Mo Dewji: Kama Mayele yupo tayari kuvunja mkataba wake na Yanga, tutambeba

Mo Dewji: Kama Mayele yupo tayari kuvunja mkataba wake na Yanga, tutambeba

Hahahaha ko ata derby haangaliii af kumbe yeye sio mtu wa michezo kama mayere hamjui anamjua nani bongo?😂😂😂
Hivi wewe ungekuwa mtu wa michezo ungeandika "mayere"
 
Ila huyo Mo hana uwezo wa kununua mchezaji yeyote bora Afrika kwani hiyo biashara ni ya familia na hawawezi wakakubali hiyo hasara kwani wanafahamu hiyo pesa ingetumika kwenye shughuli nyingine ingeleta faida ya uhakika zaidi kuliko ikiwekezwa kwenye mpira ambapo inakuwa ni pata potea.
GSM ingekuwa biashara yake mwenyewe hao ndugu zake wangemwagiwa t.......kali?
 
Makolo kununua mchezaji mwenye mkataba hawawezi mpaka mchezaji avunje mkataba ni kama mafisi yanayovizia mizoga
 
Acha nikusaidie.....najua makolo mnapresha ya mechi

Mo..
"Simba tuko tayari kumpata mchezaji bora popote Afrika kwa hiyo kama Mayele atakuwa ameorodheshwa na mkataba wake yuko tayari kuuvunja na Yanga na kuja Simba basi simba itakuwa tayari,”
Mayele anatamani kucheza champions ligue na super cup ila klabu aliyopo ndio inamwangusha sana. Mwanzoni aliambiwa yanga ni kama simba ila alipoujua ukweli alilia sana
 
MO: TUKIMTAKA MAYELE, TUTAMBEBA.

“Sifuatilii sana mechi za Yanga...Sijamuona Mayele kwenye mechi namsikia, namuona kwenye mitandao naona clip zake anavyofunga magoli nampongeza ni mchezaji mzuri sana na namuombea kila la kheri"

“Simba tuko tayari kumpata mchezaji bora popote Afrika kwa hiyo kama Mayele atakuwa ameorodheshwa na mkataba wake yuko tayari kuuvunja na Yanga na kuja Simba basi simba itakuwa tayari,”

RAIS WA HESHIMA WA KLABU YA SIMBA, MOHAMMED DEWJI.

Source: FutbalPlanetUpdates

Kama anampenda Mayele ahamie yanga na sii amhamishie 🦁
 
Ila huyo Mo hana uwezo wa kununua mchezaji yeyote bora Afrika kwani hiyo biashara ni ya familia na hawawezi wakakubali hiyo hasara kwani wanafahamu hiyo pesa ingetumika kwenye shughuli nyingine ingeleta faida ya uhakika zaidi kuliko ikiwekezwa kwenye mpira ambapo inakuwa ni pata potea.
Kwanza hawawezi wamemrubuni Faisal Mwisho wemtelekeza😂
 
MO: TUKIMTAKA MAYELE, TUTAMBEBA.

“Sifuatilii sana mechi za Yanga...Sijamuona Mayele kwenye mechi namsikia, namuona kwenye mitandao naona clip zake anavyofunga magoli nampongeza ni mchezaji mzuri sana na namuombea kila la kheri"

“Simba tuko tayari kumpata mchezaji bora popote Afrika kwa hiyo kama Mayele atakuwa ameorodheshwa na mkataba wake yuko tayari kuuvunja na Yanga na kuja Simba basi simba itakuwa tayari,”

RAIS WA HESHIMA WA KLABU YA SIMBA, MOHAMMED DEWJI.

Source: FutbalPlanetUpdates

Hana hela za kununua wachezaji kwa kuvunja mikataba, hajawahi. Kama anazo wachezaji wako wengi siyo Mayele tu
 
Alivyo sajiriwa Okwa na Sawadogo nikajua Simba hatufiki popote Club Bingwa. Ila wachezaji wa Zamani wamejitoa sana kutufikisha hapa tulipo.

Mayele Simba wenyewe walimkataa wakati tunacheza na A.S. Vita.
Mayele na Juma Shaaban walitaka kuja Simba. Lakini Simba ilipotezea kama ilivyompotezea Aziz Ki, Manzoki na Adebaye.

Simba Hawawi Serious kwenye maswala ya Usajiri wa wachezaji wake.
Ni kwamba wanaokota okota tu maporini.
Nasikia wanasubiri mwanamke aliyefiwa na mumewe ndio wanaoa ha ha ha!
 
Hahahaha ko ata derby haangaliii af kumbe yeye sio mtu wa michezo kama mayere hamjui anamjua nani bongo?[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani kuwa mtu wa michezo lazima uangalie mechi za utopolo?????
Mfano mimi mechi ya uto ninayoiangalia ni ile wanayocheza na simba tu...sababu sivutiwi na aina ya soka lao.........

Yeye kasema haifuatilii uto ,hajasema kuwa haangalii hata derby,

AKILI MTU WANGU.
 
Anataka Mayele mwenyewe avunje mkataba na Yanga! Ndiyo wamsajili! 🤔

Hivi usikute hata yule mla ugali na sukari, atakuwa alishawishiwa na watu wajanja kama hawa!!

Hivi katika hali ya kawaida, mchezaji anayejitambua kama Mayele anaweza kweli kuvunja mkataba wake na Yanga, ili akasajiliwe simba!!
 
Back
Top Bottom