Canter za natairi matatuMo mjanja mjanja tu na sitoshangaa ikija kugundulika amepika takwimu. Tajiri gani viwanda vyake vichafu na vimechoka, magari mengi mabovu na wafanyakazi wake wengi wana hali duni kimaisha.
Mfanyakazi wa Bakhresa na Rostam hiwezi kumfananisha na wa Mo kwa kuangalia hali zao za maisha.
Uko na mawazo kama mimi, sijawahi kuamini kama mo ana mzidi pesa BakhressaHuyu jamaa utajiri wake wa magumashi na kiwanda cha juice eti ndo tajiri namba moja.
Ukija kwa Bakhressa
Ana meli, ngano soda kiwanda cha sukari chenyd thamani ya 600 bilions
Azam tv, Azam pesa.
Rostam aziz anayemiliki kampuni ya ndege, caspian tigo Tanzania Taifa gas inakuwaje tunaambiwa huyu mbabaishaji eti ndo tajiri wa tz ama anafanya ubabaifu aonekane hivo.
Watu wanaijua mo energy tu.Hilo mbona lishajadiliwa sana humu na watu wakaliweka sawa.
Hii post ni ya kwenye moja ya hizo thread iliwekwa na mtaalamu Chief-Mkwawa
Hizi ni data chache ambazo zinaweza kukufumbua macho
1. asilimia 5 ya wafanyakazi wote waliopo kwenye formal sector Tanzania ni waajiriwa wa metl, kwa lugha nyengine katika kila watu 20 walioajiriwa kwenye formal sector mmoja ni metl
2. mo ameajiri watu 24,000
3. metl ipo nchi 12 Africa na ipo pia nje ya Africa nchi chache
4. asilimia 3.5 ya pato la taifa linatokana na mo
so hizi ni baadhi ya comparison za mo na bakhresa
-mo wafanyakazi around 24,000 bakhresa around 8,000
-metl nchi 12 na azam nchi 8
-metl pato 1.5 billion na azam pato 800 million
hizo data zote nimetoa about pages ya website zao.
Azam Worldwide - Azam Bakhresa Group
About Us | MeTL
kifupi mkuu mo ana hela kuliko bakhresa na wala hawalingani, maana amemzidi zaidi ya mara mbili.
watu wanashindwa kuamini sababu Bakhresa vitu vyake vyote vipo kwenye brand moja ya azam, ila mo ana viwanda na brand na biashara nyingi sana.
Mo kama mzalishaji
mafuta ya nyumbani
-mafuta maisha
-mafuta safi
-blueband mo margarine
-mafuta mpishi
-mafuta sunflower
vinywaji
-maji ya maisha
-maji masafi
-juice za pride
-soda za mo
nguo
-hakuna kampuni kubwa ya nguo kusini mwa jangwa la sahara kushinda metl. wana viwanda karibia kila mkoa wakitengeneza bidhaa za kanga na vitenge.
Vyakula
-unga wa ngano
-sukari
-korosho (mo cashew)
baiskeli
hapa kuna baisikeli za kawaida na za miguu mitatu za NABICO
mafuta ya magari
kampuni ya mo ya star oil ni moja ya wasambazaji wakubwa wa mafuta. uwezo wa lita milioni 5 kwa siku.
sabuni
-sabuni za royal
-sabuni za taifa
-sabuni za poa
mo kama mfanya biashara anaeagiza vitu nje
-agent wa LG tanzania analeta vitu kama mashine za kufulia, oven, mafridge na bidhaa nyengine za lg
-Agent wa TCL tanzania na TV zake
-analeta mitumba ya nguo
-AC za airlux
-battery za remote
-tractor za kulimia
-na mengine mengi kama big G, biscuit, tambi etc
mo kama muuzaji vitu nje ya nchi
jamaa anauza vitu vingi sana nje ya nchi kama
-katani
-korosho
-mbao
-nta
-choroko
-bidhaa nyengine tulizozitaja juu.
angalia hio diversity then compare na bakhresa.
Kati ya Mo Dewji na Bakhresa nani tajiri?
