwa na familia, Kwa hiyo Jamaa mke akigoma kutoa pesa simba ndio basi

Zile pesa ni za familia sio za simba

Mjifunze kwa wajinga wenu yanga, Manji chali na Timu chali
Sawa mwenye akili.
 
Kwa jinsi watakavyochimbana kwa hii tafulani Yanga anaenda kuchukua ubingwa this time.

Mambo ya kumtegemea mtu mmoja alete pesa kwenye timu wakati timu ina watu milion 20+ ujinga huu bongo sijui utaisha lini.

Huu ujumbe maana yake wakina kagere na wachezaji kibao wa kigeni wanaolipwa pesa ndefu safari hiyo.

Kweli kutesa kwa zamu ndio mpira wa bongo.
GSM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We mbumbumbu una nini

Mwanamke mchawi kama nini unachamba kama nini

Kazi kujivunia pesa za mwanaume moo tu tafuta zako

Sent using Jamii Forums mobile app
Huna unachokijua kuhusu mpira Gsm(Ghalib said Mohammed) anayewapa hela yanga,anayewalipa wachezaji wa yanga mishahara na kuwasaidia kusajili sio mwanaume ni mwanamke yule?
 
Bakuli lao linaanza lini hawa mbumbumbu?View attachment 1322401
Hili la kulipa bilioni nne na la kutoshinda Kombe la Mapinduzi yanahusianaje? Kadhalika hii kulipa bilioni nne na kujiondoa uenyekiti wa Bodi vinahusianaje? Yaani hatakuwa analipa tena? Lakini Bongo ndiyo Bongo. Usishangae kesho akakana yote hayo kwa kusema akaunti yake imedukuliwa. Si unawajuwa hawa nanihii kwa kupenda kunyenyekewa? Kinachotakiwa hapo ni ujumbe tu wa kumpigia magoli.
 
MO anatumia uwezo wake vibaya kuwanyanyasa wasio nacho.

Anajimwambafai eti kalipa 4B mishahara kwa mwaka.. ivi unataka kusema simba ni kubwa kuliko serikali ya zanzibar.

Serikali ya Muungano yenyewe kwa 4B inalipa miezi 4 hadi 5.


Nilipo soma tangazo la kujiondoa nikajiuliza , kulikua na umuhimu gaji wa kutaja fedha ulizo toa.


Ipo siku utavuna unacho panda kwa kuwaihia wananchi maskini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kuna habari gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MO karata zake hakuzichanga vyema, simba kutolewa champion league hatua za awali kumempa hasara kubwa sana, na akiangalia simba hii uwezo wa kupambana tena champion league hamna, pesa ya kusajili wachezaji wakali hana, gharama za kulipa mshahara kubwa, ameamua kuanza kufungasha virago vyake, simba inampa hasara kama ini bidhaa zake za mo zimeshapata promo ya kutosha
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom