Mo Dewji azidisha utata wa kutekwa kwake baada ya mahojiano BBC

Mo Dewji azidisha utata wa kutekwa kwake baada ya mahojiano BBC

Siku chache zillizopita, mfanyibiashara maarufu nchini Mo, alihojiwa kwa mara ya kwanza tokea kuachiliwa huru mwaka jana na chombo cha habari cha nje, shirika la utangazaji la BBC

Nilisikiliza kwa makini sana clip hiyo na ningependa maswali yafuatayo yajibiwe na viongozi wetu wa serikali

1. Siku ya kwanza baada ya kutekwa kwake, tulimuona Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda, akiongea na waandishi wa habari na kutueleza watanzania kuwa mfanyibiashara huyo ametekwa na watu wasiojulikana, lakini wakati huo huo akatueleza kuwa watekaji hao ni watu wa kutoka nje, ambao wanaongea lafudhi kama vile ya kizulu toka Afrika Kusini, je yeye alijuaje kuwa watu hao ni wageni, wakati uchunguzi wa Polisi ulikuwa haujakamilika??

2. Tulimsikia pia mfanyibiashara huyo Mo "akijaribu" kuunga mkono kauli hiyo ya mkuu wa mkoa wa Dar katika mahojiano yake na BBC. Hata hivyo alieleza kwenye clip hiyo kuwa watu hao walikuwa wanataka "lumpsum" na akaendelea kueleza kuwa watu hao waliweza kumuanganisha na mtu mwingine, ambaye hakuwepo kwenye hilo eneo alilokuwa ametekwa na waliongea kuhusu madai yao ya pesa, lakini akazidi kuongea kuwa mtu huyo wa nje, alimpa "option" ya kuweza kuongea kiswahili au kiingereza, hivi inawezekanaje kwa watekaji hao, ambao tuliambiwa kuwa ni wageni wasioweza kuongea hata kidogo kiswahili na kiingereza, waweze kumuunganisha na huyo mtu wa nje ambaye anaongea kiswahili na kiingereza??

3. Tuliambiwa kuwa watekaji hao waliweza kumtelekeza eneo la Ghymkana, bila kumdhuru na wala hawakupata madai yao ya fedha, ilikuwaje walimwacha akiwa hai, iwapo hawajitimiziwa kile walichokitaka??

4. Ilikuwaje watekaji hao wa kigeni waweze kumwachia mateka wao eneo la Gymkhana, ambalo ni la wazi sana, wakati security ya nchi ilikuwa katika kiwango cha juu sana cha tahadhari ya kiusalama??

5. Je kama watekaji hao walikuwa ni wa kutoka nchi za nje, waliwezaje kutoka hapa nchini, wakati nchi ilikuwa katika kiwango cha juu sana cha tahadhari ya usalama??

6 Kama kweli waliondoka hao watekaji "wageni" ilikuwaje kwa Rais wetu hakuwatumbua wateule wake wa vyombo vya usalama, kwa kuonyesha uzembe wa hali ya juu wa kuhakikisha usalama wa raia na Mali zao??

7. Hivi watanzania kutokana na "scenario" nzima hiyo tuki-conclude kuwa watekaji hao wali-collude na watu wa serikali, tutakuwa tumekosea kweli??

Tungependa kuwaeleza watawala wetu kuwa watanzania siyo wajinga kiasi hicho cha kudanganywa kadri mnavyotaka!
Tunadanganywa tu....

Hizo khabari zote ni fabrication na muandikaji wa script anajulikana
 
Amesema wahudumu wa pale hotelini wanamjua.....ndio maana walipomwona tu kabla hajasema chochote walimpigia simu baba yake!

..toka kule EU mpaka hotelini?

..na watekaji si walitelekeza gari na kujaribu kulichoma moto maeneo ya gymkhana?
 