Hawa matajiri nani kamzidi mwenzake? Kuna ubishi unaendelea mahali,lakini naona kama Bakhresa kamzidi Mo kila kitu.www.jamiiforums.com
Na si vyema kujilazimisha vitu usivyotaka kuviamini.Uko na mawazo kama mimi, sijawahi kuamini kama mo ana mzidi pesa Bakhressa
Taja kitu mo alichomzisi baresaNa si vyema kujilazimisha vitu usivyotaka kuviamini.
Anamzidi weupe si ndio ushindani unaoutaka?Taja kitu mo alichomzisi baresa
Ok binti relax.Wew mdebwedo
Unashangaa hilo mkuu, tajiri namba 3 duniani Jeff Bezos mmiliki wa kampuni ya Amazon analalamikiwa kwa kuwalipa mishahara kiduchu wafanyakazi wake. Na hata kumewahi kuwa na mgomo kwa baadhi ya wafanyakazi wakewafanyakazi wake wengi wana hali duni kimaisha.
Mfanyakazi wa Bakhresa na Rostam hiwezi kumfananisha na wa Mo kwa kuangalia hali zao za maisha.
Ni sahihi kabisaKuna wakati nilipewa taarifa na mkuu wangu wa familia kuwa Mo ndo akaunti namba moja kwa kodi na mapato
Ana ela kweli ila kaachwa mbali sana na mo, rostam ana $900bl mo ana $1.5tr kama nmekosea mtanisahihisha....Naamini Rostam Azizi ndiye Tycoon namba moja hapa nchini, hawa wengine ni Chawa tu.
Fuatilieni vizuri ukweli mtaujua.
Huyu Mwamba ni level ingine.
Hope one day nitazidi hapo alipofikia.
Azam ana bidhaa nyingi sana kuliko hizo ulizo taja mkuu na mtaani zipo tuna ziona pia jaribu kufanya 'critical analysis' then uje na hizo comparison ulizo taka kuonyesha hapa.Dukani kwangu.
AZAM- Ngano, Azam energy, Azam embe
MO-Mo extra, mo Tambi, mo poa bar soap, mo poa detergent, Mo taifa bar soap, Mo power betery, Mo malta, mo chocolate biscuit, Mo 29, Mo halisi.
Well saidCAPITAL=ASSETS - LIABILITIES
Eenh umekosea,hasa hapo kwenye$ 1.5 tr, ambayo hata musk Hana!Ana ela kweli ila kaachwa mbali sana na mo, rostam ana $900bl mo ana $1.5tr kama nmekosea mtanisahihisha....
Inawezekana ana ela kumzidi mo lkn anaficha baadhi ya mali na ac zake zisijulikane
Acha uongo wa kijinga bhana, yeye ni Agent, kuna watu wanaagiza direct India na wapo mikoani tu huku.Boxer pikipiki zote ndo anaziingiza nchini mooo
Hapo kwenye utajiri wa Mo hizo ni billion na sio trillion mkuuAna ela kweli ila kaachwa mbali sana na mo, rostam ana $900bl mo ana $1.5tr kama nmekosea mtanisahihisha....
Inawezekana ana ela kumzidi mo lkn anaficha baadhi ya mali na ac zake zisijulikane
Rostam alishauza share zake zote za VodacomList ya matajiri tz
Na wewe baba yako ana kiwanda chochote?Mo mjanja mjanja tu na sitoshangaa ikija kugundulika amepika takwimu. Tajiri gani viwanda vyake vichafu na vimechoka, magari mengi mabovu na wafanyakazi wake wengi wana hali duni kimaisha.
Mfanyakazi wa Bakhresa na Rostam hiwezi kumfananisha na wa Mo kwa kuangalia hali zao za maisha.
inakusaidia nini ukijua?Huyu jamaa utajiri wake wa magumashi na kiwanda cha juice eti ndo tajiri namba moja.
Ukija kwa Bakhressa
Ana meli, ngano soda kiwanda cha sukari chenyd thamani ya 600 bilions
Azam tv, Azam pesa.
Rostam aziz anayemiliki kampuni ya ndege, caspian tigo Tanzania Taifa gas inakuwaje tunaambiwa huyu mbabaishaji eti ndo tajiri wa tz ama anafanya ubabaifu aonekane hivo.