HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Huwezi agiza Boxer nje ya Tz, Bajaj hawatakuuzia kama wapeleka Tz.Acha uongo wa kijinga bhana, yeye ni Agent, kuna watu wanaagiza direct India na wapo mikoani tu huku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi agiza Boxer nje ya Tz, Bajaj hawatakuuzia kama wapeleka Tz.Acha uongo wa kijinga bhana, yeye ni Agent, kuna watu wanaagiza direct India na wapo mikoani tu huku.
Hakuna kitu kama hicho kwenye Biashara.Huwezi agiza Boxer nje ya Tz, Bajaj hawatakuuzia kama wapeleka Tz.
Anashindwa kuelewa wengine wameinvest kwenye service industry kama huyu RostamUnamshindanisha mo na rostam kwa kuangalia wingi wa bidhaa mtaani pasipo kujua kwamba mifumo yao ya biashara ni tofauti
Kujaza orodha za usajili wa kampuni kwenye wesbite ndo utajiri?Mo ana kampuni nyingi sana na biashara mbalimbali sema wabongo wengi hatufuatili tunachojua sisi ni Mo energy tu, huyu jamaa kuwa namba 1 Afrika Mashariki ni sawa
Mnaobisha nendeni mkaingie official website ya METL ndo mtajua hamjui
Mo ana kampuni nyingi sana na biashara mbalimbali sema wabongo wengi hatufuatili tunachojua sisi ni Mo energy tu, huyu jamaa kuwa namba 1 Afrika Mashariki ni sawa
Mnaobisha nendeni mkaingie official website ya METL ndo mtajua hamjui
Kiazi wewe.Na wewe baba yako ana kiwanda chochote?
Mzee baba nenda kawakosoe Forbes makasiriko yako usiniletee mimi.Kujaza orodha za usajili wa kampuni kwenye wesbite ndo utajiri?
Yh tunachoangalia hapo ni mapato mtu anayoingiza kwenye biashara yake iwe kainvest kwenye food and bevarage industry, service industry au manufacturing industryIla jumla ya pesa ya utajiri ni ile ile
OkayRostam alishauza share zake zote za Vodacom
Si kweli kwani abrahamu yupo wapi si mbinguni tena pembeni ya Mungu wanaenjoy huko mbingu ya kwanza ile fresh sasa .Ninachojua mpaka sasa ni ngumu tajiri kuuona ufalme wa mbingu
JEFF BEZOS ana utajiri wa $139 billionAna ela kweli ila kaachwa mbali sana na mo, rostam ana $900bl mo ana $1.5tr kama nmekosea mtanisahihisha....
Inawezekana ana ela kumzidi mo lkn anaficha baadhi ya mali na ac zake zisijulikane
Uliwahi kwenda ukamuonaSi kweli kwani abrahamu yupo wapi si mbinguni tena pembeni ya Mungu wanaenjoy huko mbingu ya kwanza ile fresh sasa .
Hata mimi naanzisha maandamano, sikubali kabisa!Huyu jamaa utajiri wake wa magumashi na kiwanda cha juice eti ndo tajiri namba moja.
Ukija kwa Bakhressa
Ana meli, ngano soda kiwanda cha sukari chenyd thamani ya 600 bilions
Azam tv, Azam pesa.
Rostam aziz anayemiliki kampuni ya ndege, caspian tigo Tanzania Taifa gas inakuwaje tunaambiwa huyu mbabaishaji eti ndo tajiri wa tz ama anafanya ubabaifu aonekane hivo.
Hujui unachokisema madamTajiri sio nchi nzima ni anautajiri kwa vijana wote hapa tz hakuna kijana anayemfukuzia kwa hela .
Forbes wanachekecha halafu wanasema kimadaraja sasa modewji ni tajiri kijana tz na ni 5 kijana tajiri afrika hawajasema kuwa ni tajiri tz kwa wote
Punguza makasiriko kaka... 🤣🤣🤣🤣 Mpe fact ... Nini kinafanya iwe hivyo ... Ni uwazi wa hesabu, taarifa za ukaguzi , madeni , Dhima ,Mtaji na Umiliki (hisa) ... Mbona kitu kidogo tu ... Unawalaumu watu kule Kwa Urusi kuwa na Ushabiki na wewe unauleta huku... Mimi Yanga ...na mchumi pia Afisa Ushirika na ni Afisa Mufilisi.... Ukiua maana ya hivyo vitu 6 utaona Hawa wengine ni janja janja tu. AsanteBasi tufanye GSM amewazidi wote.