Siku chache zillizopita, mfanyibiashara maarufu nchini Mo, alihojiwa kwa mara ya kwanza tokea kuachiliwa huru mwaka jana na chombo cha habari cha nje, shirika la utangazaji la BBC

Nilisikiliza kwa makini sana clip hiyo na ningependa maswali yafuatayo yajibiwe na viongozi wetu wa serikali

1. Siku ya kwanza baada ya kutekwa kwake, tulimuona Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda, akiongea na waandishi wa habari na kutueleza watanzania kuwa mfanyibiashara huyo ametekwa na watu wasiojulikana, lakini wakati huo huo akatueleza kuwa watekaji hao ni watu wa kutoka nje, ambao wanaongea lafudhi kama vile ya kizulu toka Afrika Kusini, je yeye alijuaje kuwa watu hao ni wageni, wakati uchunguzi wa Polisi ulikuwa haujakamilika??

2. Tulimsikia pia mfanyibiashara huyo Mo "akijaribu" kuunga mkono kauli hiyo ya mkuu wa mkoa wa Dar katika mahojiano yake na BBC. Hata hivyo alieleza kwenye clip hiyo kuwa watu hao walikuwa wanataka "lumpsum" na akaendelea kueleza kuwa watu hao waliweza kumuanganisha na mtu mwingine, ambaye hakuwepo kwenye hilo eneo alilokuwa ametekwa na waliongea kuhusu madai yao ya pesa, lakini akazidi kuongea kuwa mtu huyo wa nje, alimpa "option" ya kuweza kuongea kiswahili au kiingereza, hivi inawezekanaje kwa watekaji hao, ambao tuliambiwa kuwa ni wageni wasioweza kuongea hata kidogo kiswahili na kiingereza, waweze kumuunganisha na huyo mtu wa nje ambaye anaongea kiswahili na kiingereza??

3. Tuliambiwa kuwa watekaji hao waliweza kumtelekeza eneo la Ghymkana, bila kumdhuru na wala hawakupata madai yao ya fedha, ilikuwaje walimwacha akiwa hai, iwapo hawajitimiziwa kile walichokitaka??

4. Ilikuwaje watekaji hao wa kigeni waweze kumwachia mateka wao eneo la Gymkhana, ambalo ni la wazi sana, wakati security ya nchi ilikuwa katika kiwango cha juu sana cha tahadhari ya kiusalama??

5. Je kama watekaji hao walikuwa ni wa kutoka nchi za nje, waliwezaje kutoka hapa nchini, wakati nchi ilikuwa katika kiwango cha juu sana cha tahadhari ya usalama??

6 Kama kweli waliondoka hao watekaji "wageni" ilikuwaje kwa Rais wetu hakuwatumbua wateule wake wa vyombo vya usalama, kwa kuonyesha uzembe wa hali ya juu wa kuhakikisha usalama wa raia na Mali zao??

7. Hivi watanzania kutokana na "scenario" nzima hiyo tuki-conclude kuwa watekaji hao wali-collude na watu wa serikali, tutakuwa tumekosea kweli??

Tungependa kuwaeleza watawala wetu kuwa watanzania siyo wajinga kiasi hicho cha kudanganywa kadri mnavyotaka!
mo alisema alivalishwa kanga achana na mambo yake kunywa beer tu.
 
Siku chache zillizopita, mfanyibiashara maarufu nchini Mo, alihojiwa kwa mara ya kwanza tokea kuachiliwa huru mwaka jana na chombo cha habari cha nje, shirika la utangazaji la BBC

Nilisikiliza kwa makini sana clip hiyo na ningependa maswali yafuatayo yajibiwe na viongozi wetu wa serikali

1. Siku ya kwanza baada ya kutekwa kwake, tulimuona Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda, akiongea na waandishi wa habari na kutueleza watanzania kuwa mfanyibiashara huyo ametekwa na watu wasiojulikana, lakini wakati huo huo akatueleza kuwa watekaji hao ni watu wa kutoka nje, ambao wanaongea lafudhi kama vile ya kizulu toka Afrika Kusini, je yeye alijuaje kuwa watu hao ni wageni, wakati uchunguzi wa Polisi ulikuwa haujakamilika??

2. Tulimsikia pia mfanyibiashara huyo Mo "akijaribu" kuunga mkono kauli hiyo ya mkuu wa mkoa wa Dar katika mahojiano yake na BBC. Hata hivyo alieleza kwenye clip hiyo kuwa watu hao walikuwa wanataka "lumpsum" na akaendelea kueleza kuwa watu hao waliweza kumuanganisha na mtu mwingine, ambaye hakuwepo kwenye hilo eneo alilokuwa ametekwa na waliongea kuhusu madai yao ya pesa, lakini akazidi kuongea kuwa mtu huyo wa nje, alimpa "option" ya kuweza kuongea kiswahili au kiingereza, hivi inawezekanaje kwa watekaji hao, ambao tuliambiwa kuwa ni wageni wasioweza kuongea hata kidogo kiswahili na kiingereza, waweze kumuunganisha na huyo mtu wa nje ambaye anaongea kiswahili na kiingereza??

3. Tuliambiwa kuwa watekaji hao waliweza kumtelekeza eneo la Ghymkana, bila kumdhuru na wala hawakupata madai yao ya fedha, ilikuwaje walimwacha akiwa hai, iwapo hawajitimiziwa kile walichokitaka??

4. Ilikuwaje watekaji hao wa kigeni waweze kumwachia mateka wao eneo la Gymkhana, ambalo ni la wazi sana, wakati security ya nchi ilikuwa katika kiwango cha juu sana cha tahadhari ya kiusalama??

5. Je kama watekaji hao walikuwa ni wa kutoka nchi za nje, waliwezaje kutoka hapa nchini, wakati nchi ilikuwa katika kiwango cha juu sana cha tahadhari ya usalama??

6 Kama kweli waliondoka hao watekaji "wageni" ilikuwaje kwa Rais wetu hakuwatumbua wateule wake wa vyombo vya usalama, kwa kuonyesha uzembe wa hali ya juu wa kuhakikisha usalama wa raia na Mali zao??

7. Hivi watanzania kutokana na "scenario" nzima hiyo tuki-conclude kuwa watekaji hao wali-collude na watu wa serikali, tutakuwa tumekosea kweli??

Tungependa kuwaeleza watawala wetu kuwa watanzania siyo wajinga kiasi hicho cha kudanganywa kadri mnavyotaka!
Ameshakuwa mpiga kinanda wa praise team
 
Kwanza Mo hajawahi Kwenda Kituo chochote cha Polisi kutoa maelezo baada ya kutupwa.Ansasema alipigigia simu Baba yake baada ya kutupwa then akapelekwa nyumbani.... Baada ya hapo Kamanda Mambosasa alimfata nyumbani kwake kunywa chai na akamwacha nyumbani apumzike .......Ata kama Watanzania wana akili ndogo sana lakini sio kwa usani huu.
kumbe MO anakaa kwao
 
Unaijua hotel iliyo karibu na ofisi za EU?

Mo hakusema habari za gari kutaka kuchomwa moto!

..hivi kwa akili zako unaweza kumteka mtu halafu akaenda kumbwaga karibu na ubalozi wa EU?

..halafu ukaendesha gari linalotafutwa na Polisi na kulichoma moto karibu na wizara ya mambo ya ndani?
 
..hivi kwa akili zako unaweza kumteka mtu halafu akaenda kumbwaga karibu na ubalozi wa EU?

..halafu ukaendesha gari linalotafutwa na Polisi na kulichoma moto karibu na wizara ya nambo ya ndani?
Kwa akili ya MO!
 
..hivi kwa akili zako unaweza kumteka mtu halafu akaenda kumbwaga karibu na ubalozi wa EU?

..halafu ukaendesha gari linalotafutwa na Polisi na kulichoma moto karibu na wizara ya nambo ya ndani?
Hayo maajabu yanaweza yakatokea ndani ya nchi ya Tanzania pekee!
 
Hahaha umesahau, "mchana walikuwa wanamfunga mikono nyuma, halafu wanamvua nguo zote kisha wanamfunga mikono kwa mbele, halafu wanamlaza ubavu wa kulia au kushoto..." hakumalizia walikuwa wanamfanyaje mtoto wa kihindi.

Mateka akipatikana huwa wanapelekwa Hospitali, yeye alipelekwa nyumbani kwake, kama vile katolewa guest house.

Mwacheni huyo atakuwa ALIJITEKA in Mambosasa voice.

Alijiteka kistaarabu, anapewa kila kitu anachotaka hahaha.

Alikuwa anapewa simu, je, alikuwa anaongea na nani kwenye hiyo simu ili iweje na anasema no ransom was paid?!

Uongei na ndugu zako, unaongea na nani na hiyo simu...?

Nani alikuwa upande wa pili wa hiyo simu?!

The whole thing is a HOAX.
Ila amejidhalilisha ,atasemaje wakimvua nguo zote wanafunga mikono halafu wanamlaza akiwa kajifunga kanga tu.Marinda je,yalibaki salama?
 
Kwanza Mo hajawahi Kwenda Kituo chochote cha Polisi kutoa maelezo baada ya kutupwa.Ansasema alipigigia simu Baba yake baada ya kutupwa then akapelekwa nyumbani.... Baada ya hapo Kamanda Mambosasa alimfata nyumbani kwake kunywa chai na akamwacha nyumbani apumzike .......Ata kama Watanzania wana akili ndogo sana lakini sio kwa usani huu.

Wakati ule, kulikuwa na doria kila kona ya Dar.
Kuna maswali mengi, ambayo wengi hawajiulizi. Ilikuwaje baada ya kupatikana kwake pale sehemu alipotelekezwa, hawakufahamishwa polisi ili waje pale kumchukua, au kumpeleka kwake? Ilikuwaje hao wazazi wake watoke huko kwao, bila kuwafahamisha polisi kuwa mtoto wao yupo sehemu fulani, bali wakaenda moja kwa moja mpaka sehemu ya tukio wao tu? Pia, hebu tujiulize, hao wazazi, walikuwa na ujasiri gani wa kuondoka na mtoto wao, usiku huo wa manane bila kuwafahamisha polisi na kurudi nyumbani kwao? Hebu tujiulize, kama wangekutana na doria ya polisi njiani, wakasimamishwa, na hao polisi kumuona huyo Mo kwenye gari, wangeaminiwa kuwa wao (hao ndugu zake) sio wao ndio walikuwa wamemficha sehemu na kwa wakati huo wanamuhamisha sehemu nyingine?
Hesabu za haraka za bila kumung`unya maneno, akina Mambosasa wanajua Mo alikuwa wapi, na kwa madhumuni gani.
 
Kama mo mwenyewe kasema hayo wewe ni nani hata utake ya ziada?

Kama una la kuongezea nenda idara husika ya upelelezi kapeleke raarifa yako kwa njia ya maandishi
kama angefanya kama ulivomshauri, wewe ungepata wapi wazo la kuchangia? Kama unakereka na hoja si lazima uchangie. Hili ni jukwaa huru, mradi uepuke lugha chafu na maudhi ya makusudi kwa mtu au kikundi.
 
Kuna sehemu alisema alikwenda kuiona hiyo nyumba alipokuwa kipindi kimetekwa ? Najiuliza hiyo nyumba ni ya nani ? Ipo wapi ? Kwa nini wasianze na mmiliki wa nyumba pia. Alikuwa kafungwa macho. Baadae alipokwenda kuona hiyo nyumba baada ya kuachiwa alijuaje ni hiyo nyumba alimokuwepo ?
Huenda hiyo nyumba ina harufu yake ya kipekee, hivyo alipoenda aliitambua kwa harufu.
 
Back
Top Bottom