MO Dewji anawazidi vipi utajiri Bakhresa na Rostam Aziz?

Unique Flower soma hapa
 
Naamini Rostam Azizi ndiye Tycoon namba moja hapa nchini, hawa wengine ni Chawa tu.

Fuatilieni vizuri ukweli mtaujua.

Huyu Mwamba ni level ingine.

Hope one day nitazidi hapo alipofikia.
Gud luck mkuu
 
Ana ela kweli ila kaachwa mbali sana na mo, rostam ana $900bl mo ana $1.5tr kama nmekosea mtanisahihisha....

Inawezekana ana ela kumzidi mo lkn anaficha baadhi ya mali na ac zake zisijulikane
Hivi billion 900 Tena US dollar unaijua vizuri, Yani mo awe na 1.5Tr us dolar😁😂 elimu inahitajika kwa kweli
 
Ana ela kweli ila kaachwa mbali sana na mo, rostam ana $900bl mo ana $1.5tr kama nmekosea mtanisahihisha....

Inawezekana ana ela kumzidi mo lkn anaficha baadhi ya mali na ac zake zisijulikane
Alama ya $ unajua maana yake lkn? Maana tajiri wa Microsoft enyewe Hana hata 250bilion dollars
 
Kuna watu wanatumia nguvu sana kuonesha utajiri wa mo sio halisi kwani what's wrong with you guys [emoji1][emoji1]
 
Tajiri gani viwanda vyake vichafu na vimechoka, magari mengi mabovu na wafanyakazi wake wengi wana hali duni kimaisha.
nilipata kuingia kiwanda chake East Coast Oil/Fats Kurasini, hali ni tete, kuchafu mno, kupo sagalabagala, vehicles zimechoka kinoma

injinia makeniko anakunja 300k basic/month, technician makeniko anakunja 180k basic / month
 
Ndio walivyo wahindi
 
Alfu nyongeza yake mishaara wake sasa kwa wafanyakazi wake Ni tabu tupi so ajabu afsa mwenye elimu kubwa akmlipa laki nne au tatu
 
Dukani kwangu.

AZAM- Ngano, Azam energy, Azam embe

MO-Mo extra, mo Tambi, mo poa bar soap, mo poa detergent, Mo taifa bar soap, Mo power betery, Mo malta, mo chocolate biscuit, Mo 29, Mo halisi.
Safi mafuta(Dumu, Ndoo kubwa na ndogo), Mo Viberiti, Mo Protector, Mo Beauty na Aloevera, pia wakala wa sukari zote(Sukari pakti, 25kg, 50kg). La kuongezea vinywaji vyake ndio vinauzika sana kuliko vinywaji vyovyote vile kwa Tanzania kwa sasa. Bakheresa bidhaa yake inayotembea sana ni ngano tu🤷🏾‍♂️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…