Ukiunganisha dots unapata jawabu.......Nilisha acha kumfuatilia Mo 7bu alishapewa masharti na watekaji tunawajua kwa kuongea kwao kwani walikua wanampa chakula anachotaka,wanampa hadi simu yenye kifurushi,gari pamoja na bunduki
Hawa watekaji wanahuruma sana hawakutaka mo apate tabu wala shida dhumuni ni kama walimteka ili wakae wamuone one tu huyo tajiri kijana
Ila kuna MTU alishasema anataka matajiri wataishi kama mashetani
Hahaha eti sisi ni wajingaUkiunganisha dots unapata jawabu.......
Mtu mnayetaka kumlisha maneno yenu mnayotaka kuyasikia anasema hana habari kabisa na nyie! Infact hata hatambui uwepo wenu. Hata mnapopatwa na matatizo na vyombo vya dola hana hata sekunde moja ya kuwatetea. Lakini ninyi mnajifanya mnajua haki zake mwenyewe kuliko yeye anavyozijua. Endeleeni kupoteza muda wenu.Siku chache zillizopita, mfanyibiashara maarufu nchini Mo, alihojiwa kwa mara ya kwanza tokea kuachiliwa huru mwaka jana na chombo cha habari cha nje, shirika la utangazaji la BBC
Nilisikiliza kwa makini sana clip hiyo na ningependa maswali yafuatayo yajibiwe na viongozi wetu wa serikali
1. Siku ya kwanza baada ya kutekwa kwake, tulimuona Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda, akiongea na waandishi wa habari na kutueleza watanzania kuwa mfanyibiashara huyo ametekwa na watu wasiojulikana, lakini wakati huo huo akatueleza kuwa watekaji hao ni watu wa kutoka nje, ambao wanaongea lafudhi kama vile ya kizulu toka Afrika Kusini, je yeye alijuaje kuwa watu hao ni wageni, wakati uchunguzi wa Polisi ulikuwa haujakamilika??
2. Tulimsikia pia mfanyibiashara huyo Mo "akijaribu" kuunga mkono kauli hiyo ya mkuu wa mkoa wa Dar katika mahojiano yake na BBC. Hata hivyo alieleza kwenye clip hiyo kuwa watu hao walikuwa wanataka "lumpsum" na akaendelea kueleza kuwa watu hao waliweza kumuanganisha na mtu mwingine, ambaye hakuwepo kwenye hilo eneo alilokuwa ametekwa na waliongea kuhusu madai yao ya pesa, lakini akazidi kuongea kuwa mtu huyo wa nje, alimpa "option" ya kuweza kuongea kiswahili au kiingereza, hivi inawezekanaje kwa watekaji hao, ambao tuliambiwa kuwa ni wageni wasioweza kuongea hata kidogo kiswahili na kiingereza, waweze kumuunganisha na huyo mtu wa nje ambaye anaongea kiswahili na kiingereza??
3. Tuliambiwa kuwa watekaji hao waliweza kumtelekeza eneo la Ghymkana, bila kumdhuru na wala hawakupata madai yao ya fedha, ilikuwaje walimwacha akiwa hai, iwapo hawajitimiziwa kile walichokitaka??
4. Ilikuwaje watekaji hao wa kigeni waweze kumwachia mateka wao eneo la Gymkhana, ambalo ni la wazi sana, wakati security ya nchi ilikuwa katika kiwango cha juu sana kiusalama??
5. Je kama watekaji hao walikuwa ni wa kutoka nchi za nje, waliwezaje kutoka hapa nchini, wakati nchi ilikuwa katika kiwango cha juu sana cha usalama??
6 Kama kweli waliondoka hao watekaji "wageni" ilikuwaje kwa Rais wetu hakuwatumbua wateule wake wa vyombo vya usalama, kwa kuonyesha uzembe wa hali ya juu wa kuhakikisha usalama wa raia na Mali zao??
7. Hivi watanzania kutokana na "scenario" nzima hiyo tuki-conclude kuwa watekaji hao wali-collude na watu wa serikali, tutakuwa tumekosea kweli??
Tungependa kuwaeleza watawala wetu kuwa watanzania siyo wajinga kiasi hicho cha kudanganywa kadri mnavyotaka!
mo mwenyewe katika mahojiano yake yamejaa nashukuru nyingi na mapambio mengi ya kusifu kitu ambacho kinonyesha anawajuwa vizuri walio mteka na bado anawaogopa. yaani alivyo kuwa anaogea akili yake yote ilikuwa inawaza watekaji watachukuliaje interview. kwa maana alikuwa anajuwa kabisa kuwa watekaji walikuwa wanasikiliza interview yake kwa makini. na kila alivyo ulizwa maswali ya kuhusu watekaji alikuwa anayakwepa kiaina au alikuwa anajaribu kurudia statements za police.Siku chache zillizopita, mfanyibiashara maarufu nchini Mo, alihojiwa kwa mara ya kwanza tokea kuachiliwa huru mwaka jana na chombo cha habari cha nje, shirika la utangazaji la BBC
Nilisikiliza kwa makini sana clip hiyo na ningependa maswali yafuatayo yajibiwe na viongozi wetu wa serikali
1. Siku ya kwanza baada ya kutekwa kwake, tulimuona Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda, akiongea na waandishi wa habari na kutueleza watanzania kuwa mfanyibiashara huyo ametekwa na watu wasiojulikana, lakini wakati huo huo akatueleza kuwa watekaji hao ni watu wa kutoka nje, ambao wanaongea lafudhi kama vile ya kizulu toka Afrika Kusini, je yeye alijuaje kuwa watu hao ni wageni, wakati uchunguzi wa Polisi ulikuwa haujakamilika??
2. Tulimsikia pia mfanyibiashara huyo Mo "akijaribu" kuunga mkono kauli hiyo ya mkuu wa mkoa wa Dar katika mahojiano yake na BBC. Hata hivyo alieleza kwenye clip hiyo kuwa watu hao walikuwa wanataka "lumpsum" na akaendelea kueleza kuwa watu hao waliweza kumuanganisha na mtu mwingine, ambaye hakuwepo kwenye hilo eneo alilokuwa ametekwa na waliongea kuhusu madai yao ya pesa, lakini akazidi kuongea kuwa mtu huyo wa nje, alimpa "option" ya kuweza kuongea kiswahili au kiingereza, hivi inawezekanaje kwa watekaji hao, ambao tuliambiwa kuwa ni wageni wasioweza kuongea hata kidogo kiswahili na kiingereza, waweze kumuunganisha na huyo mtu wa nje ambaye anaongea kiswahili na kiingereza??
3. Tuliambiwa kuwa watekaji hao waliweza kumtelekeza eneo la Ghymkana, bila kumdhuru na wala hawakupata madai yao ya fedha, ilikuwaje walimwacha akiwa hai, iwapo hawajitimiziwa kile walichokitaka??
4. Ilikuwaje watekaji hao wa kigeni waweze kumwachia mateka wao eneo la Gymkhana, ambalo ni la wazi sana, wakati security ya nchi ilikuwa katika kiwango cha juu sana kiusalama??
5. Je kama watekaji hao walikuwa ni wa kutoka nchi za nje, waliwezaje kutoka hapa nchini, wakati nchi ilikuwa katika kiwango cha juu sana cha usalama??
6 Kama kweli waliondoka hao watekaji "wageni" ilikuwaje kwa Rais wetu hakuwatumbua wateule wake wa vyombo vya usalama, kwa kuonyesha uzembe wa hali ya juu wa kuhakikisha usalama wa raia na Mali zao??
7. Hivi watanzania kutokana na "scenario" nzima hiyo tuki-conclude kuwa watekaji hao wali-collude na watu wa serikali, tutakuwa tumekosea kweli??
Tungependa kuwaeleza watawala wetu kuwa watanzania siyo wajinga kiasi hicho cha kudanganywa kadri mnavyotaka!
Kutokana na interview ile aliyofanya na mtangazaji Salim Kikeke wa BBC.mo mwenyewe katika mahojiano yake yamejaa nashukuru nyingi na mapambio mengi ya kusifu kitu ambacho kinonyesha anawajuwa vizuri walio mteka na bado anawaogopa. yaani alivyo kuwa anaogea akili yake yote ilikuwa inawaza watekaji watachukuliaje interview. kwa maana alikuwa anajuwa kabisa kuwa watekaji walikuwa wanasikiliza interview yake kwa makini. na kila alivyo ulizwa maswali ya kuhusu watekaji alikuwa anayakwepa kiaina au alikuwa anajaribu kurudia statements za police.
Tukubali tu ni hivyohivyo, waliingia nchini kupitia Namanga na gari yao pickup yenye namba za msumbiji nao wanaongea kireno na ni wazungu na cctv iliwafuata kuanzia Oysterbay mpaka Kijitonyama wakapotea! Leta chai tunywe.Siku chache zillizopita, mfanyibiashara maarufu nchini Mo, alihojiwa kwa mara ya kwanza tokea kuachiliwa huru mwaka jana na chombo cha habari cha nje, shirika la utangazaji la BBC
Nilisikiliza kwa makini sana clip hiyo na ningependa maswali yafuatayo yajibiwe na viongozi wetu wa serikali
1. Siku ya kwanza baada ya kutekwa kwake, tulimuona Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda, akiongea na waandishi wa habari na kutueleza watanzania kuwa mfanyibiashara huyo ametekwa na watu wasiojulikana, lakini wakati huo huo akatueleza kuwa watekaji hao ni watu wa kutoka nje, ambao wanaongea lafudhi kama vile ya kizulu toka Afrika Kusini, je yeye alijuaje kuwa watu hao ni wageni, wakati uchunguzi wa Polisi ulikuwa haujakamilika??
