Hakuna utani katika Hilo labda tukubaliane tu ni mropokaji. Huwa anaandika akiona watu wamechachamaa hasa Wana Simba, anajifanya kufuta Tweets zake na kukaa kimya.Iwe tu kaongea kwa mzaha au kwa makusudi fulani ku catch attention ila kama yupo serious atakuwa MJINGA na MLOPOKAJI.
Kwani amefuta na hii tweet ya leo?Hakuna utani katika Hilo labda tukubaliane tu ni mropokaji. Huwa anaandika akiona watu wamechachamaa hasa Wana Simba, anajifanya kufuta Tweets zake na kukaa kimya.
Waache tu wajifanyeAaah wapi mtapitisha kofia sio mda [emoji28][emoji28]
Said Salim B. anaitaka timu, mwacheni asuse.Waache tu wajifanye
Wawaulize yanga kilichowapata baada ya Manji kuondoka
Tena mm nitanuna mwezi mzima..aendelee tuu huyo huyoNa wewe usije kutusimangaπππ
Kama anataka kuondoka aondoke tutapitia kipindi kigumu wanasimba kitapita tu kwanini atingingishe kibiriti wakati muhimu na nyeti kama huuRais wa heshima wa Klabu ya Simba, Mohammed Dewji 'Mo Dewji'kupitia ukurasa wake wa Twitter amesema "Transformation ya Simba bado haijakamilika. huu ni mwaka wa 6. Karibuni ntakata tamaa"
Mohammed Dewji aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya klabu Simba miaka minne mfululizo hadi alijiuzulu nafasi hiyo mnamo Septemba 21, 2021.
Wakati akitoa taarifa yake ya kujiuzulu alisema "Nimeachia nafasi hiyo lakini nitaendelea kuwa Simba mpaka siku ya mwisho, sijajiondoa kwenye Simba bado ni mwekezaji mimi kwa sasa mara nyingi sipo nchini Tanzania nakuwa nje"
Anamiliki azam tayariSaid Salim B. anaitaka timu, mwacheni asuse.
Kwa kweli Dewji anawakosea Sana Wanasimba. Ni kama hataki kusikia Wana furaha yeye lazima alete Jambo la kuvuruga. Hivi suala kubwa kama Mchakato wa mabadiliko ya uendeshaji wa timu ni ya kuuliza mitandaoni? Hizi timu za Kariakoo zimebeba itikadi, Imani na furaha ya watu wengi. Kutibua furaha Yao bila mpangilio ni kuwapa faida upande wa pili kuwazodoa watu wako.Mbabaishaji huyu akwende zake tuchangishane hata buku buku kuliko kuendelea na hii aibu.
yanga ilbaki kama yatima tu. Siunakumbuka bakuli la zahera nyhe madunduka mtakufa,Eehh mbona kama unaruka stage..alipoondoka Manji ikawaje kawaje???...
Sio kirahis kihivyo!!
πππ Msalimie Manara mwenezi Mstaafu wa CCMUkiamkaga vizuri unakuwaga na akili sana.
MO ni tapeli anaishi kitapeli snHao ndio Wawekezaji wa Bongo halafu Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Kigwangalla akiwaponda Wawekezaji Uchwara mnamrushia maneno makali makali
Sasa huyu na DP World nani ana afadhali?π
Watanganyika bado tuna Ututusa mwingi sana, imagine Makolo anakabidhiwa Bandari katika Sera ya Uwekezaji wa ndani
Mungu wa mbinguni atupe salama!
Akicheleweshewa poshoUkiamkaga vizuri unakuwaga na akili sana.