Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,830
- 4,729
Dar es Salaam Young AfricansAcha wakimbiane tu Biashara fc tupo tutaziba pengo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar es Salaam Young AfricansAcha wakimbiane tu Biashara fc tupo tutaziba pengo.
But you are right ! 4b tzs kwa Simba players salaries per annum! 🤔, mwambafication !
Pesa ataendelea kutoa kama investor, alichojiuzulu ni uenyekiti wa bodi.Mpira bongo haulipi, alitegemea timu ikacheze Champions league ,matokeo yake inapambania kikombe cha million 100 , mech za kujaza had kariakoo derby. , mapato yanayoingia kwa mwaka hayazidi mil 500, wakati gharama za uendeshaji ni zaidi ya billion 5, kwanini asikimbie [emoji1787][emoji1787]
Endelea kujifariji mbumbumbu mkubwa wewePesa ataendelea kutoa kama investor, alichojiuzulu ni uenyekiti wa bodi.
Ni pamoja na waganga wa kienyeji, kununua marefu na wacheja wa timu pinzani!
Tupo hapa , hakuna muhind fala kwenye hela zake , Mo hana miaka miwili mbele hapo simba ,tunza kumbukumbuPesa ataendelea kutoa kama investor, alichojiuzulu ni uenyekiti wa bodi.
Kasepa jumla ,wenye akili ya kiutu uzima wanaelewa kamaanisha niniEndelea kujifariji mbumbumbu mkubwa wewe
Hivyo ndo anasepa sema kaanzia muguu ya kushoto na wa kulia unakuja
Sawa mbumbumbu shibumbu mkuwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni pamoja na waganga wa kienyeji, kununua marefu na wachezaji wa timu pinzani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu gharama za uendeshaji ndio zinamkimbiza MO,
Huku nchi za dunia ya 3,hatuna financial fair play ,
Pale simba Mo alitega ,simba iwe inafika angalau robo kwenye CL , hapo anapata karibu billion 1.5 , bado kila mech anajaza uwanja kama za kariakoo derby. ,Hivo anakuwa na uhakika wa kupiga angalau billion had 3
Sasa Angalia kaishia hatua ya preminary kwenye CL , anabaki kugombania VPL ambapo bingwa anakula mil 80 .
Huku analipa mishahara na malupulupu kwa mwaka hadi billion 4
Hii ni hasara kubwa sana , hii ni biashara kichaa
But you are right ! 4b tzs kwa Simba players salaries per annum! 🤔, mwambafication !
Nadhani ungeeandika maoni yako pasipo matusi ingependeza sana.Endelea kujifariji mbumbumbu mkubwa wewe
Hivyo ndo anasepa sema kaanzia muguu ya kushoto na wa kulia unakuja
Sawa mbumbumbu shibumbu mkuwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kumbe Mo amekuibia pesa zako?MO anatumia uwezo wake vibaya kuwanyanyasa wasio nacho.
Anajimwambafai eti kalipa 4B mishahara kwa mwaka.. ivi unataka kusema simba ni kubwa kuliko serikali ya zanzibar.
Serikali ya Muungano yenyewe kwa 4B inalipa miezi 4 hadi 5.
Nilipo soma tangazo la kujiondoa nikajiuliza , kulikua na umuhimu gaji wa kutaja fedha ulizo toa.
Ipo siku utavuna unacho panda kwa kuwaihia wananchi maskini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua mashabiki wengi wa simba hawana kabisa ufahamu na uewezo wa kupambanua mamboKasepa jumla ,wenye akili ya kiutu uzima wanaelewa kamaanisha nini
Hawez kutoa hela huku anapata hasara
Pia ni TAPELIIla mo ni mwanasiasa