Man, tunajadili suala la Mo na madai yake kwamba kwa mwaka anatumia 4 Billion ambayo ni HASARA tu, na hakuna anachopata!!Hivi unajua kama hata wale GSM PALE YANGA HAKUNA WANACHO PATA ?.
uwekezaji wa mpira wa Tanzania ni ule "wewe toa MUNGU ATAKULIPA TUSAIDIE".
Ila hakuna mfumo wa uwekezaji wa club kupata na muwekezaji kupata. Maana hakuna vyanzo vya mapato vya Maana.
Matumizi ni makubwa kuliko inachoingiza club.
Hapo ndipo tunaowaita wawekezaji wetu moo na GSM kuingia mifukoni mwao Na kuziendesha hizi club
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Unlike Mo, GSM hadi sasa sio wawekezaji wa Yanga bali wanafanya kama sponsors tu!!
Mo tayari ni mwekezaji kwahiyo there's no way anaweza kuwekeza bila kupata faida... na ndio maana nimesema pesa anayotumia ni exagerration kuita eti anapata hasara kwa sababu uhalisia hiyo ni investment anayotarajia possible return leo au kesho!
Hata hao GSM na wao pia sio stupid!! Kuna wanachokitafuta kupitia Yanga!