Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzio wana Billion 20Waweke pesa mezan tufanye biashara, pesa zenyewe zamalalamiko ataweza
Manzoki hakuwa bora??Alichokisema yeye ni mchezaji bora popote Africa,, ila wewe umekuwa too specific
Hivi wewe ungekuwa mtu wa michezo ungeandika "mayere"Hahahaha ko ata derby haangaliii af kumbe yeye sio mtu wa michezo kama mayere hamjui anamjua nani bongo?😂😂😂
GSM ingekuwa biashara yake mwenyewe hao ndugu zake wangemwagiwa t.......kali?Ila huyo Mo hana uwezo wa kununua mchezaji yeyote bora Afrika kwani hiyo biashara ni ya familia na hawawezi wakakubali hiyo hasara kwani wanafahamu hiyo pesa ingetumika kwenye shughuli nyingine ingeleta faida ya uhakika zaidi kuliko ikiwekezwa kwenye mpira ambapo inakuwa ni pata potea.
Mayele anatamani kucheza champions ligue na super cup ila klabu aliyopo ndio inamwangusha sana. Mwanzoni aliambiwa yanga ni kama simba ila alipoujua ukweli alilia sanaAcha nikusaidie.....najua makolo mnapresha ya mechi
Mo..
"Simba tuko tayari kumpata mchezaji bora popote Afrika kwa hiyo kama Mayele atakuwa ameorodheshwa na mkataba wake yuko tayari kuuvunja na Yanga na kuja Simba basi simba itakuwa tayari,”
Kama anampenda Mayele ahamie yanga na sii amhamishie 🦁MO: TUKIMTAKA MAYELE, TUTAMBEBA.
“Sifuatilii sana mechi za Yanga...Sijamuona Mayele kwenye mechi namsikia, namuona kwenye mitandao naona clip zake anavyofunga magoli nampongeza ni mchezaji mzuri sana na namuombea kila la kheri"
“Simba tuko tayari kumpata mchezaji bora popote Afrika kwa hiyo kama Mayele atakuwa ameorodheshwa na mkataba wake yuko tayari kuuvunja na Yanga na kuja Simba basi simba itakuwa tayari,”
RAIS WA HESHIMA WA KLABU YA SIMBA, MOHAMMED DEWJI.
Source: FutbalPlanetUpdates
Kwanza hawawezi wamemrubuni Faisal Mwisho wemtelekeza😂Ila huyo Mo hana uwezo wa kununua mchezaji yeyote bora Afrika kwani hiyo biashara ni ya familia na hawawezi wakakubali hiyo hasara kwani wanafahamu hiyo pesa ingetumika kwenye shughuli nyingine ingeleta faida ya uhakika zaidi kuliko ikiwekezwa kwenye mpira ambapo inakuwa ni pata potea.
Mbona kama unatetemeka vile...Kama walimshindwa Manzoki .....huyu predator watamuweza???
SawadogoHahahaha ko ata derby haangaliii af kumbe yeye sio mtu wa michezo kama mayere hamjui anamjua nani bongo?[emoji23][emoji23][emoji23]
Hana hela za kununua wachezaji kwa kuvunja mikataba, hajawahi. Kama anazo wachezaji wako wengi siyo Mayele tuMO: TUKIMTAKA MAYELE, TUTAMBEBA.
“Sifuatilii sana mechi za Yanga...Sijamuona Mayele kwenye mechi namsikia, namuona kwenye mitandao naona clip zake anavyofunga magoli nampongeza ni mchezaji mzuri sana na namuombea kila la kheri"
“Simba tuko tayari kumpata mchezaji bora popote Afrika kwa hiyo kama Mayele atakuwa ameorodheshwa na mkataba wake yuko tayari kuuvunja na Yanga na kuja Simba basi simba itakuwa tayari,”
RAIS WA HESHIMA WA KLABU YA SIMBA, MOHAMMED DEWJI.
Source: FutbalPlanetUpdates
Nasikia wanasubiri mwanamke aliyefiwa na mumewe ndio wanaoa ha ha ha!Alivyo sajiriwa Okwa na Sawadogo nikajua Simba hatufiki popote Club Bingwa. Ila wachezaji wa Zamani wamejitoa sana kutufikisha hapa tulipo.
Mayele Simba wenyewe walimkataa wakati tunacheza na A.S. Vita.
Mayele na Juma Shaaban walitaka kuja Simba. Lakini Simba ilipotezea kama ilivyompotezea Aziz Ki, Manzoki na Adebaye.
Simba Hawawi Serious kwenye maswala ya Usajiri wa wachezaji wake.
Ni kwamba wanaokota okota tu maporini.
Kwani kuwa mtu wa michezo lazima uangalie mechi za utopolo?????Hahahaha ko ata derby haangaliii af kumbe yeye sio mtu wa michezo kama mayere hamjui anamjua nani bongo?[emoji23][emoji23][emoji23]