Mo Dewji azidisha utata wa kutekwa kwake baada ya mahojiano BBC

Mbona una udadisi makini hivi leo?
Ngoja nikupe wazo zuri la mradi utakaokutoa moja kwa moja na pengine kumkaribia Mo mwenyewe.

Hapa kuna 'bonge' la movie. Fanya matayarisho yako kimya kimya kwa kukusanya habari na kuziweka vizuri. Unaweza hata kuandika kiwe kitabu. Hicho kitabu usikichapishe sasas hivi. Kaa nacho tu kwa mda maana umri bado unakuruhusu.

Wakati mwafaka ukifika, tengeneza movie. Shirikiana na Mo, anaweza akakubali kuwa 'steling' wa movie hiyo.

Haya, mradi ndio huo. Utanigawia kidogo 'royalty' kwa hili wazo?
 
Asante. Labda movie. Kitabu wabongo sio wasomaji kihivyo.
 
Hahaaaaa......

Pesa yake ndiyo iliyonunua Airbus??

Umenichekesha sana Mkuu, kwa comment yako hiyo
 
Mimi naipenda story yake pale tu aliposema walimvua nguo zote alizokuwa nazo, wakamvisha kanga! Hivi hawakumchoma sindano kweli!! 💉
 
Yote hiyo ilikua kuzima ishu ya lisu antpass
 
Ukiwa tajiri hata ukamataji utakuwa tofauti, ulishaona tajiri kabeba tanganyika jet ile ya kuminywa suluali juu na kutembelea vidole? Wao hufuatwa kwa busara, sasa uwe kapuku vibao utakula vyakutosha
 
Ukiwa tajiri hata ukamataji utakuwa tofauti, ulishaona tajiri kabeba tanganyika jet ile ya kuminywa suluali juu na kutembelea vidole? Wao hufuatwa kwa busara, sasa uwe kapuku vibao utakula vyakutosha
Wewe hujasikia kuwa Mo alifungwa na kamba mikono yote na kuzibwa mdomo wake na kitambaa pamoja na kuvuliwa suti yake na kupewa khanga kujihifadhi??

Huyo ni miongoni ya matajiri wakubwa duniani, kwa mujibu wa gazeti la Forbes, unaposema matajiri hawateswi, je huyo Mo hakuteswa kwa mawazo yako??
 
Fumbo mfumbie mjinga... mwerevu atalifumbua, hilo sakata lipo katika hali hiyo...


Cc: mahondaw
 
Bora angeendelea kukaa kimya maana anazidi kuiweka uchi serikali, inaonekana kalazimishwa kumsafisha jiwe.
 
Kawaida ya move la kihindi huwa linaacha maswali mengi,ni kama bongo move
 
Kasema aliachwa jirani na ofisi za EU siyo kule viwanjani......ndio akajikokota taratibu hadi hotelini ambako baba yake alienda kumchukua!

..maeneo karibu na ofisi za EU kuna walinzi.

..na kwanini alikwenda kujisalimisha hotelini badala ya kwenda wizara ya mambo ya ndani ambapo ni karibu zaidi na pana mapolisi.

..na watekaji watakuwa wajinga kiasi gani kwenda kumbwaga eneo lenye ulinzi wa Polisi na wa makampuni ya ulinzi 24/7?
 
Inaonyesha wazi kuwa huyu aliye-plan hii movie amebugi step. OVA
 
Wamejichanganya hao,upangaji wa tukio,uongo lazima ujitenge
 


MMMMMMMMM....M.OOIIIIIIKKKKKKKNB. B
 
Huenda hata huyo aliyekuwa akiwasiliana naye, baada ya kupewa simu na watekaji, akawa ana-demand "Ramsom" ili Mo aachiwe huru akawa ni Jiwe mwenyewe!

By Zitto's voice "The United Republic of Gangsters"
 
Amesema wahudumu wa pale hotelini wanamjua.....ndio maana walipomwona tu kabla hajasema chochote walimpigia simu baba yake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…