MO Dewji anawazidi vipi utajiri Bakhresa na Rostam Aziz?

Canter za natairi matatu
 
Uko na mawazo kama mimi, sijawahi kuamini kama mo ana mzidi pesa Bakhressa
 
Watu wanaijua mo energy tu.
 
wafanyakazi wake wengi wana hali duni kimaisha.
Mfanyakazi wa Bakhresa na Rostam hiwezi kumfananisha na wa Mo kwa kuangalia hali zao za maisha.
Unashangaa hilo mkuu, tajiri namba 3 duniani Jeff Bezos mmiliki wa kampuni ya Amazon analalamikiwa kwa kuwalipa mishahara kiduchu wafanyakazi wake. Na hata kumewahi kuwa na mgomo kwa baadhi ya wafanyakazi wake

Ndo mambo ya capitalism unyonyaji haukwepeki
 
Naamini Rostam Azizi ndiye Tycoon namba moja hapa nchini, hawa wengine ni Chawa tu.

Fuatilieni vizuri ukweli mtaujua.

Huyu Mwamba ni level ingine.

Hope one day nitazidi hapo alipofikia.
Ana ela kweli ila kaachwa mbali sana na mo, rostam ana $900bl mo ana $1.5tr kama nmekosea mtanisahihisha....

Inawezekana ana ela kumzidi mo lkn anaficha baadhi ya mali na ac zake zisijulikane
 
Dukani kwangu.

AZAM- Ngano, Azam energy, Azam embe

MO-Mo extra, mo Tambi, mo poa bar soap, mo poa detergent, Mo taifa bar soap, Mo power betery, Mo malta, mo chocolate biscuit, Mo 29, Mo halisi.
Azam ana bidhaa nyingi sana kuliko hizo ulizo taja mkuu na mtaani zipo tuna ziona pia jaribu kufanya 'critical analysis' then uje na hizo comparison ulizo taka kuonyesha hapa.
 
Ee
Ana ela kweli ila kaachwa mbali sana na mo, rostam ana $900bl mo ana $1.5tr kama nmekosea mtanisahihisha....

Inawezekana ana ela kumzidi mo lkn anaficha baadhi ya mali na ac zake zisijulikane
Eenh umekosea,hasa hapo kwenye$ 1.5 tr, ambayo hata musk Hana!
 
Ana ela kweli ila kaachwa mbali sana na mo, rostam ana $900bl mo ana $1.5tr kama nmekosea mtanisahihisha....

Inawezekana ana ela kumzidi mo lkn anaficha baadhi ya mali na ac zake zisijulikane
Hapo kwenye utajiri wa Mo hizo ni billion na sio trillion mkuu
 
Na wewe baba yako ana kiwanda chochote?
 
inakusaidia nini ukijua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…