Mo Dewji azidisha utata wa kutekwa kwake baada ya mahojiano BBC

Mo Dewji azidisha utata wa kutekwa kwake baada ya mahojiano BBC

Huenda hiyo nyumba ina harufu yake ya kipekee, hivyo alipoenda aliitambua kwa harufu.
Au labda aliconstruct ramani katika mind yake. Hivyo alipotoka alifuata hiyo ramani alikopitishwa hadi akafika kwenye hiyo nyumba. Sijui kwa nini Kikeke hakumuuliza ulijuaje hiyo location ya hiyo nyumba ?
 
Hilo eneo la Gymkana lina camera za kiusalama. Hata Rais alionyesha mashaka jinsi tukio lilivyokuwa
Mshikaji alikuwa ikulu kule, kwa Magu, japo mtaani ilitangazwa kuwa katekwa!. Kwenye mahojiano na BBC kaji expose......"walikuwa wanaongea lugha yao"
 
Wakati ule, kulikuwa na doria kila kona ya Dar.
Kuna maswali mengi, ambayo wengi hawajiulizi. Ilikuwaje baada ya kupatikana kwake pale sehemu alipotelekezwa, hawakufahamishwa polisi ili waje pale kumchukua, au kumpeleka kwake? Ilikuwaje hao wazazi wake watoke huko kwao, bila kuwafahamisha polisi kuwa mtoto wao yupo sehemu fulani, bali wakaenda moja kwa moja mpaka sehemu ya tukio wao tu? Pia, hebu tujiulize, hao wazazi, walikuwa na ujasiri gani wa kuondoka na mtoto wao, usiku huo wa manane bila kuwafahamisha polisi na kurudi nyumbani kwao? Hebu tujiulize, kama wangekutana na doria ya polisi njiani, wakasimamishwa, na hao polisi kumuona huyo Mo kwenye gari, wangeaminiwa kuwa wao (hao ndugu zake) sio wao ndio walikuwa wamemficha sehemu na kwa wakati huo wanamuhamisha sehemu nyingine?
Hesabu za haraka za bila kumung`unya maneno, akina Mambosasa wanajua Mo alikuwa wapi, na kwa madhumuni gani.
Mkuu wewe ni mzazi kweli? Kwa hiyo mwanao aliepotea akupigie simu kukueleza alipo still bado uwe na doubts serious kumfata?
 
Wewe hujasikia kuwa Mo alifungwa na kamba mikono yote na kuzibwa mdomo wake na kitambaa pamoja na kuvuliwa suti yake na kupewa khanga kujihifadhi??

Huyo ni miongoni ya matajiri wakubwa duniani, kwa mujibu wa gazeti la Forbes, unaposema matajiri hawateswi, je huyo Mo hakuteswa kwa mawazo yako??
Nani alimuona
 
Mo anajaribu kuwalinda watekaji wake japo inonekana anawafahamu pamoja na aliyewatuma.

Attitude ya akina Mo baada ya kutekwa, inafanya vitendo kama hivi viendelee kushamiri kwani ni ile ya ku-sympathise na watekaji. Mo ni bure sana.
 
Ila amejidhalilisha ,atasemaje wakimvua nguo zote wanafunga mikono halafu wanamlaza akiwa kajifunga kanga tu.Marinda je,yalibaki salama?
Hahaha alishindwa kusema tu kwasababu alikuwa BBC, iko siku akiwa clouds kwenye vile kipindi vya kimbea atasema.
 
Mo anajaribu kuwalinda watekaji wake japo inonekana anawafahamu pamoja na aliyewatuma.

Attitude ya akina Mo baada ya kutekwa, inafanya vitendo kama hivi viendelee kushamiri kwani ni ile ya ku-sympathise na watekaji. Mo ni bure sana.
Alichofanya Mo ni "kuhalalisha" vitendo vya kishenzi vya kutekana vya akina Bashite vishamiri nchini
 
Back
Top Bottom