2. Tulimsikia pia mfanyibiashara huyo Mo "akijaribu" kuunga mkono kauli hiyo ya mkuu wa mkoa wa Dar katika mahojiano yake na BBC. Hata hivyo alieleza kwenye clip hiyo kuwa watu hao walikuwa wanataka "lumpsum" na akaendelea kueleza kuwa watu hao waliweza kumuanganisha na mtu mwingine, ambaye hakuwepo kwenye hilo eneo alilokuwa ametekwa na waliongea kuhusu madai yao ya pesa, lakini akazidi kuongea kuwa mtu huyo wa nje, alimpa "option" ya kuweza kuongea kiswahili au kiingereza, hivi inawezekanaje kwa watekaji hao, ambao tuliambiwa kuwa ni wageni wasioweza kuongea hata kidogo kiswahili na kiingereza, waweze kumuunganisha na huyo mtu wa nje ambaye anaongea kiswahili na kiingereza??
3. Tuliambiwa kuwa watekaji hao waliweza kumtelekeza eneo la Ghymkana, bila kumdhuru na wala hawakupata madai yao ya fedha, ilikuwaje walimwacha akiwa hai, iwapo hawajitimiziwa kile walichokitaka??
4. Ilikuwaje watekaji hao wa kigeni waweze kumwachia mateka wao eneo la Gymkhana, ambalo ni la wazi sana, wakati security ya nchi ilikuwa katika kiwango cha juu sana kiusalama??
5. Je kama watekaji hao walikuwa ni wa kutoka nchi za nje, waliwezaje kutoka hapa nchini, wakati nchi ilikuwa katika kiwango cha juu sana cha usalama??
6 Kama kweli waliondoka hao watekaji "wageni" ilikuwaje kwa Rais wetu hakuwatumbua wateule wake wa vyombo vya usalama, kwa kuonyesha uzembe wa hali ya juu wa kuhakikisha usalama wa raia na Mali zao??
7. Hivi watanzania kutokana na "scenario" nzima hiyo tuki-conclude kuwa watekaji hao wali-collude na watu wa serikali, tutakuwa tumekosea kweli??
Tungependa kuwaeleza watawala wetu kuwa watanzania siyo wajinga kiasi hicho cha kudanganywa kadri mnavyotaka!
Kuna sehemu alisema alikwenda kuiona hiyo nyumba alipokuwa kipindi kimetekwa ? Najiuliza hiyo nyumba ni ya nani ? Ipo wapi ? Kwa nini wasianze na mmiliki wa nyumba pia. Alikuwa kafungwa macho. Baadae alipokwenda kuona hiyo nyumba baada ya kuachiwa alijuaje ni hiyo nyumba alimokuwepo ?
Unadhani kwa maelezo ya Mo, kuwa alisikia milio ya chopa ikipita juu "ku-patrol" eneo la tukio, hivi unadhani unaweza wahisi kina nani kama washukiwa wakuu wa tukio lile??Kimsingi hii script mpya ya Mo imeleta taharuki zaidi kuliko ile ya Mambosasa.
Anyway tuendelee kuenjoy background beat
Hahaha umesahau, "mchana walikuwa wanamfunga mikono nyuma, halafu wanamvua nguo zote kisha wanamfunga mikono kwa mbele, halafu wanamlaza ubavu wa kulia au kushoto..." hakumalizia walikuwa wanamfanyaje mtoto wa kihindi.Bora angeendelea kuukaa tu kukaa kimya ! Hii inaweza kudhihirisha kuwa hawa watu hufanyiwa " mambo" ambayo huwafanya wasithubutu kusema ukweli maishani mwao tena!
Kama amekiri walimvua nguo zote je unadhani hawakumrekodi akiwa uchi? Je, hawakumfanyia " vitendo" vya kifedhuli vya kumnyamazisha milele?
Mo alikuwa ajiumauma mno kwenye yale mahojiano ya BBC!
Ni kweli, jamaa kila mara ni kumsifu mtukufu wa Chato utadhani amekaririshwa.Kutokana na interview ile aliyofanya na mtangazaji Salim Kikeke wa BBC.
Nilicho-realize ni kuwa, pamoja na masahibu yote yaliyomkuta, ni dhahiri hivi sasa Mo "amelazimishwa" ajiunge kikamilifu na ile "praise and worship team for Magufuli"
Amelazimishwa kujiunga na "praise and worship team for Magufuli"Ni kweli, jamaa kila mara ni kumsifu mtukufu wa Chato utadhani amekaririshwa.
Hahahahaha! Hii nchi ya hovyo sana