Mo Dewji akana kujiuzulu Uenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba na Kubakia kuwa Mwekezaji

Mo Dewji akana kujiuzulu Uenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba na Kubakia kuwa Mwekezaji

Status
Not open for further replies.
Huyu alistahili kabisa kujiuzulu tena mapema. Yeye kama mwenyekiti wa bodi ameacha timu inaharibiwa na wahuni kwa usajili wa hovyohovyo na wakamalizia na kumtimua kocha.

Sent from my Nokia 6.1 Plus using Tapatalk
 
Mpira bongo haulipi, alitegemea timu ikacheze Champions league ,matokeo yake inapambania kikombe cha million 100 , mech za kujaza had kariakoo derby. , mapato yanayoingia kwa mwaka hayazidi mil 500, wakati gharama za uendeshaji ni zaidi ya billion 5, kwanini asikimbie [emoji1787][emoji1787]
Pesa ataendelea kutoa kama investor, alichojiuzulu ni uenyekiti wa bodi.
 
Sijaelewa! Inamaana kuendelea kuwekeza kwenye miundombinu ni kweli ule uwanja wa Bunju ni wake?
 
Screenshot_20200113-231119.jpeg
FB_IMG_15789460534640632.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu gharama za uendeshaji ndio zinamkimbiza MO,

Huku nchi za dunia ya 3,hatuna financial fair play ,

Pale simba Mo alitega ,simba iwe inafika angalau robo kwenye CL , hapo anapata karibu billion 1.5 , bado kila mech anajaza uwanja kama za kariakoo derby. ,Hivo anakuwa na uhakika wa kupiga angalau billion had 3

Sasa Angalia kaishia hatua ya preminary kwenye CL , anabaki kugombania VPL ambapo bingwa anakula mil 80 .

Huku analipa mishahara na malupulupu kwa mwaka hadi billion 4

Hii ni hasara kubwa sana , hii ni biashara kichaa

Kaka wewe ni mtu wa mpira, mpira haupo hivi kaka. Najua kaweka pesa ya kutosha lakini hii league hachezi peke yake / huko CL hachezi peke yake pia hata wenzake wameweka malengo vile vile kwahyo amekurupuka kwasabbu anataka pay back period within a short time that's contrary to his investment...... Kiwango alichowekeza hakiwezi rudi ndani ya miaka miwili.

Na haya matamko yataathiri zaidi uwekezaji wake kitu ambacho kitamfanya achomoe pesa yake aliyowekeza Simba SC.
 
But you are right ! 4b tzs kwa Simba players salaries per annum! 🤔, mwambafication !

Wajameni; mimi naweza kumuamini maana 4b sio lazima iwe ni net pay. Kwake yeye actual payroll cost ni sum ya yafuatayo:
1. Gross Pay
2. NSSF (au any pension fund contribution ambayo ni 10% ya gross pay na ni takwa la kisheria)
3. SDL (4.5% ya gross pay Skills Development Levy ambayo nayo ni takwa la kisheria)
4. Any other related staff costs.

Inaweza kuwa kweli ikawa overstated lakini haiwezi kuwa very much off the mark).
 
Endelea kujifariji mbumbumbu mkubwa wewe

Hivyo ndo anasepa sema kaanzia muguu ya kushoto na wa kulia unakuja

Sawa mbumbumbu shibumbu mkuwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani ungeeandika maoni yako pasipo matusi ingependeza sana.
Mimi unayenitukana naweza kuwa umri mkubwa kuliko baba yako, hivyo jifunze kuw na nidhamu.
 
MO anatumia uwezo wake vibaya kuwanyanyasa wasio nacho.

Anajimwambafai eti kalipa 4B mishahara kwa mwaka.. ivi unataka kusema simba ni kubwa kuliko serikali ya zanzibar.

Serikali ya Muungano yenyewe kwa 4B inalipa miezi 4 hadi 5.


Nilipo soma tangazo la kujiondoa nikajiuliza , kulikua na umuhimu gaji wa kutaja fedha ulizo toa.


Ipo siku utavuna unacho panda kwa kuwaihia wananchi maskini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kumbe Mo amekuibia pesa zako?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kasepa jumla ,wenye akili ya kiutu uzima wanaelewa kamaanisha nini

Hawez kutoa hela huku anapata hasara
Unajua mashabiki wengi wa simba hawana kabisa ufahamu na uewezo wa kupambanua mambo

Ndo maana manara washaga mfanya kama yesu wao

Na walikuwa wameanza tabia ya kuabudu watu yaan huyu moo wanamuonaga kama Mungu wao

Kesho watapanga msululu kwenda kumpigia magoti

Na simba hawana kabisa uwezo wa kujiendesha kigheto gheto kama Yanga

Ngoja jamaa asepe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom